Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mbwa wenu wanaowasaidia kuiba kuraunamaanisha jamaa waliotiwa nguvuni jana wa chama cha gwanda za kaki, right?![]()
umefikia ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala gentleman?Mtoa mada sio chawa bali ni mwaendawazimu


unamaanisha yule jamaa anae bweka bweka eti ndani ya chama chake kuna nuka rushwa?Wale mbwa wenu wanaowasaidia kuiba kura


Lini alishika bunduki kuisaidia CCM kuiba kura? Wacha pombe za mchana hizo dogounamaanisha yule jamaa anae bweka bweka eti ndani ya chama chake kuna nuka rushwa?
anamuogopa charman wake kama ukoma right?
alisema ati msigwa aliibiwa kura kwenye uchaguzi kanda ya nyasa![]()
Kwa uchawa huu, kuna siku utatobolewa spika,Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,
Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..
Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.
- Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒
Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Nipaniki nini, nakuona tu unavyonengeneka.imepanic?![]()
✊✊nimekupata vizuri gentleman![]()
Hao unaowashangilia ndiyo certified criminals sasacriminals always belongs to korokoroni na hakuna namna nyingine![]()
Rubbish. Amalizie muda arudi kwao kizimkaziTengeneza tatizo the solve, beba sifa
Pambana tu ule uteuziyes,
mimi ni kiongozi mtumishi wa wananchi lazima niwape taarifa, maelezo na majibu muhimu ya maana juu ya masuala mbalimbali humu jukwaani, ama kuna nin mbaya gentleman?![]()