Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Wakiwa kwenye keyborlard, unaweza kudhani wana nguvu kama bombers za kimarekani, au vifaru wa porini, kumbe warembo tu
tena warembo posi kali waliopiga makeup za maana na lip shine kabisa dah:pedroP:
 
Mtoa mada sio chawa bali ni mwaendawazimu
umefikia ukomo wa fikra mpya na mawazo mbadala gentleman?:pedroP:

pole sana aise,
msiwe mnajiingiza kwenye mambo mazito kama haya ndrugu zangu,

ona sasa matokeo yake umepaliwa na mihemko na ghadhabu za bure tu:pedroP:
 
Wale mbwa wenu wanaowasaidia kuiba kura
unamaanisha yule jamaa anae bweka bweka eti ndani ya chama chake kuna nuka rushwa?

anamuogopa charman wake kama ukoma right?:pedroP:

alisema ati msigwa aliibiwa kura kwenye uchaguzi kanda ya nyasa:pedroP:
 
unamaanisha yule jamaa anae bweka bweka eti ndani ya chama chake kuna nuka rushwa?

anamuogopa charman wake kama ukoma right?:pedroP:

alisema ati msigwa aliibiwa kura kwenye uchaguzi kanda ya nyasa:pedroP:
Lini alishika bunduki kuisaidia CCM kuiba kura? Wacha pombe za mchana hizo dogo
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kwa uchawa huu, kuna siku utatobolewa spika,

We nengeneka tu, waungwana wapi watakusitiri viziri tu, usijali kijana,
 
Boresheni Lupango hizo,Tututeleze tuachane na mambo ya kijima ya Usotaji.Sawa Tt
 
Lini alishika bunduki kuisaidia CCM kuiba kura? Wacha pombe za mchana hizo dogo
relax bas padre,

kwani msigwa kule kwenye uchaguzi wa kanda ya nyasa alishikiwa bunduki ndio akaibiwa kura?:pedroP:
 
criminals always belongs to korokoroni na hakuna namna nyingine:pedroP:
Hao unaowashangilia ndiyo certified criminals sasa
Korokoroni nini Mandela mwenyewe alikaa huko
Kwa shida,nyie malaika ndiyo hamkai huko

Ova
 
Nipaniki nini, nakuona tu unavyonengeneka.
yes,
mimi ni kiongozi mtumishi wa wananchi lazima niwape taarifa, maelezo na majibu muhimu ya maana juu ya masuala mbalimbali humu jukwaani, ama kuna nin mbaya gentleman?:pedroP:
 
yes,
mimi ni kiongozi mtumishi wa wananchi lazima niwape taarifa, maelezo na majibu muhimu ya maana juu ya masuala mbalimbali humu jukwaani, ama kuna nin mbaya gentleman?:pedroP:
Pambana tu ule uteuzi

Ova
 
Back
Top Bottom