Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Huruma ya Rais Samia Suluhu Hassan yawanusuru vigogo wa kisiasa kusota lupango

Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Chawa kazini Kila k2 Samia
 
Sasa watu wengine Mkitukanwa kwa kutoa hoja za kijinga kama hizi mnalalamika kabisa?
Daah wewe jamaa nakuonaga mjinga sana kwa posti zako nyingi tu hapa jukwaani.
Utakuja na kahoja kako cha kipimbavu eti nikosoeni kistaarabu.
Daah hii nchi ina baadhi ya watu wajinga sana mmoja wapo ni wewe mtoa posti
sasa wewe na mihemko yako akili na moyo wako kinachoweza kufanya si ni kuporomosha matusi tu 🤣

na mimi na kushauri, uongoze juhudi zaidi katika kutukana na kuporomosha matusi mazito mazito ikiwa yanakusaidia katika kutatua changamoto mbalimbali za maisha yako 🐒
 
Ulishaona polisi wakimkamata mhalifu kuna sheria inayowapa mamlaka ya kufuta huo uhalifu/kumwachia mhalifu au mahakama ndiyo yenye huo wajibu wa kutoa haki na pia kuadhibu au kusamehe kwa mujibu wa sheria?
mbona unaeleza kilichofanyika leo ama niaje gentleman 🤣
 
Sawa. Katika kujadili jambo tunaelimishana. Hatubishani tu kwa lengo la kubishana. Tuanze na sheria iliyovunjwa na kutaja shitaka la uhalifu uliofanywa au kukusudiwa kufanyika.
mashtaka ni kule mahakamani gentleman, na ni vizuri kujadiliana masula ya kisheria kwenye jukwaa mahususi 🐒
 
Ifike mahali tukubali kuwa Zama.za ujinga zimekwisha. Yaani ukamate Watu bila kosa baadae uje utuambie huruma 😂️😂️😂️😂️
what would you do then, nimekuonea huruma, nimekusamehe na nimekufutia makosa yako yote ya kihalifu, uko huru 🐒
 
Licha ya tuhuma nzito kuhusu kuhatarisha amani na utulivu nchini,

Muungwa, Kiongozi wa Taifa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kupitia wasaidizi wake, ameelekeza Jeshi la polisi nchini kuwaachia huru viongozi na wanasiasa waliotiwa nguvuni huko Mbeya bila masharti yoyote..

Soma Pia:
Wanasiasa wote nchini wajiepushe na mipango, siasa au harakati zenye viashiria vya kuhatarisha umoja wa kitaifa, amani na utulivu wa wananchi wa Tanzania, kwani havitavumiliwa.

Je, hii ndio maana halisi na nguvu ya 4Rs theories, alizobuni Rais Samia kuliunganisha Taifa?🐒

Asant sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Wasukuma wanasema tombena nyoko yani wewe kilaza
 
sasa wewe na mihemko yako akili na moyo wako kinachoweza kufanya si ni kuporomosha matusi tu 🤣

na mimi na kushauri, uongoze juhudi zaidi katika kutukana na kuporomosha matusi mazito mazito ikiwa yanakusaidia katika kutatua changamoto mbalimbali za maisha yako 🐒

Ukija na maposti yako ya kijinga utaendelea kula matusi tu hata kama hayanisaidii chochote kwenye maisha yangu na kama vile maposti yako ya kipumbavu hayanisaidii chochote kwenye maisha yangu.
 
Ukija na maposti yako ya kijinga utaendelea kula matusi tu hata kama hayanisaidii chochote kwenye maisha yangu na kama vile maposri yako ya kipumbavu hayanisaidii chochote kwenye maisha yangu.
siwezi babaika na matusi yako na wengine wote daima kwasababu mimi ni mtumishi wa wananchi, na hata jimboni wapo wananchi wa aina yako lakini ni wangu siwezi kuwatupa kwasababu ni wananchi wangu hata kama afya ya akili imeathirika kama yako, nyakati zote nawahangaikia tiba mpka wapone, naamini na wewe utapona tu pia 🐒
 
Back
Top Bottom