Husband is needed

Hawa ndo wamiliki wa kanisa katoliki dodoma yote. Nilijionea mwenyewe kule. Pia waislam ni wengi sana.
May be sababu dodoma napita tu cjawah kuishi... Ila cjawah ona mrangi mkristo... Ni km ilivyo ngumu kumkuta mnyakyusa ambaye ni muislamu
 
Siku hizi wengi wanaona haya kusema weupe wao ni wa makopo, wanarukia urangi.

Sishangai siku moja kumsikia Jenista Mhagama akisema yeye ni mrangi.
 
Siku hizi wengi wanaona haya kusema weupe wao ni wa makopo, wanarukia urangi.

Sishangai siku moja kumsikia Jenista Mhagama akisema yeye ni mrangi.
Bibi unachizika sana, sio warangi wote ni weupe, pili huyu dada hajasema yeye mweupe...ondoa ujinga hapa nenda kwa Hamas
 
Siku hizi wengi wanaona haya kusema weupe wao ni wa makopo, wanarukia urangi.

Sishangai siku moja kumsikia Jenista Mhagama akisema yeye ni mrangi.
Bibi wewe kamkorogo ka Oman hutumii?

Jipige kidogo ung'ae.
 
Ohooh

Vijana niwachangie kiasi gani?wife ndio huyu hapa
mshamba_hachekwi
Mzee wa kupambania
@Extrovert

@dronedrake

Nim
Asante vigezo vyote nmekidhi alivyo vitaja shida hamna tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…