Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Sawa nitaacha kufanya ivyo sinunui tenaUna kiherehere(samahami sio kwa nia ya kutukana), unaanzaje kuwanunulia lunch we ni boss, punguza kujipendekeza hutaziona hizo unaita husda
Na siwez kugombanaHayo mambo ni kawaida sana ,ukiwa na kazi hizo ni changamoto.
Kwa ubaya wowote ule usije kugombania na mtu kabisa ,chuki zipo kweli.
He'll
Kazini husada nyingi watu mtatua bure kisa wivu ni Mungu tu ndio anatupigania wengine hatujui kuroga kama ninyi ila Mungu tu ndio katuonea huruma
Kwanini nimesema hivi nnapo fanya kazi kuna vitengo vingi lakini kwenye iki kitengo mara nyingi ikitokea safari ya mkoan yaani kutoka nje ya mkoa basi mkuu wa idara analeta jina langu
Kitu kinachopeleka watu kunichukia mimi bila kujua nikitoka zangu safari nimerudi na sina roho ya uchoyo nawapa ofa ya lunch wote kwenye kitengo chetu ili nao wafurahi kidogo kumbe nyuma ya panzia uko wanaona wivu na kunisagia kunguni bila mimi kujua
Sababu ni safari hawajui tu jinsi gani Mungu anavyo tupigania na huruma yake tu ila kivile hamjui mnajaza chuki si vyema tutauana buree
Pole ndio maan tukaitwa watukama ikatokea nikiingia kwenye ajira rasmi nitakuwa carefully ase maana dah watu sio.
Daaah! Unachekesha sana mkuu haya bhana baki na iman yako kwamba unarogwa. Ila kweli umakin unahitajika sana husda ni kitu kibaya sanaNdio watu wanaroga nishakuta ilizi kwenye droo ya mtu
Sasa sio uamuzi wangu mimi naletwa barua au kupigiwa simu ni order iyoKwanini Mungu akupiganie upate safari peke yako? Unadhani wengine hawana Mungu,ninyi ndio mnaharibu ofisi kwa nepotism za kijinga na maboss wenu,wafanyakazi wenzio wako sawa kukumind ,gawaneni huo mkate
Kazi nyingi hazina rotation Kwa sababu ya upendeleo na uwezo binafsi maana kama kazi za safari kuna kuandaa ripoti baada ya hapo.Kwa nini isiwe rotation anachaguliwa wewe, next time mwingine?
Uamuzi wa boss sio uamuz wangu mkuu hapa nimechoka kusafiri bas tuKwa nini isiwe rotation anachaguliwa wewe, next time mwingine?
Ndio ila mm sina iman kma narogwa ila naogopa kurogwaDaaah! Unachekesha sana mkuu haya bhana baki na iman yako kwamba unarogwa. Ila kweli umakin unahitajika sana husda ni kitu kibaya sana
Na nikaz ngumu sanaKazi nyingi hazina rotation Kwa sababu ya upendeleo na uwezo binafsi maana kama kazi za safari kuna kuandaa ripoti baada ya hapo.
Ukiwa na kismati na uwezo unaweza kwenda kila mara ,mda mwingine kuna upendeleo pia so yote ynawezekana.
Boss wako ni mpuuzi,weka rotation kila mtu apate mkate,huo anaofanya boss wako ni upuuziSasa sio uamuzi wangu mimi naletwa barua au kupigiwa simu ni order iyo
Sasa mkuu sikia ofis nzima mimi pekee ndio nimesomea iko kitu hao wengine wanafanya kaz kwa uzoefu na hawana uelewa na iko ndio nilipo kuja mimi nafanya vile inavyotakaBoss wako ni mpuuzi,weka rotation kila mtu apate mkate,huo anaofanya boss wako ni upuuzi
Huo ujinga Kwa hiyo wanakupeleka kisa unawapa lunchHe'll
Kazini husada nyingi watu mtatua bure kisa wivu ni Mungu tu ndio anatupigania wengine hatujui kuroga kama ninyi ila Mungu tu ndio katuonea huruma
Kwanini nimesema hivi nnapo fanya kazi kuna vitengo vingi lakini kwenye iki kitengo mara nyingi ikitokea safari ya mkoan yaani kutoka nje ya mkoa basi mkuu wa idara analeta jina langu
Kitu kinachopeleka watu kunichukia mimi bila kujua nikitoka zangu safari nimerudi na sina roho ya uchoyo nawapa ofa ya lunch wote kwenye kitengo chetu ili nao wafurahi kidogo kumbe nyuma ya panzia uko wanaona wivu na kunisagia kunguni bila mimi kujua
Sababu ni safari hawajui tu jinsi gani Mungu anavyo tupigania na huruma yake tu ila kivile hamjui mnajaza chuki si vyema tutauana buree
No sichaguliw n workmateHuo ujinga Kwa hiyo wanakupeleka kisa unawapa lunch
Sio wabobez""lakini kwenye iki kitengo mara nyingi ikitokea safari ya mkoan yaani kutoka nje ya mkoa basi mkuu wa idara analeta jina langu""
Kwanini uchaguliwe wewe tu, kwani wengine hawapo?
Nafikiri keki ya kazini igawiwe usawa kwa watu wotee.
Mwambie mkuu wa kitengo Apunguze upendeleo, hao wengine piA wanahitaji hizo posho.
#YNWA
We ubobezi ulizaliwa nao...Sio wabobez
Sijui kujipendekeza mzee labda unifundisheWe ubobezi ulizaliwa nao...
Punguza unaa kwa mabosi.
Wambea kama nyie huku mpo kibao.
Kujifanya marafiki na boss kumbe mna yenu.
#YNWA