Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Rome metropolitan area ipo ndani ya Lazio.Jamaa anajikuta mjuaji afu kila round anaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rome metropolitan area ipo ndani ya Lazio.Jamaa anajikuta mjuaji afu kila round anaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Na miji kama London,Paris,Frankfurt nayo ina kiswahili chake?Babu tumeongea kwa kiswahili hapa ndo maana nkasema roma
Hyo london inaitwa landaniNa miji kama London,Paris,Frankfurt nayo ina kiswahili chake?
Hapana sina baba, siku njema.Hyo london inaitwa landani
Frankfurt inaitwa franmfuti
Paris inaitwa parisi
Una lingine mzee wangu..?
Ubarikiwe sanaHapana sina baba, siku njema.
Ana maarifa mengi lakini akili kisodaJamaa genius
Mkuu Mwamba katesa sana.Ana maarifa mengi lakini akili kisoda
Jr[emoji769]
Naww kama sio tapeli basi ni dalaliHuyu jamaa namkubali kinoma infact ndo rollmodel wangu
kwani definition ya neno Genius ni ipi? Tukiipitia vizuri definition ya neno genius toka katika Dictionaries za Cambridge na Oxford huko ndo tutaelewa kuwa kama jamaa ni genius au sio.Angekuwa Genius,asingekamatwa.
U Genius ungekamilika kama angejilinda ili asikamatwe. Yaani anawaoversmart aliowaibia ili isijulikane wameibiwa na nani ?Hapo kweli ningemuita Genius.kwani definition ya neno Genius ni ipi? Tukiipitia vizuri definition ya neno genius toka katika Dictionaries za Cambridge na Oxford huko ndo tutaelewa kuwa kama jamaa ni genius au sio.
I don't support criminal activities, ila kama ni kweli kuwa kapiga pesa on the internet kihivo basi he is that great and probably a Genius.
tupite Online/Google huko kutafuta definition and meaning of the word "Genius" toka Cambridge na Oxford.