Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna jiji linaitwa Roma ni Rome.Ww lazio imetokea jiji la roma hajakosea
Yuko sawa usikaririHakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Rome- EnglishHakuna jiji linaitwa Roma ni Rome.
Lazio roma ipo kama unabisha endelea kubisha,hiyo timu mmezoea kuiita lazio lakini huitwa hivyo lazio roma ukiona bado una hamu ya kubisha elekea google alafu jibu utakalopata kaa kimya usirudi humuHakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Lazio Roma na AS Roma ni timu zinazotokea Jijini Roma..Hivyo mleta mada yupo right 100% wewe ulikariri .ni sawa na FC Barcelona na Espanyol BarcelonaHakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Hakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Asante kwa kupigilia msumali kabisa juu ya hili,sababu roma ni jiji sasa nashangaa analeta ubishiLazio Roma na AS Roma ni timu zinazotokea Jijini Roma..Hivyo mleta mada yupo right 100% wewe ulikariri .ni sawa na FC Barcelona na Espanyol Barcelona
Mkuu una bet lakini hujui chochote.Hakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Asante kwa nyongeza mkuu.Ila inaonekana kama kiitaliano hakina nguvu maana nchi yao inaitwa Italia ila tunaitambua kama Italy. Vivyohivyo Roma na Rome.Kiingereza kimekifunika Kiitaliano.Rome- English
Roma- Italian....no error!
Mkuu juzi tu hapa tumekukalibisha na nikwambia kuwa.Hakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Acha kuzingua basi, ina maana ni sawa kusema timu ya simba Dar es salaam au timu ya Namungo Lindi? kisa zinatokea mikoa hyo?Lazio Roma na AS Roma ni timu zinazotokea Jijini Roma..Hivyo mleta mada yupo right 100% wewe ulikariri .ni sawa na FC Barcelona na Espanyol Barcelona
Yuko sawa kabisa. Hiyo roma isikuchanganye.Hakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Acha ubishi wa kipuuzi,roma ni jiji zinazotokea hizo timu na zote zinatumia hilo jina yaani As Roma na Lazio RomaAcha kuzingua basi, ina maana ni sawa kusema timu ya simba Dar es salaam au timu ya Namungo Lindi? kisa zinatokea mikoa hyo?
Hahahaha unajiona akili sana kumbe double oo mjini roma kuna team 2 lazio de roma na roma csHakuna timu ya kuitwa lazio roma bali hizo ni timu mbili tofauti ndugu vipi hubetigi nini
Na sasa ndio tutamsahau maisha,ngoja akakutane na Wamexico wauza madawa huko kwenye magereza ya Marekani, muda si mrefu ataolewa tu huko gerezaniDaaah jamaa na genge lake wanaingia katika kumbukumbu za utapeli wa kimtandao katika karne hii. Hongera zao sana. Miaka ijayo watu kama Habibu Hanga watakuwa wanatiririka tu stori zao. Tunasubiri Hollywood wafanyie movie hii kitu
Babu tumeongea kwa kiswahili hapa ndo maana nkasema romaHakuna jiji linaitwa Roma ni Rome.
Jamaa anajikuta mjuaji afu kila round anaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Rome- English
Roma- Italian....no error!
Acha uongo Hakuna document yoyote a timu ya Lazio inaonesha timu inaitwa Lazio Roma kilaza wewe.Acha ubishi wa kipuuzi,roma ni jiji zinazotokea hizo timu na zote zinatumia hilo jina yaani As Roma na Lazio Roma