Hushpuppi afikishwa Marekani, asomewa mashtaka ya utakatishaji pesa. Atuhumiwa kutapeli club moja ya EPL £100M

Hushpuppi afikishwa Marekani, asomewa mashtaka ya utakatishaji pesa. Atuhumiwa kutapeli club moja ya EPL £100M

we movie zinakudanganya, jela za marekani ni sawa na ulaya tu, mahitaji yote muhimu, chakula kizuri, mahali pa kulala safi, usalama upi sijui unauzungumzia wewe maana kule wanajali haki zote za binadamu, ndio maana black america kwenda jela kwao ni kitu cha kawaida. wanaingia na kutoka kila siku
Acha kubisha ujinga kasome kitabu kinaitwa THE Macho man behind the bars.
 
Instagrammer na tiki yake,kumbe tapeli mwizi wa kutumia internet.

Mimi says ivi nikiona mtu kapiga heka nyingi , iwe kwa wizi iwe kihalali nampigia saluti. Tafuta hela, cha muhimi hela, hakikisha unakua na hela. Kuna bilionea anahela ya halali 100%??!! Kakudanganya nani. We uza hata mbunye ukipata hela nakupigia saluti.
 
Asilimia kubwa ni matajiri na utajiri wao ni madawa ya kulevya. Huwa wanatumia tekniki ya kuoa raia wa nchi husika ili wapate uraia na kuanza kuingiza madawa ya kulevya. Wana akili nyingi kiasi kwamba wakishakulia timing huchomoki
Ebwanaeeeh...Ni wanaija wote au baadhi?
 
Fake until I make it
Diana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona tunaelewana, watu wanalamika ku fake maisha ndiyo ujue walimwengu wanapenda watu wawe masikini, yani ntu ukifanikiwa nishida, ni heri ufake tu mpaka wabaya wako wakate tamaa,

Na pia utajiri unakujaje bila kuutamani[emoji23][emoji23][emoji23] na kuuishi hata kama sio tajiri, fake tu kudadeki mpaka unatoboa.
 
Mimi sina malengo ya kuishi maisha ya mtandaoni ndo maana sina mipango..
Naishi kiuhalisia wa maisha yangu.
Sasa kuwa na malengo ya magari mazuri wakati hauna mipango ni sawa na KUTAMANI.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Usitamani, bali vikupe moyo wa kutafuta vyako hii falsafa hujaitumia vizuri
 
Mkuu kuweka good lawayers ni ngumu kwa wakati huu wa sasa,kwanza hapo ujue accounts zake zishafungiwa hapati hela,watu ambao wangemsaidia au marafiki wanaogopa pia kufuatiliwa.

Kifupi ana wakati mgumu kuruka hicho kiunzi
Acha uwoga ...anaweka good lawyers anatoka ..watu wanauwa na jela wanatoka
 
Mkuu kuweka good lawayers ni ngumu kwa wakati huu wa sasa,kwanza hapo ujue accounts zake zishafungiwa hapati hela,watu ambao wangemsaidia au marafiki wanaogopa pia kufuatiliwa.

Kifupi ana wakati mgumu kuruka hicho kiunzi
Hao walishalipa malawyer kabla hawajadakwa..
they are not fools...
they know the risk of their business in advance
 
Siyo kama unavyowaza ,mpaka mtu asakwe na FBI ina maana kila kitu wanajua na wana kila evidence siyo kama unavyowaza ,hizo kesi wengi hawatoki na huyo siyo wa kwanza
Hao walishalipa malawyer kabla hawajadakwa..
they are not fools...
they know the risk of their business in advance
 
Siyo kama unavyowaza ,mpaka mtu asakwe na FBI ina maana kila kitu wanajua na wana kila evidence siyo kama unavyowaza ,hizo kesi wengi hawatoki na huyo siyo wa kwanza
FBI kuna kesi nyingi zimewashinda....
nikupe ripoti ya 1980-2018
 
Mkuu hizo kazi mi nazifahamu nilishafundishwa nikaogopa,walioendelea na hizo kazi sasa hivi wapo ndani wamepigwa mvua kuanzia miaka 7 hadi 20,na walikuwa marafiki zangu kwahiyo mfumo mzima wa hayo mambo nina idea ,mambo ya kubadilisha mitandao ya simu na internet ,kubadili location ,mambo ya kuhonga polisi na kugawana hela na maofisa wa benki hela zinpoingia na ikiingia tu account inafutwa aliyetapeliwa anaambiwa huyo account hatuna kwenye hii bank umekosea,na bado wanakamatwa na wapo wanatumikia vifungo.

Kwahiyo siyo unavyowaza,kundi la kwanza lilipiga sana hela kutokana na teknolojia kuwa chini hata ulaya ,sasa hivi wana wakati mgumu sana
FBI kuna kesi nyingi zimewashinda....
 
Instagrammer na tiki yake,kumbe tapeli mwizi wa kutumia internet.
Ni inahitajika Ujasiri wa hali yajuu sana, kuifanya sehem ya maisha yako kama jamaa.

Ni ni Kamba ya mbuzi tu, kwa alipofikia ,basi tunampongeza ingawa kakamatwa.

Haya maisha yanaitaji uwe Mbebaji Risk ,na ukubali kuyapambania ukiwa tayar kupoteza kilakitu.
 
Mkuuu hiii sio kauli ya kunambia mwenzio bwana,hiii ni mijadara ya kijiweni tu sasa mama yake anaingiaje humu?
Mkuu nilimjibu kwa sababu alitaka ajibiwe hivyo. Naheshimu sana watu mkuu ila ukija hovyo hovyo naendana na wewe unavyotaka.
 
Inadaiwa huyo jamaa anaejiita Hushpuppi Insta alipata kuitapeli klabu kubwa ya Serie A ya Lazio Roma kiasi cha Euro Milioni mbili sawa na shilingi bilioni tano za kitanzania

Utapeli huo ni kuwa jamaa kupitia mtandao wao wa utapeli waliwatapeli hawa Lazio Roma walipokuwa wanalipa awamu ya mwisho ya malipo baada ya kumnunua Stephan De Vrij kutoka Klabu ya Feyenoord ambayo hii nayo pia ni Klabu kubwa kutoka nchini Uholanzi

My take: Ipo siku matapeli wanaweza kuwa nao wanarushiwa mawe kama wezi sasa
 
Back
Top Bottom