Hushpuppi kabambikiwa kesi kwa sababu ya ushamba pamoja na Mwafrika kuchukiwa akiwa na maisha ya juu

Hushpuppi kabambikiwa kesi kwa sababu ya ushamba pamoja na Mwafrika kuchukiwa akiwa na maisha ya juu

Yani mamilioni yote halafu unavaa marangirangi kama Elephant Man?

No wonder wanakamatwa.

Kuiba kunaweza kuwa si kugumu kama kuficha hela ya wizi.

Kuna kinyegenyege fulani hivi cha kujionesha unazo.

Kupost picha social media.

Na hapo ndipo wanapodakwa.

Ma Mafia wa kweli hata ukiwaona huwezi kujua, na wamepiga hela ndefu sana.
Kuna jamaa hadi walimuuliza
Hizo logo zote unajibandika wanakulipa wenye makampuni yao?
Manake jamaa alikuwa anatangaza Gucci na logo zingine utasemwa analipwa.. Nigerians washamba sana
 
mimi huwa napita insta kwenye site zao africanmillionaires[emoji16][emoji16][emoji16].

naamini hawa jamaa huwa wana mmotivate hata the boss himself MO,kwa life wanaloishi[emoji23][emoji23]
 
Una uhakika hawakupewa uchawi hao wabongo?, Kuna wabibi wakizungu hupigwagwa hadi dola laki 4, Hicho ni kiasi kikubwa sana hata kwa ulaya.
Hapana maana aliyewafundisha namjua kabisa.. yah ndiyo hao hao wale ambao mwaka jana wamempiga mama wa kibrazil karibia billion kwa kuuuzia dhahabu fake akawapeleka polisi kama hiyo case unaikumbuka walionyesha kwenye TV.
Hawa watu wanacheza na saiklojia na tamaa zako. Mfano kuna kitu wanaitaa kuflash mtu mwenye tamaa akiflashiwa lazima apigwe
 
Hapana maana aliyewafundisha namjua kabisa.. yah ndiyo hao hao wale ambao mwaka jana wamempiga mama wa kibrazil karibia billion kwa kuuuzia dhahabu fake akawapeleka polisi kama hiyo case unaikumbuka walionyesha kwenye TV.
Hawa watu wanacheza na saiklojia na tamaa zako. Mfano kuna kitu wanaitaa kuflash mtu mwenye tamaa akiflashiwa lazima apigwe
Yeah naikumbuka hiyo issue.
 
Huyo jamaa walikuwa wanamlia timing kitambo tu,maana ana utajiri wa usd 10 lakini haieleweki chanzo chake ni nini haswaaa..toka alivyoondoka thailand kawa na mkwanja wa ajab
 
sio wachawi ni maneno tu ya watu. hirizi mbona hata wabongo mnazo hirizi miili yenu mizima tena wabongo ndio tunaongoza, pia biashara mbovu hata sisi wabongo tunafanya pia tena na zaidi

Huwajui wanaigeria vzur , ebu ulizia binam[emoji16]
 
Una shida saaan kwahiyo kumbe uko nyuma yangu kila nakopita? Haya njoo nkuoneshe na fors zingne nlizokuwepo, ili uzidi mun update, af na wee unajiona mwanaume kabisaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah dunia simama nishuke, umbea na ufukunyuku unamzidi had shangazi yako, njoo nkusajiri wee msago na mchicha mwiba nyokooooooh.
MApunga mna lugha chafu sana. Laanatullah
 
Huyo husshppi ndo nimeona leo niingie page yake instagram nijionee. Watu wanajua kuishi aisee watu wanakula rahaaa japo muda mfupi una injoyyyyyyy kabla hayajasanuka kama yalivyomsanukia.
 
Hivi kupata nafasi ya kumvua chupi mtoto mzuri huddah the boss chick ni kiasi gani?

Yule mtoto nataka nimchukulie mkopo finca. Kwani pesa kitu gani?

Dollar 3,000 au TZS 7,000,000 anavua chupi?

Mtoto kama yule ukimla hata ukifa you die with dignity.
 
Hivi kupata nafasi ya kumvua chupi mtoto mzuri huddah the boss chick ni kiasi gani?

Yule mtoto nataka nimchukukie mkopo finca. Kwani pesa kitu gani?

Dollar 3,000 au TZS 7,000,000 anavua chupi?

Mtoto kama yule ukimla hata ukifa you die with dignity.

Ikija kwenye papuchi ya warembo wazuri unatakiwa tumia kila shillingi uliyonayo...
 
Yani mamilioni yote halafu unavaa marangirangi kama Elephant Man?

No wonder wanakamatwa.

Kuiba kunaweza kuwa si kugumu kama kuficha hela ya wizi.

Kuna kinyegenyege fulani hivi cha kujionesha unazo.

Kupost picha social media.

Na hapo ndipo wanapodakwa.

Ma Mafia wa kweli hata ukiwaona huwezi kujua, na wamepiga hela ndefu sana.


Yaani unatakiwa kuishi simple kabisa kama vile huna hela kumbe unazo nyingi tuu zipo kwenye maguni
 
Back
Top Bottom