Hussein Bashe: Hatutapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi wa Pamba Kisesa

Hussein Bashe: Hatutapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi wa Pamba Kisesa

Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Wanaonesha CCM ilivyo...wameyafanya sana kwa wapinzani Sasa wanaanza kukulana wenyewe........
 
Kama ni hivyo basi , tutajitegemea sisi na tusione mwana TRA yoyote kuja kutaka kodi shenztype.🚮
 
SA
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Kiburi cha mfalme JUHA.
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Hawa wapuuzi ndio watekelezaji wa 4R za Rais Samia. Mbwa kabisa hawa.. Yaani wana taka waabudiwe. Yeye ni nani hata asi ambiwe ujinga wake?
 
Kwa namna yoyote kauli ya Bashe sio sahihi ameteleza aombe radhi na asahihishe. Kama asipofanya hivyo hiyo itachukuliwa ni kauli rasmi ya serikali ya CCM.
Kazi ya mbunge sio kupeleka huduma kwa wananchi bali ni kuisimamia serikali itekeleze wajibu wake. Sasa kama waziri anaona mbunge hayuko sahihi sio kutokupeleka huduma maana nijukumu la serikali na kama serikali au yeye waziri kashindwa anaachia ngazi mwingine atafanya kazi hiyo kwa usahihi.
Kodi ukusanye wewe serikali na mshahara ulipwe na kazi ukatae kufanya kwa hao walipa kodi inashangaza sana.
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana

Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Hawa ndio viongozi wa Umma.

Hawajui nini cha kuongea na wapi pa kuongea.

Wanaamini kabisa kupeleka huduma ni baraka zao, that is very stupid ! Anasahau kwamba every cent anayopokea ni kodi za wananchi, halafu kuna mtaalam Mmoja anakuambia CCM haina mbadala.

Huyu ni waziri, high level of management na still anatoa kauli kama hizo. Waziri ana vettîng ambayo ni comprehensive, Waziri anakiapo cha utumishi bora, waziri ànakiapo cha maadili na utawala bora, waziri anakiapo cha siri, yet anasimama na mdomo wake mpana kama shimo la choo kutoa matamko ya kuigawa nchi, this is another failure chini ya Samia.

Narudia tena, adui wa TZ sio ujinga wala maradhi, adui wa Tz ni CCM , kwa viongozi Kama hao, CCM haiwezi kuja kupindua buswati la umasikini Tanzania,

CCM aka Chama cha Majambazi must go
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Huu ndio Ukichaa wenyewe; hakuna zaidi ya hapa.

Muda umewadia sasa, hawa watu wakae pembeni. Hapana, siyo kukaa pembeni tu; hawa ni lazima walipe maovu wanayo watendea waTanzania.

Huu ndio ulevi wa madaraka, na kujisahau kwamba wao ni watumishi wa wananchi na siyo watawala wa wananchi.

Tanzania sasa imeiva, kupata mabadiliko.
 
Kama kweli ametamka hivyo, na kuna uthibitisho, afunguliwe mashtaka ya kutumia vibaya ofisi ya umma, haraka sana.

Inawezekana kuwa Ni kauli toka Baraza la mawaziri na hao wakulima wasimfuatilie kwani wanaweza kulima Alizeti, Dengu , Choroko na ufuta ambapo watapata wanunuzi wazuri Tu kuliko hao mazurimati wa karne waliojijengea Cartel ya kuwatia umaskini watu wa kanda ya ziwa
 
Rais Dr Samia ampige chini huyu waziri mpuuzi. Anamharibia kwenye sehemu yenye kura za kimkakati sana kwenye uchaguzi. Kanda ya ziwa ndo inaamua kura za urais. Bashe ni mshenzi.
Ikitokea natrmbea uchi !
 
Wasichukue Kodi huko Busega. Hajaanza yeye alianza Magu kwenye kampeni za 2020 kusema mkichagua upinzani sileti maendeleo jimboni kwenu.
Ni kawaida yao.
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Asante sana Bashe kwa kuwatenganisha wananchi wa Kisesa na serikali yao, tunawahamasisha wananchi hao waunde serikali yao maana Bashe keshafanya uhaini wa waziwazi.
 
  • Thanks
Reactions: I M
Jambo ni Moja tu TRA wasionekane Tena busega. Kodi zao akabidhiwe mpina yeye ataona wapi pakuwaletea mahitaji Wana busega
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
This statement is direct a bleach of our constitution....

The minister does not deserve to be in his position even a minute from the moment he spoke this nonsense....

HUSSEIN BASHE MUST GO....!

Yaleyale serikali iilyoyafanya kwa wananchi/Wamasai wa Ngorongoro inataka iyafanye na kwa wananchi wa Kisesa, kukata misaada na huduma za kijamii ktk sekta ya Kilimo...

Hata kama Mpina (Mbunge) alisema hivyo, hayo yanabaki kuwa ni maoni yake tu kama mwananchi na Katiba inampa haki hiyo ya kutoa maoni.....

Yeye Waziri wa serikali anatoa agizo kwa taasisi za serikali au binafsi kutotoa huduma kwa wananchi wa eneo hilo based on someone's personal opinions. Huyu Waziri atakuwa na akili kweli...?
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Sikiluza hiyo clip vizuri una many unfounded insuanations
Amesema anaenda Kisesa watu wa pale wachague kati ya huduma za serikali au aachiwe Mpima samaki kwa rula Mpina.
 
Sikiluza hiyo clip vizuri una many unfounded insuanations
Amesema anaenda Kisesa watu wa pale wachachague kati ya huduma za serikali au aachiwe Mpima samaki kwa rula Mpina.
Uhuru wa mawazi
 
Ngoma ikisifiwa mlio ujue iko karibu kupasuka. Kelele na majigambo ya BRN yalipelekea MH Rais kuja na msemo "Ukitaka kazi ngumu iwe nyepesi mpe Msomali".

Ghafla Jana Bashe alitoa kauli tata ya kwamba "serikali" haitapeleka mbolea, mbegu wala wanunuzi kwenye Jimbo la Kisesa ili Mbunge wa Jimbo hilo anayetuhumu kwamba mbolea na mbegu za Pamba zilizopelekwa mwaka jana huko Kisesa zilikuwa feki na wanunuzi walikwenda kununua pamba toka kwa wakulima walitoa bei ya chini isiyorejesha gharama za wakulima na kuwapa faida.

Bashe anaposema Serikali haitapeleka inaonyesha kauli yake inatoka Baraza la Mawaziri.

Na kama ni kauli binafsi tunatarajia Mh. Rais afanye kama aliyofanya Kwa Waziri wa Kura feki.

Mbegu na mbolea za ruzuku zinanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wakiwemo wa Kisesa.

Hivyo kuchukua kodi na huku hupeleki huduma Kwa kisingizio cha Mbunge wao kukutuhumu ni udikiteta

View attachment 3093882

Badala ya kufanya uchunguzi ili kuona kama maneno ya Mpina yana ukweli yafanyiwe kazi au kama ni ya uongo achukuliwe hatua, Waziri anakuja na approach ya ukewenza kwenye fedha za Umma?

Soma pia: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana
Kumbe Waziri ana uwezo wa kutoa uhuru Kwa sehemu ya Tanzania, Kwani Kwa maneno hayo inamaanisha Kisesa ijitegeme, na ili ijitegeme, itabidi iwe na mapato zake, matumizi yake na uongozi wake.
 
Back
Top Bottom