Pre GE2025 Hussein Bashe: Luhaga Mpina uwe na shukrani kwa serikali, chezea sekta nyingine sio kilimo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukishasikia Waziri anasema.hayo, ujue kuwa ametoa signal kwamba mkosoaji ashughulikiwe.

Nchi ya hovyo hii hatari. Badala ya kujibu hoja unamtishia mkosoaji
 
Msilete habari kimafumbofumbo. Tabia hiyo ndiyo inafanya wajione wanaogopwa.

Mtaje huyo Waziri na alisema hayo akiwa wapi?
 
Hapo Kule kisesa washaset wananch WA mchongo ili bashe akienda kuhoji ionekane wako against na mpina,watumie kamq point ya kumuengue mwakani kwenye kura za maoni ndani ya Chama...michezo😂
 
Hulka za Watanzania ndio zimetufikisha huku. Utasikia tunaiomba Serikari itujengee barabara, tuko chini ya miguu yako mtujengee soko, tunaishukuru Serikali kwa kutuletea kivuko.

Matokeo yako viongozi wanajisahau wanaamini kufanya maendeleo ni hisani na sio lazima.

HOPELESS NATION.
 
Bonge la pwenti..😀😄😃
 
Kama ni Bashe waziri wa kilimo ndio roho za Wasomali zilivyo
 
Bashe ana ujinga mwingiiii mnooooo
 
Kodi zangu nalipa serikali.kisha anatokea utoko mmoja ananipangia na kuninyima huduma.huu n ukichaa kabisaa.
All the best
 
Mpuuzi Sana Huduma Yaani Mpaka Apende Waziri
Ila Tunachezewa Sana Tanzania
 
Katoa boko kizembe sana, kiongozi hupaswi kuropoka kijinga namna hii
 
Wanànchi wa kisesa wameikosea Nini serikali?
Kwani hawalipi Kodi Kama wengine? Kwani Kodi Yao haiendeshi serikali?
Wasomali especially wakimbizi Wana akili finyu Sana. Wanawaza Vita na visasi vya kiKoo visivyoisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…