Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa

Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa.
271747043_463489385348173_1527089350920311684_n.jpg

Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni Watu wa Kilimo Wanamlalamikia. Sasa hivi anapima udongo anajenga maghala sababu anaamini Wakulima wanapata hasara sana wakati wa kuvuna. Wakati wa kuvuna Mazao yanapotea sana, yanaoza, yanabunguliwa na mengine kumwagika. Sasa analifanyia kazi.
EAmwakamba1411-1320x742.jpg

January Makamba ni Mzalendo na Waziri wa Nishati. Anasimamia Umeme Mafuta Gesi nk. Nchi ipo gizani wakati kuna Upepo, Maji, Gesi na Makaa ya ya Mawe.
20221203_120814.jpg

Mwigulu Nchemba ni waziri wa Fedha na Uchumi na Nchi Alijojo na Ndege zinakamatwa. Prof. Muhongo alisema Tozo haiongezi Uchumi yeye anasema Tozo inaongeza Uchumi.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema Nchi corrupt haitozi kodi bali inakimbizana na watu wadogo barabara na kuwaacha watu wenye Migodi vitalu vya uwindaji na Mitandao ya simu
 
Bei za vyakula ziko juu yote sababu ya ubishi wa Bashe
 
Hao wachuuzi na madalali pia ni wa Tanzania, wakipiga hela,itafika kwa wakulima pia. Bei inaanzia kupanda sokoni inaenda kwa madalali kisha kwa wakulima.
Inaendaje kwa wakulima hivi unajua anachoongea wakulima wanauza mazao yao yakiwa shambani na kipindi Cha mavuno huwez uza Bei kubwa sababu supply ni kubwa Zaid ya demand

bashe ni moja ya wachuuzi wanaonufaika kwa kupanda Bei ya vyakula Hana uzalendo wowote
 
Huyu. Kijana ni Jembe kweli kweli. Tungepata bashe wa 5 kwenye vizara Ambazo zimepata waongeaji badala ya vitendo kama bashe Tanzania ingepiga hatua kubwa sana.

Kama kuna wizara mama Amefeli katika teuzi basi ni wizara ya Fedha, Nishati, na Ardhi. Alichemka kuwatoa wele waliokuwepo. Mbaya zaidi mama Amevaa miwani na masikio kaziba kabisaaaaa jamaa wanazidi kuharibu.
 
Huyu. Kijana ni Jembe kweli kweli. Tungepata bashe wa 5 kwenye vizara Ambazo zimepata waongeaji badala ya vitendo kama bashe Tanzania ingepiga hatua kubwa sana.

Kama kuna wizara mama Amefeli katika teuzi basi ni wizara ya Fedha, Nishati, na Ardhi. Alichemka kuwatoa wele waliokuwepo. Mbaya zaidi mama Amevaa miwani na masikio kaziba kabisaaaaa jamaa wanazidi kuharibu.
Watu mnaokaa nyumbani mnashida sana hamjui haya maumivu ya kupanda kwa bei vyakula yaan kula, kukojoa kulala mnashida sana
 
Teh.....

Kweli In the World of the Blind, the One eyed Man is the King....

Yaani..., Yaani...., Yaani....... !!! Ngoja niache tu nisipoteze calories zangu bure nitahitaji kula zaidi wakati bei ya chakula sio rafiki
 
Back
Top Bottom