imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kuanzia Lowassa tulizulumiwa na hata Lissu tulizulumiwa ndio maana waliuharibu Uchaguzi.Wewe ni Kati ya wanaoamini kuwa lisu alipata Kura nyingi kuliko jpm2020?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia Lowassa tulizulumiwa na hata Lissu tulizulumiwa ndio maana waliuharibu Uchaguzi.Wewe ni Kati ya wanaoamini kuwa lisu alipata Kura nyingi kuliko jpm2020?
Ni kweli kabisa bora ya huyu msomali kuliko yule msambaa mwenzetuBashe anafaa kuwa Rais. Hata tukiwa na Rais mzungu haina shida. Ilmradi anafanya kazi yake. Leo Uingereza wana PM Mhindi.
Hapa unakosea,hayo makabila unayoyataja kama sio Watanzania Ndo yalikuwa mbele sana kuhakikisha nchi hii haitawaliwi na Wakoloni,Ili Watanganyika tujitawale wenyewe?ni kweli sisi Wangoni tulitokea huko Afrika kusini lkn ni vizazi vya 1800 huko,kuanzia miaka 1900 vizazi vyote vilishiriki mwanzo mwisho kuipambania Hii nchi,na Bado hata kwasasa asili yetu inaonesha ni ya hapahapa Tanganyika na sio huko Kwa Wazulundo ushaongozwa sasa. utafanyaje. chukulia songea, wale wangoni ni wazulu wa south africa, wanyasa wa ruvuma ni wamalawi, ukienda mbeya kuna wamalawi na wazambia rundo ila ni watanzania, ukienda bukoba kigoma etc huko wamejaa wanyarwanda warundi na waganda. kuna wamasai wengi arusha ambao ni wakenya. nimekwambia wagogo pekee ndio watanzania halisi wengine wote wahamiaji.
Wakulima hawana neno? Ngoja nitoe Machozi hapaBashe anastahili pongezi kubwa sana,Sasa hivi wakulima hawana neno lolote,kaupiga mwingi sana kwenye kilimo
inatafakarishaKuanzia Lowassa tulizulumiwa na hata Lissu tulizulumiwa ndio maana waliuharibu Uchaguzi.
Nijukumu lake kuwahakikishia watz kilimo kinalipa wasilime kwahasaraBei za vyakula ziko juu yote sababu ya ubishi wa Bashe
Kilimo nikazi Kama kazi nyingine mkulima anahitaji kuiona faida yaanachokifanya nakama chakula bei juu kalime chako alijisemea bwana mmojaKilimo...kila mwaka tunazuia kuuza chakula nje ikitokea ukame