Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa

Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa

Anayemlaumu Bashe kuhusu kupanda kwa Bei za nafaka apuuzwe hajui mziki wa kilimo tuliokulia kwny kilimo na bado tunalima tunajua vizuri acheni wakulima wajipangie Bei waliumia vya kutosha
 
Anayemlaumu Bashe kuhusu kupanda kwa Bei za nafaka apuuzwe hajui mziki wa kilimo tuliokulia kwny kilimo na bado tunalima tunajua vizuri acheni wakulima wajipangie Bei waliumia vya kutosha
Asilimia 90+ ya wakulima Tanzania wanauzia mazao shambani kabla hata hawajavuna huko kupanda kwa bei Leo kunafaida gani kwa mkulima ambaye ameshauza mazao yake yote
 
wewe unamwita msomali, wakati yeye hapajui somalia au hata akipajua hana pa kuishi kule, wazazi wake wamekuwepo hapa kabla hata ya uhuru, sawa tu na hao wahindi, wangoni na makabila mengine yoote ya tz pembezoni. mtz halisi hapa ni mgogo tu, sisi wengine woote wa kuja. kuna mmoja akawa anasema kinanaa pia ni msomali, wakamuuliza unajua kama ameserve kwenye jeshi la tz hadi kuwa kanali....amepigania tz hadi cheo kikubwa cha nchi.

waswahili wengi tu wabaguzi sana.
 
wewe unamwita msomali, wakati yeye hapajui somalia au hata akipajua hana pa kuishi kule, wazazi wake wamekuwepo hapa kabla hata ya uhuru, sawa tu na hao wahindi, wangoni na makabila mengine yoote ya tz pembezoni. mtz halisi hapa ni mgogo tu, sisi wengine woote wa kuja. kuna mmoja akawa anasema kinanaa pia ni msomali, wakamuuliza unajua kama ameserve kwenye jeshi la tz hadi kuwa kanali....amepigania tz hadi cheo kikubwa cha nchi.

waswahili wengi tu wabaguzi sana.
Ni msomali Tanzania haiwez ongozwa na mla mirungi
 
Hujui kwamba na alipandisha mbolea maradafu kwenye bajeti yake ya kwanza ndo maana nikisema wewe mambo mengi hujui nakua sijakosea
Kwani Bashe anauza Mbolea!? Unafahamu hata mataifa yanayocontrol biashara ya mbolea duniani? Huoni anapambania kiwanda cha mbolea kiishe Dodoma.
 
Kwani Bashe anauza Mbolea!? Unafahamu hata mataifa yanayocontrol biashara ya mbolea duniani? Huoni anapambania kiwanda cha mbolea kiishe Dodoma.
Unaona Sasa ndo maana nikasema Kuna mambo mengi hujui na hii inaonyesha bado ni mtoto jaribu hata kufuatilia bunge
 
Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa.
View attachment 2434292
Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni Watu wa Kilimo Wanamlalamikia. Sasa hivi anapima udongo anajenga maghala sababu anaamini Wakulima wanapata hasara sana wakati wa kuvuna. Wakati wa kuvuna Mazao yanapotea sana, yanaoza, yanabunguliwa na mengine kumwagika. Sasa analifanyia kazi.
View attachment 2434300
January Makamba ni Mzalendo na Waziri wa Nishati. Anasimamia Umeme Mafuta Gesi nk. Nchi ipo gizani wakati kuna Upepo, Maji, Gesi na Makaa ya ya Mawe.
View attachment 2434293
Mwigulu Nchemba ni waziri wa Fedha na Uchumi na Nchi Alijojo na Ndege zinakamatwa. Prof. Muhongo alisema Tozo haiongezi Uchumi yeye anasema Tozo inaongeza Uchumi.

Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema Nchi corrupt haitozi kodi bali inakimbizana na watu wadogo barabara na kuwaacha watu wenye Migodi vitalu vya uwindaji na Mitandao ya simu
View attachment 2434328


Bashe ni mzawa! Kazaliwa Tanzania na ndiyo maana ya kuwa mzawa. Uzalendo ni tofauti sana na uzawa. Naona niweke hili sawa
 
Anastahili ni Mzalendo.
Naunga mkono hoja
Naijua familia yao yote na nilikuwa napita kuwasalimia mara kwa mara
Anaamini na anauthubutu na anaweza kijana mdogo mwenye future
Ataweza sana
 
Naunga mkono hoja
Naijua familia yao yote na nilikuwa napita kuwasalimia mara kwa mara
Anaamini na anauthubutu na anaweza kijana mdogo mwenye future
Ataweza sana
Wakati wa Nyerere kulikuwa na Mawaziri wenye asili za Asia Wahindi Waarabu kama Salim Ahmed Salim na walikuwa Wazalendo

Ilikuwa poa sana.
 
Natamani sana bashe aje kuwa rais wa nchi hii, hakika ni kiongozi mchanga mwenye misimamo, na anajua kufuatilia mambo, nzuri ana akili sana
 
Hujui na huwez elewa maumivu watu wanayoyapata kwa kununua vyakula Bei ghali we endelea kumsifia
Ushauri wako ulikuwa upi?
1. Kwamba wakulima serkali itamke mchele sh 1200 kilo?
2. Serkali inunue chakula kwa bei ya juu kwa wakulima na kukiuza bei yq chini kwa walaji?
Unadhani wakulima wanapolima mwisho wauze bei ya kufurahisha walaji bei ya chini kwa kuthibitiwa na serkali ?
Na kwamba kilimo chao ni kuwafurahisha watu au ?
Nani amewahi kulalamika kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Elewa kilimo ni kazi kama kazi zingine
 
Back
Top Bottom