Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnataka Chakula Cha Bure. Nendeni shambani ebo! Kuna majitu yanakera sanaBei za vyakula ziko juu yote sababu ya ubishi wa Bashe
Chama mfu hicho.chama gani Kipo Tu hakina uwezo/hakishawishi kuchukua nchi.Bashe akiona "Nogwa" inazidi huko CCM ahamie Chadema tunamhitaji sana.
Mimi nilie shambani najua umuhimu wa Bei kupanda za mazao. Mmezoea kulalia wakulima. Mnazurura mjini mkitaka mpewe jasho la mkulima kwa Bei ya kuokota.Watu mnaokaa nyumbani mnashida sana hamjui haya maumivu ya kupanda kwa bei vyakula yaan kula, kukojoa kulala mnashida sana
Mkuu unajua kazi ninayofanya au unadhani ukulima unafanya tu wewe acha ushamba alafu usipende kudharau watu usiowajua unauhakika mim nazurura au nilishakuja kukulilia shida kwa kukusaidia almost 70 ya watanzania ni wakulima acha ushamba na pia ufahamu ukulima ni kazi ya kawaida wala sio hata ya maajabuMimi nilie shambani najua umuhimu wa Bei kupanda za mazao. Mmezoea kulalia wakulima. Mnazurura mjini mkitaka mpewe jasho la mkulima kwa Bei ya kuokota.
Ni wapi nimesema kilimo sio kazi kwa taarifa yako wanaonufaika na kilimo nchi hii sio hata wakulima ni madalali na mabwanyenyeUshauri wako ulikuwa upi?
1. Kwamba wakulima serkali itamke mchele sh 1200 kilo?
2. Serkali inunue chakula kwa bei ya juu kwa wakulima na kukiuza bei yq chini kwa walaji?
Unadhani wakulima wanapolima mwisho wauze bei ya kufurahisha walaji bei ya chini kwa kuthibitiwa na serkali ?
Na kwamba kilimo chao ni kuwafurahisha watu au ?
Nani amewahi kulalamika kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Elewa kilimo ni kazi kama kazi zingine
Kwa wakati huu tuambie kitu gani bei zake zimeshuka au ziko chiniBei za vyakula ziko juu yote sababu ya ubishi wa Bashe
Acha wakulima wauze vile wao wanaona inafaa. Hata china ujamaa haupo. Soko acha lijiendesheNi wapi nimesema kilimo sio kazi kwa taarifa yako wanaonufaika na kilimo nchi hii sio hata wakulima ni madalali na mabwanyenye
Tunaibiwa Kura kila Chaguzi.Chama mfu hicho.chama gani Kipo Tu hakina uwezo/hakishawishi kuchukua nchi.
Chama hakina uwezo lakin mda huo ccm hawaruhusu uchaguzi huru na haki Mara wawazuie mawakala wa chadema hofu yote ya ninTunaibiwa Kura kila Chaguzi.
Wakulima sio wanaopanga Bei Bali madalali ndo wapangaji Bei na moja ya wanufaikaji wakubwa Zaid hata ya wakulima wenyeweAcha wakulima wauze vile wao wanaona inafaa. Hata china ujamaa haupo. Soko acha lijiendeshe
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni , Mheshimiwa Bashe kawaheshimisha wakulima ,kumbuka Mahindi yalishawahi kukosa soko miaka ya 2015-2020 sasa hivi mamabo saafi sana kwa wakulima , ana kazi moja tuu sasa yakuwadhibiti hawa wanoiba mbolea ya ruzuku ,,,vyombo husika vimpe support kuwadhibiti hao wezi ...Siku ukianza kujitegemea utanielewa bado unakaa kwa Baba huwezi nielewa
ndo ushaongozwa sasa. utafanyaje. chukulia songea, wale wangoni ni wazulu wa south africa, wanyasa wa ruvuma ni wamalawi, ukienda mbeya kuna wamalawi na wazambia rundo ila ni watanzania, ukienda bukoba kigoma etc huko wamejaa wanyarwanda warundi na waganda. kuna wamasai wengi arusha ambao ni wakenya. nimekwambia wagogo pekee ndio watanzania halisi wengine wote wahamiaji.Ni msomali Tanzania haiwez ongozwa na mla mirungi
Wewe ni Kati ya wanaoamini kuwa lisu alipata Kura nyingi kuliko jpm2020?Tunaibiwa Kura kila Chaguzi.
Wakulima au madalali na mbwanyenye wakulima walio wengi wauza mazao yao kabla hata hawajavuna mwezi wa Saba na nane hukomnyonge mnyongeni haki yake mpeni , Mheshimiwa Bashe kawaheshimisha wakulima ,kumbuka Mahindi yalishawahi kukosa soko miaka ya 2015-2020 sasa hivi mamabo saafi sana kwa wakulima , ana kazi moja tuu sasa yakuwadhibiti hawa wanoiba mbolea ya ruzuku ,,,vyombo husika vimpe support kuwadhibiti hao wezi ...
Kwanin mawakala wa chadema hawakuruhusiwa kuingia baadhi ya vituoWewe ni Kati ya wanaoamini kuwa lisu alipata Kura nyingi kuliko jpm2020?
Hao uliowataja ni wabantu sio wala mirungi nchi haiwez ongozwa na mla mirungindo ushaongozwa sasa. utafanyaje. chukulia songea, wale wangoni ni wazulu wa south africa, wanyasa wa ruvuma ni wamalawi, ukienda mbeya kuna wamalawi na wazambia rundo ila ni watanzania, ukienda bukoba kigoma etc huko wamejaa wanyarwanda warundi na waganda. kuna wamasai wengi arusha ambao ni wakenya. nimekwambia wagogo pekee ndio watanzania halisi wengine wote wahamiaji.