Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Unafurahisha sana we jamaa.
Still we bado huelewi halafu unaandika mambo mengi yasiyohusika.
-Sikumtetea Bashe,labda uoneshe sehem ni wapi nimemtetea Bashe au serikali,ndio maana nikasema serikali INATAKIWA IWAJIBIKE MAANA TANZANIA HAKUNA UHABA WA CHAKULA KIASI TUPEWE MSAADA WA CHAKULA.Kwa hii kauli inaonesha nimeikosoa serikali na ndio maana nikaongezea kusema kuwa sio kila msaada wa kupokelewa Tz hatuna shida na msaada wa chakula serikali ijitizame.
-Nimeupinga huo mchele kwakuwa unasemekana umetiwa virutubisho na asilimia kubwa ya vyakula wanavyotoa hawa jamaa ni GMO vina madhara yake baadae kadri unavyotumia hivi vyakula.
Pia nikakuuliza je,huo msaada wa huo mchele ndio suluhishi ya kukomesha njaa shuleni??
We jamaa aisee embu kuwa muelewa.
 
Cancer inaendena na maendeleo kwa sababu ya lifestyle, umri na upimaji unaotokana na huduma za afya bora.

Nchi zilizoendelea watu wake wana pesa hivyo wanakunywa sana pombe na kutumia bidhaa nyingine nyingi ambazo zinasababisha kansa.

Kansa inaathiri sana pia watu wenye umri mkubwa na wazee ndio maana nchi kama Japan kuna kiwango kikubwa cha kansa, Waafrika wengi wanakufa wakiwa na umri mdogo.

Nchi zilizoendelea watu wanapima sana afya zao na kansa nyingi zinatambuliwa hospitalini tofauti na nchi zetu masikini.
 
Waziri wa Kilimo bado hajasema. Kwani kibali kilitolewa na nani. Utaratibu wa kuingiza bidhaa kama chakula nani anashughulikia. Ni namna gani tunalinda soko la ndani kwa mazao tunayo zalisha ndani
?
 
Halafu baada ya miaka kadhaa watoto wetu waanze kukataa jinsia zao [emoji3]
 
Fact tatu in a nutshell...
1.) Waliotoa msaada wasilaumiwe wametusaidia Kwa miaka na miaka na haijathibitishwa kuwa wametupa kisichofaa.
2.) Shida ya chakula tunayo maana watu wengi hawawezi kununua hicho chakula mashuleni ndiyo kabisaaa. Sikuizi wahisani wanatoa vitu sio Hela... mkipewa Hela hazifiki kwawatoto.
3.) Ukiwa maskini punguza kiburi kitu hukitaki pakia ukirudishe usimchafue anayekusaidia kisa siasa za kijinga.
Sijui unaeleweka??
 
Wanataka kuongeza idadi ya machoko
 
Kwani vibali vya kuingiza mchele vilitoka wapi kama vilitoka kupitia ofisi yake
 
Serikali ishughulike nao hao wasio kuwa na chakula na sio msaada toka marekani
 
-Waliotoa misaada (USA) hakuna asiyejua kama misaada yao mingi ilikua ya maumivu na masharti mengi.
Ukitaka mifano naweza kukuletea,labda kama utakua mgeni nao hao majamaa sio tu Tz bali ulimwenguni.
-Tanzania hatuna shida ya chakula,UNAPOSEMA KUNA SHIDA YA kitu INAMAANA KUNA SCARCITY YA HIKO KITU,TANZANIA HATUNA FOOD SCARCITY,ila mifumo yetu haijakaa kiwajibikaji ili raia waweze kunufaika.Kuhusu hili nakupinga mpaka kesho.Sema Tanzania kuna sehemu wana shida ya chakula ila sio kwamba Tanzania kiujumla ina shida ya chakula.
-Kuhusu upande wa siasa huko sikujihusisha na siko huko mie nimeeleza uhalisia unaotakiwa kuelezeka.
 
Serikali ishughulike nao hao wasio kuwa na chakula na sio msaada toka marekani
Hiki ndicho kinachotakiwa kufanyika.
Imagine mtu anakwambia Tanzania ina shida ya chakula.
Aiseee
 
Watuchezee sisi tuliokomaa lakini sio Watoto wetu.
 
Huo msaada unaweza kuwa na walakini !
Hata chanjo ya korona kuna Baadhi Zina matatizo.
 
We ushtuki tu mchele uongezwe virutubisho ili iweje?wawapelekee wasonja au huko Zambia watu wana njaa kufa mtu.
 
Asante Wamarekani kwa kulisha wanafunzi wetu mashuleni chakula bora
Mkuu kwanini Serikali wasiweke utaratibu wa kutoza kila shilingi mia kwa watumishi binafsi na wauma kwenye Mishahara yao na kuwatoza asilimia 10 vyama vya Siasa vinavyo Pata Ruzuku.
Na kwenye timu za ligi kuu nazo zikatwe Makato ya viingilio na Nyumba za Obada nawenyewe watoe fungu la kumi ili watoto wetu wapate chakula mashuleni.
 
Ninakuomba radhi sana Job Lusinde Ndungah

Nakuomba radhi mzee John Malichera

Nawaomba Radhi wagogo wote popote mlipo mimi.mhaya sio mtani wenu kamwe.

Ila SIWATANII NASEMA KWELI

Natafakari kifo cha Hayati John Pombe Magufuli leo nikiwa HYDOM sijafanikiwa kwenda kanisani kumwombea na kwaombea Marehemu wote walio tangulia mbele za haki.

Ewe adhira naomba nikusimulie

Mie ninae andika hapa niliwai bakia nusu nidakwe na polisi nikiwa na fedha feki pale maeneo ya Posta jiji la walenyeku(najua nimekuacha nenda kasome KAMUSI YA 1988 TUKI itakupa maana ya neno ilo).
Aliyeninusuru ni mgogo mmoja alie kuwa omba omba nilimrushia lire zigo la hela na yeye akaingia pahala ambapo usingeweza amini kama anazo yeye.


Natafakari kifo cha Hayati magufuli na uijgwazwaji wa mchele wenye virutubisho kutoka ulaya mpaka ndani ya tanzania
Tena kutoka bandarini mpaka Katikkati ya nchi Dodoma kama sikosei ulianza kusambazwa kwa wagogo.

Najiuliza

Kibali cha kuingiza chakula kinatolewa na wizara ya Kilimo kwa taasisi binafsi

Kwa NG'OS kwa kuwa hawalipi kodi basi upewa kibali na wizara ya fedha kwa ajili ya kuto tozwa kodi
Je wizara kilimo ilijua ili au wizara ya fedha?

Je katika utawala wa Magufuli ilo nalo lingetazwa au linngechukuliwa hatua?
 
Aibu sana

Wote tunaonekana wezi aisee hatuaminiki tena.

Wanajua wakileta hela zitaibiwa zote.
 
Umeajiriwa huko nini. Ni yupi mbinga angetoa au kupokea
 
Huu ni uwekezaji mkubwa wa Marekani kuzalisha kizazi cha mashoga. Hii nchi imekuwa rahisi sana kuingilika na kila mtu. Nachelea kusema Serikali ni dhaifu sana
Hivi Sisi watanzania ni wakupewa chakula kweli Wakati tunalisha Kenya, South Sudan na wengine
Hata ukiwa mjinga si unaelewa kuna kitu nyuma ya pazia
Bibi mkubwa anafanya kazi ya kuzunguka tu.
Mafuta ya alizeti yamejaa nchi nzima Mnataka Yale ya kuletea watoto wa kiume hamu ya kupandwa
Mmeamua kuangamiza Wanaume kabisa jamani
Kwani HAKI Sawa ni Lazima Wanaume nao waolewe?
Mahindi yamejaa kila upande Nani kusema kuna njaa
Kwa nini Serikali inashindwa kuwalinda wananchi wake? Inaniuma Sana
Viongozi wa nchi mnanunuliwa kama Njugu
Tanzania kitakuwa kitovu cha Mashoga
MTANIKUMBUKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…