🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Wewe pia huelewi nahisi ulikuwa unakuwa wamwisho darasani.
Haijasemwa mahali Tz hatuna chakula...watoto wameteseka njaa miaka na miaka, msamaria kawaletea chakula Toka chanzo rahisi kwake fungua ubongo usijidai tajiri wewe nimaskini wakutupaaa!
Watoto wanaanguka njaa wape Sasa chakula wewe au unataka wafe,kama wamelia shida wameletewa uliza viongozi wako kwanini wanakuwa wajinga KIASI hiko.
Nikimtumia mtu mwenyeshida ya mchele dar toka shinyanga inamaana dar kuna njaa??
Elewa viongozi wa taifa lako ndiyo wanapaswa kubeba aibu ya kushindisha watoto wetu njaa mashuleni huku wakifanya kazi ngumu yakusoma!!! Viongozi wanatembelea V8 watoto shule wanaanguka njaa where is your hearts??
Wewe hujielewi unatetea viongozi kijiiinga bashe ninani yako? Waziri mkuu ajiuzulu Kwa kushindisha watoto njaa mpaka marekani wanasikitika wanawaletea watoto chakula!! Heartless idiots
Unafurahisha sana we jamaa.
Still we bado huelewi halafu unaandika mambo mengi yasiyohusika.
-Sikumtetea Bashe,labda uoneshe sehem ni wapi nimemtetea Bashe au serikali,ndio maana nikasema serikali INATAKIWA IWAJIBIKE MAANA TANZANIA HAKUNA UHABA WA CHAKULA KIASI TUPEWE MSAADA WA CHAKULA.Kwa hii kauli inaonesha nimeikosoa serikali na ndio maana nikaongezea kusema kuwa sio kila msaada wa kupokelewa Tz hatuna shida na msaada wa chakula serikali ijitizame.
-Nimeupinga huo mchele kwakuwa unasemekana umetiwa virutubisho na asilimia kubwa ya vyakula wanavyotoa hawa jamaa ni GMO vina madhara yake baadae kadri unavyotumia hivi vyakula.
Pia nikakuuliza je,huo msaada wa huo mchele ndio suluhishi ya kukomesha njaa shuleni??
We jamaa aisee embu kuwa muelewa.