Nenda kalime na wewe ili uje uwauzie wanaoshinda kwenye betting wakisubiri bashe afunge mipakaNimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Hayo mahindi unayotaka nchi ijitosheleze nayo umelima wewe?Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Nyie ndio Wazazi wenu kule bushi wana lala njaaa na Daily wanahitaji pesa za chakula, sasa mkiwa mjini mnajiona wajanja sanaNenda kalime na wewe ili uje uwauzie wanaoshinda kwenye betting wakisubiri bashe afunge mipaka
Mleta hoja unazani hana pesa ya kula? Acha ujingaNenda kalime na wewe ili uje uwauzie wanaoshinda kwenye betting wakisubiri bashe afunge mipaka
Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Huyo jamaa ni tatizo kwa usalama wa chakula Tanzania (linapokuja swala la mlalahoi kumudu bei za sokoni).
Ni waziri wa ovyo mno na fisadi mkubwa asie na huruma ata chembe.
India Mwaka jana imezuia kuuza ngano nje unazania walikuwa wajinga? Serikali ya Kenya inavyo sa nchi nyingi zilishindwa kuwauiza mahindi kwa sabababu zina akiba kidogo uliwaza nini?Ungejua tunavyohangaika na kilimo usingesema hivo jombaa. Niuze ndani ya nchi gunia moja elfu 36 anakuja mkenya gunia moja nauza laki 1 na 20 hata kama ni ww unamuzia nani hapo????
Acha kukimbia hoja???? Je huyo mkulima unaweza fidia gharama aliuzotumia shambani au unapuyanga jombaaa. Kuna mwaka nimelima mahindi napata gunia 60 nikasema nimeuaga umasikini bei ya soko la ndani tukauza elfu 24 gunia kisa kufunga mipaka. Mahindi hayo yalinitesa kukausha mvua zinapiga kila siku.India Mwaka jana imezuia kuuza ngano nje unazania walikuwa wajinga? Serikali ya Kenya inavyo sa nchi nyingi zilishindwa kuwauiza mahindi kwa sabababu zina akiba kidogo uliwaza nini?
Kama una familia ya kulisha nenda kalime. Usitegemee wengine wakulimie na wakuuzie wewe kwa bei unayotaka, nenda kalime na uuzie familia yako kwa bei unayotaka ama uwape bure.Haya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.
Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
hii ni hoja ya kijinga zaidi kwa mwaka 2023, nipo mbozi nanua debe kwa 12000, so acha tununue wakulima wanufaike na kazi yaoHaya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.
Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
Mlizoe vyakula kuuzwa bei ndogo mtakoma term hiiHuyu Msomali naanza kuwa na mashaka nae. Unajua uzalendo ni kuweka maslahi ya taifa mbele. Sasa hapa naona inchi /taifa letu kama linaendeshwa na wakimbizi.
Huyu mama haeleweki na ndio wale wa kule visiwani so uzalendo ni zero. Huyu nae ni Msomali tazama namna anaendesha hii wizara.
Na ikumbukwe wasomali ni watu wa njaa njaa. Kwa mara ya kwanza jamaa anapewa wizara na Taifa linapitia ukame na uhaba wa chakula.
Huyu mtu atolewe haraka sana kwenye hiyo wizara hakuna anachofanya.
Wewe pusi unadhani angekuwa na hela ya kula angekuja hapa jukwaani kulialia. Mtu mwenye pesa analia gunia la mahindi kuuzwa laki moja huyo jina lake ni fukaraMleta hoja unazani hana pesa ya kula? Acha ujinga
Miye niko kijijini ndiyo maana nawashangaa nyie wa mjini kutaka bei ishuke uliona wapi mtu wa kijijini akalala njaa wanaolala njaa ni nyie wa mjini msio limaNyie ndio Wazazi wenu kule bushi wana lala njaaa na Daily wanahitaji pesa za chakula, sasa mkiwa mjini mnajiona wajanja sana