Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Niko Mozambique mikoa ya kaskazini, wao kilimo kikubwa ni mahindi na maharage, lakini selikali haijawahi kuwapingia bei ya mazao, wanauza mahindi Malawi na Tanzania, huku mkulima wa kawida anamiliki pikipiki, kipindi cha kuanzia mwezi kumi, yaani vijijini wakulima wanashindana kuagiza magari japani

Ludi Tanzania wakulima miaka ya nyuma walikuwa wanatia huruma sana,yaani mtu kalima mazao yake anakatazwa kusafirisha wilaya moja kwenda nyingine,ulikuwa ukilitimba mkubwa
 
Haya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.

Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
Nenda kalangue na wewe utunze mazao mambo ya kulalamika mitandaoni bila kuchukua hatua ni ujinga
 
Niko Mozambique mikoa ya kaskazini, wao kilimo kikubwa ni mahindi na maharage, lakini selikali haijawahi kuwapingia bei ya mazao, wanauza mahindi Malawi na Tanzania, huku mkulima wa kawida anamiliki pikipiki, kipindi cha kuanzia mwezi kumi, yaani vijijini wakulima wanashindana kuagiza magari japani

Ludi Tanzania wakulima miaka ya nyuma walikuwa wanatia huruma sana,yaani mtu kalima mazao yake anakatazwa kusafirisha wilaya moja kwenda nyingine,ulikuwa ukilitimba mkubwa
Unajua mahusiano yaliyopo kati ya hazina ya CHAKULA nchini na USALAMA wa Nchi?

Kama Kweli wakulima wanatosheleza soko la ndani, mbona hatuoni competition itayoleta unafuu wa Bei masokoni na ubora wa bidhaa Kutoka masokoni?
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Nyie wapumbavu , toka hapa JF nenda ukalime uone mkulima anavyoteseka kuliko kupoteza MBs humu kuandika utumbo.

Mkulima wa Tanzania asipangiwe bei na mtu yeyote!! Unataka bei ziterrmke ili iweje?

Kuanzia mwaka juzi toka Hussein Bashe awe Waziri wa Kilimo alisema muache mkulima amuuzie mtu anayempa bei nzuri!! Nashangaa badala ya kwenda kulima mchangamkie fursa ya bei nzuri instead mnataka kurudisha maisha ya wakulima nyuma.
 
India Mwaka jana imezuia kuuza ngano nje unazania walikuwa wajinga? Serikali ya Kenya inavyo sa nchi nyingi zilishindwa kuwauiza mahindi kwa sabababu zina akiba kidogo uliwaza nini?
Nenda India mjinga wewe. Mumejaa mijini mnafanya kazi za kusuka nywele na kuosha miguu ya wadada badala ya kujishugulisha na kilimo. Halafu unataka wakulima wauze kwa bei rahisi
 
Mleta mada ni mtu mpumbavu sana.

Hii nchi ina ardhi kubwa sana. Wacha demand ya maindi iwe kubwa ili watu wengi waweze kulima.
Wakulima wauze watakako.

KAZI ya Serikali ni kuhakikisha inadhibiti mfumuko wa Bei za Bidhaa masokoni.

Njia za kudhibiti ni sirikali kununua na kutunza chakula ktk maghala na kuuzia wachuuzi masokoni Kwa Bei nafuu Ili Bei ziendane na vipato vya wananchi wa chini.

Wizara anayosimamia bashe imefanikiwa kiasi Gani ktk Hilo?

Kila kitu Bei juu, Mchele, Maharage nk nk.

Njaa Kali inakuja kuikumba Dunia wakati tunaendelea kuvuta shuka. Hazina ya CHAKULA Iko wapi?
 
Haya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.

Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
Nenda ulime ulishe familia yako, yaani unataka mwingine alime ununue bei Chee,
 
Unajua kwa mtu asiyewajali walala hoi anaweza akasema waziri yupo sawa. hila mkulima asizuiliwe kuuza mazao yake kwenye bei nzuri popote pale apatakapo sawa hila kwa nini serikali sasa isiyanunue hayo mazao kwa bei nzuri ya kumfuta uchungu mkulima alafu baadae waje wawauzie raia wao bei nafuu kipindi cha mambo magumu kazi ya serikali ni kuakikisha raia wake wanakuw na maisha bora ikiwezekana wayagawe bure kabisaa kwani hzo pesa zitakazonunua hayo mazao ni kodi za wananchi
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Wakati wanalima ulishauri wapewe mitaji? Mbolea na Fedha za kulimia? Ulikuwa Bar unakunywa mtori sa ivi unawapangia Cha kufanya
 
Ungejua tunavyohangaika na kilimo usingesema hivo jombaa. Niuze ndani ya nchi gunia moja elfu 36 anakuja mkenya gunia moja nauza laki 1 na 20 hata kama ni ww unamuzia nani hapo????
Tatizo akili zenu ni takataka unadhani mkenya akinunua 120k ndio uchumi wa mkulima unakuwa? Yaani ni kuhamisha tatizo unalitoa kwa mkulima mwezi huu kesho unalirudisha ... mkulima anauza 120k baada ya miezi mitatu mahindi yanarudi shamba kwa 150k kwa gunia umefanya nini kama sio akili matope.
 
Hayo mahindi unayotaka nchi ijitosheleze nayo umelima wewe?
Unajua kwann pesa zetu za Kodi zinatumika kuagiza mbolea ya wakulima na Serikali inatia RUZUKU Kwa MKULIMA?

Kuna MKULIMA anajiagizia mbolea nje ya nchi?

Unajua KAZI za wizara ya KILIMO ni pamoja na kuhakikisha Bei haziwi kubwa Kwa wananchi Kwa kununua chakula Kwa wakulima na kutunza ktk maghala Ili kuja kuwauzia wachuuzi masokoni kudhibiti mfumuko wa Bei?

Huyo bashe ni failure ktk wizara hiyo.
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Ondoa UPUMBAVU wako hapa. Kama huwezi kununua mahindi/unga kwa bei ya sasa, wewe ni mvivu hata ukifa taifa halina hasara.

Mambo ya kufunga mipaka kwa ajili ya ku control bei ya vyakula ili wavivu wa mijini wale kwa mteremko tuliyazika na Magufuli alipokufa mwaka 2021.

Waacheni wakulima wauze wanakotaka kwa bei wanayotaka
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na congo...hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ...au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !! Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Badala ya kumshauri Bashe, Mimi nakushauri uende ukalime Mahindi kisha ukatae kuyauza kwa Shs. 140,000/= kwa Gunia Moja badala yake uuze Gunia kwa Shs. 35,000/= kama ilivyokuwa miaka 3 iliyopita wakati Watawala walipozuia Mahindi kwenda Kenya. Mkulima anatumia zaidi ya Sh. 75,000/= kuzalisha Gunia moja, Kisha alazimishwe kupata hasara. Hii ni ajabu sana
 
Tatizo akili zenu ni takataka unadhani mkenya akinunua 120k ndio uchumi wa mkulima unakuwa? Yaani ni kuhamisha tatizo unalitoa kwa mkulima mwezi huu kesho unalirudisha ... mkulima anauza 120k baada ya miezi mitatu mahindi yanarudi shamba kwa 150k kwa gunia umefanya nini kama sio akili matope.
Wewe mwenye akili za mende unataka tumuuzie Mkenya kwa Tsh ngapi?
 
Unajua kwa mtu asiyewajali walala hoi anaweza akasema waziri yupo sawa. hila mkulima asizuiliwe kuuza mazao yake kwenye bei nzuri popote pale apatakapo sawa hila kwa nini serikali sasa isiyanunue hayo mazao kwa bei nzuri ya kumfuta uchungu mkulima alafu baadae waje wawauzie raia wao bei nafuu kipindi cha mambo magumu kazi ya serikali ni kuakikisha raia wake wanakuw na maisha bora ikiwezekana wayagawe bure kabisaa kwani hzo pesa zitakazonunua hayo mazao ni kodi za wananchi
NFRA vibali vilikuwa vinatoka kwa 72k kwa tani wanaovinunua wanauza kwa 92k kwa tani mnunuaji wa mwisho anayapata mahindi kwa 1200/kg ila wanunuzi wote wakubwa wanauziwa vibali na vigogo kwa mgongo wa wafanyabiashara. So kudhani eti ipo siku viongozi wetu watamtetea mtu wa chini haipo hiyo. Kuna wajinga wengi humu JF wanashabikia utoaji ruhusa ya kuuza mazao nje utadhani wanaishi nje ya nchi. Wakati hali ya maisha ni aghali sana kwa watu wengi.
 
Back
Top Bottom