t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Kama serikali inaweza kununua mahindi kwa bei ya juu ili kunusuru walaji, kwa nini isitumie pesa hizo hizo kuwapa ruzuku wakulima ili walime kwa bei nafuu na kuuza kwa bei nafuu?Haya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.
Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
Wakulima wanalima kwa ukiwa na shida tele , wanakuja kuonekana na serikali wanapouza mazao yao tu.