Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Sera za kuzuia mazao yasiuzwe nje ni sera mfilisi. Hakuna kiongozi mwerevu anayeweza kufanya hivyo.
Ushauri ulio mzuri, ni Serikali kwenda kununua mazao kwa wakulima ikashindane na wanunuzi wengine.
Siyo jukumu la mkulima kumtunza mtu yeyote. Kuna wakati Twiga cement walikuwa wanapeleka cement South Africa, halafu tunaagiza cement toka Uganda.
Tukitaka kilimo kikue, kistawi na watu wengi waingie kwenye kilimo, ni lazima tukifanye kuwa ni biashara, na biashara unapeleka pale ambapo unaona utanufaika zaidi.
Jukumu la kuwa na hifadhi ya kutosha ya chakula ni la Serikali, siyo la mkulima
Ushauri ulio mzuri, ni Serikali kwenda kununua mazao kwa wakulima ikashindane na wanunuzi wengine.
Siyo jukumu la mkulima kumtunza mtu yeyote. Kuna wakati Twiga cement walikuwa wanapeleka cement South Africa, halafu tunaagiza cement toka Uganda.
Tukitaka kilimo kikue, kistawi na watu wengi waingie kwenye kilimo, ni lazima tukifanye kuwa ni biashara, na biashara unapeleka pale ambapo unaona utanufaika zaidi.
Jukumu la kuwa na hifadhi ya kutosha ya chakula ni la Serikali, siyo la mkulima