Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,

bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?

Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
Wew ulie mwerevu kalime, upo hapo hujui hata mkulima anatumia gharama gani kwa hekari 1 hadi kuvuna lakin unataka umpangie bei ya soko jinga wew
 
Safi sana, mlulima auze anapotaka na kwa bei nzuri. Asiemudu akalime na yeye.... machinga na bodaboda watatudi mashambani kama bei ya mazao ikiwa juu
Swala la kuratibu wachuuzi ntakuelewa ila sio sio kumminya mkulima kwa bei ndogo eti we unafamilia yako isiyojua mateso ya shamba ndo mmpangie mkulima auzaje mazao yake wakati akihangaika na shamba hukumsaidia chochote
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
ujitosheleze we nani? Mshahara wako kuna mtu anakupangia? Ache wakulima wapange namna ya kutumia mishahara yao ambayo ni mazao wanayoyavuna. Mnavyotumia mishahara yenu na michepuko kuna mtu anawaingilia? Hizo ni dharau kwa wakulima. Hawalimi kwa ajili yako ni kwa ajili yao. Mwisho shika jembe na wewe.
 
1.Ardhi IPO 100%,

2. Watu wapo 100%,

3. Ujinga 80%,

4. Uongozi Bora 3%.

5. RUSHWA 98%.

Tukumbuke kuwa Bado shehena ya Kutoka nje Serikali iliyoagiza nje ya nchi Kwa kulipa Dollars haijaweza saidia Bei ya vyakula masokoni kushka Bei.

Ukihoji kwann wanaruhusiwa kuingia kununua direct Kwa MKULIMA tena Kwa Tshs wakati mbolea tumeagiza Kwa Dollars utaambiwa una nongwa na wakulima.

Tusubiri.
Endelea kusuburi tu ila acha mkulima nae afaidike na jasho lake, hujui ugumu wa shamba lakin unataka umpangie bei mkulima anaesota shamba we upo umeweka kende zako juu ya sofa
 
maslahi ya taifa ni wakulima kuuza mazao yao kwa bei ya hasara? Kisa wawahifadhie wavivu km wewe? Acheni udwanzi
 
Wew ulie mwerevu kalime, upo hapo hujui hata mkulima anatumia gharama gani kwa hekari 1 hadi kuvuna lakin unataka umpangie bei ya soko jinga wew
We mjinga ni kuulize unazamia hao wakulima.wanajua hata mpaka wa Congo unafananaje? Hayo mahindi wanauza bei cheee wanao fadika ni hao Madalali
 
Huyo jamaa ni tatizo kwa usalama wa chakula Tanzania (linapokuja swala la mlalahoi kumudu bei za sokoni).

Ni waziri wa ovyo mno na fisadi mkubwa asie na huruma ata chembe.
mlalahoi ni mtu wa aina gani, we ndiyo mtu wa ovyo, mmekimbia kulima mnaenda kufanya umachinga mjini sasa mnataka mtunziwe mahindi? Rudi kijijini mkalime mashamba yako mengi. Bashe ana akili sana
 
Wew ulie mwerevu kalime, upo hapo hujui hata mkulima anatumia gharama gani kwa hekari 1 hadi kuvuna lakin unataka umpangie bei ya soko jinga wew
Wanyonge wa Magufuri kumbe ni wavivu wavivu tu vibaka wa vijiweni roho mbaya imewatawala,hawataki mafanikio ya watu wengine kisa wivu na uroho,wao raha yao yao ni kuona watu wakiteseka,mtu unalilia kufunga mipaka huku unasahau kuwa jukumu la Serikali ni kutoa huduma bora kwa wananchi wake na siyo kuzuia fursa za maisha yao.Ndiyo maana nchi yetu inahangaika kwa sababu ya sheria mbovu za awamu ya tano za kutetea umaskini kuona maskini ana thamani kulikop mchapa kazi.
Kama mtu unaona chakula kinaisha nchini tafuta mtaji mkubwa au kopa hela Serikalini nunua mazao kwa kiwango unachotaka wewe,tunza mpaka msimu wa njaa uje uuze kwa bei ya faida utafurahia hayo maisha kuliko kumlaumu Bashe ambaye hana tatizo lolote kwenye changamoto zako.Kilimo ni uti wa mgongo wa Mtanzania,soko zuri ndiyo unafuu wa mkulima na Mtanzania kwa ujumla.Asante.
 
Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,

bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?

Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
kahamie huko Zambia
 
Unajua kwann pesa zetu za Kodi zinatumika kuagiza mbolea ya wakulima na Serikali inatia RUZUKU Kwa MKULIMA?

Kuna MKULIMA anajiagizia mbolea nje ya nchi?

Unajua KAZI za wizara ya KILIMO ni pamoja na kuhakikisha Bei haziwi kubwa Kwa wananchi Kwa kununua chakula Kwa wakulima na kutunza ktk maghala Ili kuja kuwauzia wachuuzi masokoni kudhibiti mfumuko wa Bei?

Huyo bashe ni failure ktk wizara hiyo.
Wewe mpuuz ,ni mkulima gani kapewa ruzuku unayemjua wewe ?
 
Endelea kusuburi tu ila acha mkulima nae afaidike na jasho lake, hujui ugumu wa shamba lakin unataka umpangie bei mkulima anaesota shamba we upo umeweka kende zako juu ya sofa
Tumia Akili kama unazo.

MKULIMA asipangiwe Bei, auze atakavyo.

Serikali chini ya wizara ya bashe Ina wajibu wa kununua mazao muda huu Kwa wakulima na kutunza shehena kubwa katika maghala Ili kudhibiti mfumuko wa Bei.

Unawajua WAMILIKI wa makampuni yanayoingia Hadi mashambani kusafirisha mazao nje ya nchi?

Always, watu wenye uono hafifu kifikra ndo huingizwa katika wimbi la sifia sifia bila kujua dhamira nyuma ya kauli za viongozi.
 
Wewe mpuuz ,ni mkulima gani kapewa ruzuku unayemjua wewe ?
Bunge limepitisha budget kwa ajili ya RUZUKU ya mbolea.

Bila Kodi ya wananchi kutumika kuagiza mbolea na kuweka RUZUKU, Bei ya mbolea isingekuwa hapo ilipo.

Wahuni hao hao wa wizara ya bashe wamepiga na wanachanganya mchanga kwenye viroba.

MKULIMA Badala ya kuhoji kwann mbolea haimfikii Ili kusaidia mavuno kuongezeka,

MKULIMA huyo huyo anafurahi kuwauzia makampuni ya hao hao waliohusika kuhujumu mbolea.

Ujinga utakapopungua Kwa angalau 50%, hatimaye MKULIMA atakuwa tajiri Kwa JASHO lake.
 
Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,

bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?

Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
Nyie ndo wapumbavu wakubwa.kwamba wewe na wenzio mna akili kuliko serikali??au unafikiri bashe mjinga Sio serikali?
 
Usiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili ni mavi.
Ni kweli kabisa japo mbolea imewekwa ruzuku ambayo hairejeshwi wakati wa kuuza mazao yao hivyo kwa namna moja au nyingine Serikali ina hisa hapo. Nafikiri Muhimu zaidi hapa ni Elimu Elimu Elimu.....
Kwa kukosa Elimu wakulima wanauza mahindi/mazao kwa fujo bila kujiwekea akiba, baada ya miezi sita wanalia kuwa hawana chakula na kuilaumu Serikali kwa kutowapelekea mahindi.....
 
Wanyonge wa Magufuri kumbe ni wavivu wavivu tu vibaka wa vijiweni roho mbaya imewatawala,hawataki mafanikio ya watu wengine kisa wivu na uroho,wao raha yao yao ni kuona watu wakiteseka,mtu unalilia kufunga mipaka huku unasahau kuwa jukumu la Serikali ni kutoa huduma bora kwa wananchi wake na siyo kuzuia fursa za maisha yao.Ndiyo maana nchi yetu inahangaika kwa sababu ya sheria mbovu za awamu ya tano za kutetea umaskini kuona maskini ana thamani kulikop mchapa kazi.
Kama mtu unaona chakula kinaisha nchini tafuta mtaji mkubwa au kopa hela Serikalini nunua mazao kwa kiwango unachotaka wewe,tunza mpaka msimu wa njaa uje uuze kwa bei ya faida utafurahia hayo maisha kuliko kumlaumu Bashe ambaye hana tatizo lolote kwenye changamoto zako.Kilimo ni uti wa mgongo wa Mtanzania,soko zuri ndiyo unafuu wa mkulima na Mtanzania kwa ujumla.Asante.
Asante sana ndugu yangu,Kwa mawazo Haya mjadala ufungwe kabisa[emoji120][emoji120][emoji109]
 
Kwenye population ya 60 million Tanzanians. 30% sio wakulima na wanaishi mijini.

Hayo mazao ya shambani mengi yanauzwa magengeni hakuna cha VAT huko serikali aipati makusanyo ya hivyo.

Ilhali mpaka sasa huyo kichaa Bashe ameshapewa zaidi ya trillion moja kufanya upuuzi wake huko kwenye kilimo. Hiyo 30% ni sawa na 18 million people wakubwa na vichanga kwa wastani kila mtu kachangia tsh 55 elfu, hao wakulima waweze pata mbolea za ruzuku, Bashe afanye experiment za kipumbavu za kilimo.

Bado ujaweka mchango wa watu mijini kwenye kujenga hizo barabara zinazoenda mpaka kijijini na kuwafungulia masoko hao wakulima, mchango wao kufikishiwa umeme vijijini na mambo luluki.

Wanastahili zote kuangaliwa kwenye bei himilivu ya chakula; hizo hela zinazoenda huko azitoki mfukoni kwa baba yake Bashe ni kodi za watu wa mjini; bila ya wao hakuna mkulima wala watu wakwenda kununua hayo mazao.

Mkulima hana mchango wowote kwenye kodi ni kupe anaetegemea hela za walipa kodi mjini ili aishi; halafu mnasema watu wa majini hawana mchango kwa mkulima. Hizo sijui akili za wapi.
Wewe ni mpumbav , kwa hiyo mkulima unayemuita kupe ndio unategemea alime kwa. Tabu kukulisha wewe mjini?
 
Kama una familia ya kulisha nenda kalime. Usitegemee wengine wakulimie na wakuuzie wewe kwa bei unayotaka, nenda kalime na uuzie familia yako kwa bei unayotaka ama uwape bure.

Ulivyo taahira unataka mimi nilime kwa gharama zangu halafu wewe uje ununue kwa bei ndogo ukalishe familia yako, kalime uwalishe mwenyewe.

Nimelima mwenyewe kwa gharama zangu na nitauza mahala napotaka.

Familia yako inanihusu nini mimi? Walale njaa, wafe njaa mimi nahusikaje? Walikuja kunisaidia kupalilia?

Wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka.
Nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom