Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Zamani tulisikia kauli kama "kama umeshindwa maisha ya mjini nenda kalime" tukaenda kulima. Sasa hivi hao hao waliotufukuza mjini wanaona wivu tusiishi maisha mazuri kwa pesa nzuri ya mazao yetu.

Nyie watu wa mjini mmezidi kudeka. Mkija Krismass mnatulingishia vigari vyenu ila mpaka Samia na Bashe wanaondoka madarakani tutakuwa tumewatia adabu.

Nyie watu wa mjini badala ya kununua stock ya chakula mkaweka ndani nyie mmejaza majumba na maTV, ma-home theater, makochi ya kichina, n.k. mnatumia fedha kwa mashindano kununua mahari na kuyajaza mafuta kila siku hata kama uwezo hamna, mnashindana kumiliki mademu, kununua nguo kila mwezi, kula bata bar n.k lakini kutenga laki 2 ununua gunia mbili za mahindi unaona mkulima anapewa hela nyingi.

Nikushukuru FaizaFoxy kwa kuunga mkono wakulima.
Binafsi ni mkulima na mfugaji, tena wa siku nyingi sana, sijaanza leo wala jana.

Nawashangaa wasioelewa faida za mashamba.

Kama ni ushamba basi mimi ni mshamba namba 1.
 
Kwanini utafute unafuu wa Bei Kwa MKULIMA kama una Nia ya kumsaidia MKULIMA?

Hatuna ugomvi na MKULIMA.

Tunataka Serikali inunue vyakula hivyo Kwa Bei ya sasa MKULIMA apate pesa yake ajiandae na msimu ujao.

Serikali Itunze chakula hicho kwenye maghala katika mikoa mbalimbali nchini.

Itakapofika miezi ya Sept Hadi January, Serikali ifungue maghala Ili wakulima na wafanyabiashara masokoni wakinunue tena Kwa Bei nafuu wakati wakisubiri mavuno.

Jambo hili la Serikali kutunza vyakula ktk maghala kutamsaidia MKULIMA akipate chakula hicho hicho alichokiuza wakati ambao Yuko katika kusubiri mavuno.

Sirikali isifuche udhaifu wake Kwa HOJA mufilisi kwamba MKULIMA asipangiwe wapi auze wakati yenyewe hainunui na kutunza ghalani kudhibiti mfumuko wa Bei.

Sirikali imsaidie MKULIMA kutunza chakula ghalani Kwa kukinunua na kumuuzia tena Kwa Bei nafuu.

Mara nyingi UONGO Huwa unaaminika na kupokea kirahisi na haraka na WAJINGA.

Lowassa: ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU.
Serikali hata ikibunua mazao moja kwa moja kutoka kwa mkulima, bado haimsaidii mkulima huyo, kumbuka kilimo ni hatua na hadi unakuja kuona mazao ni hatua ya mwisho kabisa, kuna ukame huwa unapita wakulima wanapata hasara, kuna mbolea zilitumika mbegu n.k ukipita ukame hii hadara yote inakuwa ya mkulima kwa kuwa mazao hayapatikani tena.

Serikali kama inataka kumsaidia mkulima basi walau iingie katika hatua za mwanzo za kilimo ili kama kuna hasara zitakazojitokeza basi angalau ziwe shared, kusubiria mkulima avune ndo uanze kutoa msaada ni aina nyingine ya utapeli.

pfizer pharmaceutical walishawahi kutoa ufafanuzi kwa nini dawa zao zinauzwa ghali sana! Kwamba wanapofanya research huwa wanatumia gharama kubwa na kuna baadhi ya matokeo hayawi chanya despite ya kutumia gharama kubwa, sasa siku wakija kupata dawa lazima wauze kufidia na hasara zoote walizopata walipokuwa wanfanya utafiti.

Mkulima aachwe auze kwa bei inayomfaa! kuna kipindi wanapata hasara za ukame na hawavuni kabisa.
 
Na suluhisho la hili sio kuacha kumuuzia bali ni kulima zaidi ili umuuzie zaidi. At this rate soon mahindi tutaanza kuuza kwa dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
HOJA nzuri.

Kama wanakuja nchini petu kununua vyakula,

Wakanunue vyakula ktk Maghala ya Serikali in terms of dollars.

Nchi Ina uhaba wa pesa za kigeni sababu tunaagiza mbolea na pembejeo Kwa dolkar.

Wizara ya KILIMO iongeze ujenzi wa maghala Nchi nzima,

Inunue vyakula Kutoka Kwa wakulima, Itunze stock.

Wanunuzi Kutoka nje ya nchi waje na Dollars wanunue Mchele na Mahindi nk nk Kwa dollar.

Uchumi wetu utapata, na Nchi itaepuka kuagiza chakula nje ya nchi sababu itakuwa na hazina ya kutosha.

Pia itaweza kudhibiti mfumuko wa Bei sababu itaweza kujua demand ni kiasi Gani soko la ndani, na itajua kiasi Gani iuze na kiasi Gani Itunze.

KATIBA MPYA alosimamia Judge WARIOBA ilitamka Waziri asitokane na wabunge na wasijihusishe na biashara wapo ktk Utumishi wa Umma.

Waziri husika anatuhumiwa kujihusisha na biashara hivyo kushindwa kutimiza majukumu yake kama waziri.
 
Na suluhisho la hili sio kuacha kumuuzia bali ni kulima zaidi ili umuuzie zaidi. At this rate soon mahindi tutaanza kuuza kwa dola ili wavivu kama nyie mlie zaidi.
Sahihi kabisa.

Asitazamwe kama mtoto au mjomba au "jirani" yetu bali KIBIASHARA kama Mteja, basi.
 
Serikali hata ikibunua mazao moja kwa moja kutoka kwa mkulima , bado haimsaidii mkulima huyo, kumbuka kilimo ni hatua na hadi unakuja kuona mazao ni hatua ya mwisho kabisa , kuna ukame huwa unapita wakulima wanapata hasara , kuna mbolea zilitumika mbegu n.k ukipita ukame hii hadara yote inakuwa ya mkulima kwa kuwa mazao hayapatikani tena.
Serikali kama inataka kumsaidia mkulima basi walau iingie katika hatua za mwanzo za kilimo ili kama kuna hasara zitakazojitokeza basi angalau ziwe shared , kusubiria mkulima avune ndo uanze kutoa msaada ni aina nyingine ya utapeli
pfizer pharmaceutical walishawahi kutoa ufafanuzi kwa nini dawa zao zinauzwa ghali sana ! Kwamba wanapofanya research huwa wanatumia gharama kubwa na kuna baadhi ya matokeo hayawi chanya despite ya kutumia gharama kubwa , sasa siku wakija kupata dawa lazima wauze kufidia na hasara zoote walizopata walipokuwa wanfanya utafiti.
Mkulima aachwe auze kwa bei inayomfaa !! kuna kipindi wanapata hasara za ukame na hawavuni kabisa
Mkulima auze katika maghala ya sirikali, wageni wakanunue katika maghala ya sirikali kwa Dollar.

Tumekwisha nusa yajayo, kuna njaa kali inakwenda kuipiga Dunia, hivyo tusipowastua viongozi wetu, nchi haitotawalika huko mbeleni.
 
HOJA nzuri.

Kama wanakuja nchini petu kununua vyakula,

Wakanunue vyakula ktk Maghala ya Serikali in terms of dollars.

Nchi Ina uhaba wa pesa za kigeni sababu tunaagiza mbolea na pembejeo Kwa dolkar.

Wizara ya KILIMO iongeze ujenzi wa maghala Nchi nzima,

Inunue vyakula Kutoka Kwa wakulima, Itunze stock.

Wanunuzi Kutoka nje ya nchi waje na Dollars wanunue Mchele na Mahindi nk nk Kwa dollar.

Uchumi wetu utapata, na Nchi itaepuka kuagiza chakula nje ya nchi sababu itakuwa na hazina ya kutosha.

Pia itaweza kudhibiti mfumuko wa Bei sababu itaweza kujua demand ni kiasi Gani soko la ndani, na itajua kiasi Gani iuze na kiasi Gani Itunze.

KATIBA MPYA alosimamia Judge WARIOBA ilitamka Waziri asitokane na wabunge na wasijihusishe na biashara wapo ktk Utumishi wa Umma.

Waziri husika anatuhumiwa kujihusisha na biashara hivyo kushindwa kutimiza majukumu yake kama waziri.
Vizuri sana!
 
MKULIMA auze ktk maghala ya sirikali, wageni wakanunue ktk maghala ya sirikali Kwa DOLLAR,

Tumekwisha nusa yajayo, Kuna njaa Kali inakwenda kuipiga Dunia, hivyo tusipowastua viongozi wetu, Nchi haitotawalika huko mbeleni.
Ni hatua nzuri ila serikali nayo hulo ghalani inunue kwa bei ya soko, kikwete alifanikiwa sana kwenye hili la kununua mazao kwa mkulima
 
Ni hatua nzuri ila serikali nayo hulo ghalani inunue kwa bei ya soko, kikwete alifanikiwa sana kwenye hili la kununua mazao kwa mkulima
KAZI mojawapo ya wazara ya KILIMO ni kuhakikisha MKULIMA ananufaika,

Lakini pia inawajibika kudhibiti mfumuko holela wa Bei za Bidhaa Kwa namna mbalimbali.

Mazao ya biashara kama kahawa na korosho wanadhibiti, iweje mazao ya vyakula waachie ijiendee kiholela?
 
KAZI mojawapo ya wazara ya KILIMO ni kuhakikisha MKULIMA ananufaika,

Lakini pia inawajibika kudhibiti mfumuko holela wa Bei za Bidhaa Kwa namna mbalimbali.

Mazao ya biashara kama kahawa na korosho wanadhibiti, iweje mazao ya vyakula waachie ijiendee kiholela?
Na hii ya wakenya kuja kununua mazao direct kwa mkulima linawezekana kabisa kulidhibiti, sijui serikali inafeli wapi
 
Wakulima hawafaidiki popote na mpango wa Waziri Bashe bali wachuuzi wa mazao ndio wafaidika wakuu na Bashe anafahamu ila ni mnufaika wa mpango huo ndiyo maana kajizima data

Saidia wasomaji kuwa wachuuzi ndio waneemekaji wakubwa kivipi
 
Hakuna mtanzania mwenye kipato kizuri halafu mwenye ndugu unga-unga wanaemtegemea yeye. Na wanapokwama shida zao wakampelekea huyo, akamuelewa Bashe.

Huyo mtu anaepigiwa simu anaweza mudu gharama za kupanda maisha kama yeye, ila atapo pokea simu za mizinga ya njaa kutoka kwa nudge zake mungu anajua anavyotatua kwa uelewa wa mazingira yao.

Na ndio asilimia kubwa ya familia za watanzania bara; atujui huko visiwani.

Ni jitu jinga au lifisadi lenye roho mbaya linaloweza tetea ujinga wa Bashe. Lakini kwa wale wenye ndugu wenye vipato vidogo tunajua vilio vyao vya gharama za, kodi zao za Pango, mishahara yao, gharama za chakula na wengine na unattainablility ya vipato vyao.

Unakuta mijitu mijinga inatetea sawa tu kupanda kwa gharama za chakula; how stupid.

Get rid of this idiot on that ministry. Mamillioni ya watu wanaumia bila ya sera ya price stability kwenye chakula. Halafu waziri mwenye ana huruma; we vipi.

Kukwepa gharama wekeza kwenye kilimo wapo watanzania wengi sana waliona kuwa hawawezi kuwa wanatoa hela kununua mchele walichokuwa wanakifanya na mpaka leo wanaendelea kukifanya nji kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga hivyo walifanikiwa kukwepa hizo gharama unazodai(bei juu za nafaka unazodai)
 
Mataahira na wapumbavu hawatakuelewa mkuu!

Kwa utaahira wao wanafikiri anaefaidi eti ni mkulima,
Njaa itakapoanza atakae kuwa wa kwanza kulia ni huyo huyo mkulima

Hakutakuwa na njaa kwani ni miaka gani ambayo mipaka ilifunguliwa kukawa na njaa sababu ya mipaka kufunguliwa
 
We mjinga ni kuulize unazamia hao wakulima.wanajua hata mpaka wa Conho unafananaje? Hayo mahindi wanauza bei cheee wanao fadika ni hao Madalali

Kama unasema wanauza bei chee kwa madalali sasa malalamiko ya nini humu? Si jambo rahisi tu hapo na wengine nao wakanunue hiyo hiyo bei chee unayosema dalali anatoa
 
Kwanini utafute unafuu wa Bei Kwa MKULIMA kama una Nia ya kumsaidia MKULIMA?

Hatuna ugomvi na MKULIMA.

Tunataka Serikali inunue vyakula hivyo Kwa Bei ya sasa MKULIMA apate pesa yake ajiandae na msimu ujao.

Serikali Itunze chakula hicho kwenye maghala katika mikoa mbalimbali nchini.

Itakapofika miezi ya Sept Hadi January, Serikali ifungue maghala Ili wakulima na wafanyabiashara masokoni wakinunue tena Kwa Bei nafuu wakati wakisubiri mavuno.

Jambo hili la Serikali kutunza vyakula ktk maghala kutamsaidia MKULIMA akipate chakula hicho hicho alichokiuza wakati ambao Yuko katika kusubiri mavuno.

Sirikali isifuche udhaifu wake Kwa HOJA mufilisi kwamba MKULIMA asipangiwe wapi auze wakati yenyewe hainunui na kutunza ghalani kudhibiti mfumuko wa Bei.

Sirikali imsaidie MKULIMA kutunza chakula ghalani Kwa kukinunua na kumuuzia tena Kwa Bei nafuu.

Mara nyingi UONGO Huwa unaaminika na kupokea kirahisi na haraka na WAJINGA.

Lowassa: ELIMU, ELIMU, ELIMU, ELIMU.


Kwa nini wananchi wote mnaotaka bei nafuu msiingie shambani kulima ili ya bei nafuu yapatikane?
 
MKULIMA auze ktk maghala ya sirikali, wageni wakanunue ktk maghala ya sirikali Kwa DOLLAR,

Tumekwisha nusa yajayo, Kuna njaa Kali inakwenda kuipiga Dunia, hivyo tusipowastua viongozi wetu, Nchi haitotawalika huko mbeleni.

Njaa ilishindwa kupiga 2020 na ile lockdown ya Covid19 ije kupiga mwaka huu ambao ni mwaka wa 2023?
 
Back
Top Bottom