2020 hapakuwa na TABIA hii ya wageni kuingia mashambani.Njaa ilishindwa kupiga 2020 na ile lockdown ya Covid19 ije kupiga mwaka huu ambao ni mwaka wa 2023?
TISHIO la njaa ni dhahiri, kama una pesa, nunua vyakula vya kutosha, tunza akiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020 hapakuwa na TABIA hii ya wageni kuingia mashambani.Njaa ilishindwa kupiga 2020 na ile lockdown ya Covid19 ije kupiga mwaka huu ambao ni mwaka wa 2023?
Kwahiyo MURAA tuache LINDO tukalime sio?Kwa nini wananchi wote mnaotaka bei nafuu msiingie shambani kulima ili ya bei nafuu yapatikane?
2020 hapakuwa na TABIA hii ya wageni kuingia mashambani.
TISHIO la njaa ni dhahiri, kama una pesa, nunua vyakula vya kutosha, tunza akiba.
Kwahiyo MURAA tuache LINDO tukalime sio?
KAZI ya wizara ya KILIMO ni ipi Hasa?
Ukisubiri njaa itokee utakuwa umechelewa,Hakuna tishio la njaa mkuu watu mahindi wamepata sana mwaka huu
Ni kukugawia chakulaKwahiyo MURAA tuache LINDO tukalime sio?
KAZI ya wizara ya KILIMO ni ipi Hasa?
No, ni kudhibiti mfumuko wa Bei.Ni kukugawia chakula
Wakalime na wao waache kuwafanya wakulima kama marobot yao.Acha kukimbia hoja???? Je huyo mkulima unaweza fidia gharama aliuzotumia shambani au unapuyanga jombaaa. Kuna mwaka nimelima mahindi napata gunia 60 nikasema nimeuaga umasikini bei ya soko la ndani tukauza elfu 24 gunia kisa kufunga mipaka. Mahindi hayo yalinitesa kukausha mvua zinapiga kila siku.
Kwani shida iko wapi hao wakenya kununua wenyewe kwa wakulima bei nzuri wazo lako ni zuri lakini utekelezaji wake ni mgumu ni njia rahisi sana ya kuwatajirisha watu wizi utaongezeka kwenye kununua hayo mazao pia kutakuwa na ucheleweshwaji wa pesa kwa wakulima ni changamoto kumbuka serikali hawatoi pesa cash kama hao wakenya wanavyofanyaMKULIMA auze ktk maghala ya sirikali, wageni wakanunue ktk maghala ya sirikali Kwa DOLLAR,
Tumekwisha nusa yajayo, Kuna njaa Kali inakwenda kuipiga Dunia, hivyo tusipowastua viongozi wetu, Nchi haitotawalika huko mbeleni.
Pesa zipo, tatizo letu waafrica ni UONGOZI BORA hamna.Kwani shida iko wapi hao wakenya kununua wenyewe kwa wakulima bei nzuri wazo lako ni zuri lakini utekelezaji wake ni mgumu ni njia rahisi sana ya kuwatajirisha watu wizi utaongezeka kwenye kununua hayo mazao pia kutakuwa na ucheleweshwaji wa pesa kwa wakulima ni changamoto kumbuka serikali hawatoi pesa cash kama hao wakenya wanavyofanya
We jamaa wewe,kilimo cha makampuni gani huko michina imejaa mpk inalima kabeji.
Inauza kila kitu mpk mitaani ni michina,
migahawa ni michina,
Mpk kupima uzito michina
Kuchoma mahindi wamo
Kuuza yeboyebo wamo.
Kuuza vyura na minyoo wamo
Kuuza nyuchi na tako wamo
Huko Zambia ni km Kiujumla nchi ya kwao.
Wamejaa wanafanya watakacho.
Wazambia ni vijakazi tu wanatemewa mpk mate na wachina acha kulambwa vibao.
Na bei haishuki sasa ukitaka bei rahisi kalime yakoWe mjinga ni kuulize unazamia hao wakulima.wanajua hata mpaka wa Conho unafananaje? Hayo mahindi wanauza bei cheee wanao fadika ni hao Madalali
Bunge limepitisha budget kwa ajili ya RUZUKU ya mbolea.
Bila Kodi ya wananchi kutumika kuagiza mbolea na kuweka RUZUKU, Bei ya mbolea isingekuwa hapo ilipo.
Wahuni hao hao wa wizara ya bashe wamepiga na wanachanganya mchanga kwenye viroba.
MKULIMA Badala ya kuhoji kwann mbolea haimfikii Ili kusaidia mavuno kuongezeka,
MKULIMA huyo huyo anafurahi kuwauzia makampuni ya hao hao waliohusika kuhujumu mbolea.
Ujinga utakapopungua Kwa angalau 50%, hatimaye MKULIMA atakuwa tajiri Kwa JASHO lake.
[/QUO yaani hata logic huna ,unajua kabisa mkulima hajapata hizo ruzuku halafu unataka bei ishuke , una akili wewe ? ,unajua ni nguvu kiasi gani na pesa zimetumika kuzalisha hicho chakula ? , Maisha ni yako usipolima kufa njaa
Wewe ni mpumbavu, tusiwapangie bei vip wakatati kila siku serikali inatoa ruzuku na pembejeo kwa wakulima unadhani hiyo ruzuku ilitoka kwenye makalio ya mama yako kama sio kodi zetu watanzania tulio watumishi na sio watumishi mbona mnakuwa wajinga jinga .Usiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili ni mavi.
Nchi ikiendeshwa na madalali,ndiyo hivyo tena. Tutaendelea kununua unga kilo elfu 2500/= ,na Mchele elfu 3500/= wao hawana shida. Mijihera bwelele,za Kodi zetu. Hawajali MTU mIndia Mwaka jana imezuia kuuza ngano nje unazania walikuwa wajinga? Serikali ya Kenya inavyo sa nchi nyingi zilishindwa kuwauiza mahindi kwa sabababu zina akiba kidogo uliwaza nini?
Njaa ikitokea uje uwateteeUsiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili ni mavi.