Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Ungejua tunavyohangaika na kilimo usingesema hivo jombaa. Niuze ndani ya nchi gunia moja elfu 36 anakuja mkenya gunia moja nauza laki 1 na 20 hata kama ni ww unamuzia nani hapo????
Kumbuka unapewa ruzuku ya mbolea, ardhi haulipii kodi, haulipi kodi ya mazao na kadhalika. Sasa wachokozeni TRA wawafuate huko mashambani.
 
Kama una familia ya kulisha nenda kalime. Usitegemee wengine wakulimie na wakuuzie wewe kwa bei unayotaka, nenda kalime na uuzie familia yako kwa bei unayotaka ama uwape bure.

Ulivyo taahira unataka mimi nilime kwa gharama zangu halafu wewe uje ununue kwa bei ndogo ukalishe familia yako, kalime uwalishe mwenyewe.

Nimelima mwenyewe kwa gharama zangu na nitauza mahala napotaka.

Familia yako inanihusu nini mimi? Walale njaa, wafe njaa mimi nahusikaje? Walikuja kunisaidia kupalilia?

Wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka.
kwa gharama zako unazijua gharama wewe mwendawazimu, au unachat ukiwa kwenye sofa kwa shemeji yako unahisi unajua kila kitu?!

Mbolea zimelipiwa ruzuku hizo, baba yako ana kampuni inayoingiza mbolea moja kwa moja kutoka mataifa ya nje ambazo hazijawekewa ruzuku, unajua bei original ya mbolea kabla haijawekewa ruzuku?!

Hiyo ardhi unalipia kodi kiasi gani, hivi wakisema ufanyiwe land assessment ya mapato yatokanayo hiyo ardhi ulipie kodi kuanzia ya ardhi na kodi ya mapato kama wakulima wa mataifa makubwa wewe utaweza kulipia nguruwe wewe?! Unalima ardhi bure unajifanya unajua gharama.

Wakisema wakufanyie makadirio ya kodi ya hayo mapato ya mauzo ya mazao mipakani, TRA wachukue chao na halimashauri wachukue chao halafu na wizara ya kilimo kupitia mamlaka zake waweke tozo zao hapo na VAT uwekewe kwa kuprocess hayo mazao yakaongezeka thamani, unadhani utakuwa na hiki kiburi chako?!

Je ukiambiwa uonyeshe usajiri wako kama mkulima mfanyabiashara una nyaraka zozote ambazo zitakutetea?!

Usijifanye mjuaji, sio kila unaebishana nae hapa JF ni mwenzako kuwa na adabu alaaaa.

Wakulima wa Tanzania hawana magharama ya kulipa serikalini sababu wanalima na kulisha taifa kizalendo hawalimi kibepari na kulisha mataifa mengine.

Sasa endeleeni kuuza wanainchi wa maeneo ya mjini waendelee kukosa bidhaa wachina waanze kugiza mzigo watu wale vyakula vya nje siku soko likiwakataa huko nje msije mnalia lia soko la ndani linawakataa. [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Nenda kalangue na wewe utunze mazao mambo ya kulalamika mitandaoni bila kuchukua hatua ni ujinga
Haujasaidia na hii comment yako zaidi ya kukera tu. Fanya kama kuelewa mtu anaongea nini before haujaandika chochote kumjibu.
 
Nenda ulime ulishe familia yako, yaani unataka mwingine alime ununue bei Chee,
Sawa na sisi tutapigia chapuo wakulima waanze kulipa kodi ya ardhi ya kilimo, walipie VAT ya mazao yao yanapoingia sokoni, walipishwe kodi za ushuru wa forodha wanapopitisha mazao mipakani, walipe kodi ya mapato, na halimashauri ziweke tozo za mashambani kwa ekari na tozo za mapato kulingana na kilimo husika na pia ruzuku ya mbolea iondolewe kabisa mpambane na soko huria la pembejeo za kilimo.

Halafu sisi tutaendelea kuimport mazao kutoka mataifa mengine hatutanunua hata kiazi mnacholima halafu tuone hicho kiburi kitadumu muda gani.

Kilimo ni swala la uzalendo. Kama serikali haiwachaji chochote na imeweka ulinzi wa kila aina kwenye kilimo inamaanisha ninyi wakulima mnawajibika kulisha taifa as long as unatumia ardhi ya Tanzania ambayo watanzania wenzako wamekupa ruhusa ya kuitumia tena kwa uhuru bila kulipishwa chochote.

Mxiem [emoji19][emoji19][emoji19] hebu usinichefue hapa nisije nikakulamba makofi.
 
Unajua kwa mtu asiyewajali walala hoi anaweza akasema waziri yupo sawa. hila mkulima asizuiliwe kuuza mazao yake kwenye bei nzuri popote pale apatakapo sawa hila kwa nini serikali sasa isiyanunue hayo mazao kwa bei nzuri ya kumfuta uchungu mkulima alafu baadae waje wawauzie raia wao bei nafuu kipindi cha mambo magumu kazi ya serikali ni kuakikisha raia wake wanakuw na maisha bora ikiwezekana wayagawe bure kabisaa kwani hzo pesa zitakazonunua hayo mazao ni kodi za wananchi
Na huu ndio ushauri nilitegemea kuona kwa watu wanaotetea kuwa wakulima wapewe ruhusa ya kuuza nje.
 
Tatizo akili zenu ni takataka unadhani mkenya akinunua 120k ndio uchumi wa mkulima unakuwa? Yaani ni kuhamisha tatizo unalitoa kwa mkulima mwezi huu kesho unalirudisha ... mkulima anauza 120k baada ya miezi mitatu mahindi yanarudi shamba kwa 150k kwa gunia umefanya nini kama sio akili matope.
Hawajielewi hawa. Wanaongea kwa lawama badala ya akili. Vijitu hata havijawahi kutafiti na kujifunza madhara ya kuuza stock ya chakula ila vinakuja hapa vinachonga ngenga na kujifanya vinajua sana kilimo cha biashara pumbavu zao hawa.
 
Unajua kwann pesa zetu za Kodi zinatumika kuagiza mbolea ya wakulima na Serikali inatia RUZUKU Kwa MKULIMA?

Kuna MKULIMA anajiagizia mbolea nje ya nchi?

Unajua KAZI za wizara ya KILIMO ni pamoja na kuhakikisha Bei haziwi kubwa Kwa wananchi Kwa kununua chakula Kwa wakulima na kutunza ktk maghala Ili kuja kuwauzia wachuuzi masokoni kudhibiti mfumuko wa Bei?

Huyo bashe ni failure ktk wizara hiyo.
Hapo hata hakajui nimekawekea list ya vitu ambavyo wakulima hawagharamiki kuvilipia ikiwamo kulipiwa ruzuku, kodi mbali mbali ambazo tz hakuna ndio inawapa wao urahisi wa kufanya kilimo.

Hawa madogo wasio na elimu au ufahamu au taarifa sahihi za kimasoko na takwimu za uchumi huwa wanapenda sana mihemuko. Wanakera sana.
 
Usiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili ni mavi.
NDIO maana pakawa na Serikali, Kila mtu akifanya jambo atakalo nchi itakuwa ya hovyo.
Lazima Serikali imlinde mkulima na mlaji Kwa pamoja,

Mambo ya kusema tumwachie mkulima ajiamulie mwenyewe, hiyo ni Serikali ya hovyo TU Ndio inaweza ikatoa majibu kama hayo
 
Kama serikali inaweza kununua mahindi kwa bei ya juu ili kunusuru walaji, kwa nini isitumie pesa hizo hizo kuwapa ruzuku wakulima ili walime kwa bei nafuu na kuuza kwa bei nafuu?
Wakulima wanalima kwa ukiwa na shida tele , wanakuja kuonekana na serikali wanapouza mazao yao tu.
Hivi wewe unajua bei ya mbolea na madawa yanayotumika kwenye kilimo kwenye soko na bei ya ndani ya Tanzania?!

Unajua ni kiasi gani kinatumika katika manunuzi huko serikalini ili kuzipa ruzuku mbolea kabla haujanunua bei ya rejareja?!

Sidhani kama umeshawahi hata kushiriki kilimo maana ungeelewa.
 
Kwenye population ya 60 million Tanzanians. 30% sio wakulima na wanaishi mijini.

Hayo mazao ya shambani mengi yanauzwa magengeni hakuna cha VAT huko serikali aipati makusanyo ya hivyo.

Ilhali mpaka sasa huyo kichaa Bashe ameshapewa zaidi ya trillion moja kufanya upuuzi wake huko kwenye kilimo. Hiyo 30% ni sawa na 18 million people wakubwa na vichanga kwa wastani kila mtu kachangia tsh 55 elfu, hao wakulima waweze pata mbolea za ruzuku, Bashe afanye experiment za kipumbavu za kilimo.

Bado ujaweka mchango wa watu mijini kwenye kujenga hizo barabara zinazoenda mpaka kijijini na kuwafungulia masoko hao wakulima, mchango wao kufikishiwa umeme vijijini na mambo luluki.

Wanastahili zote kuangaliwa kwenye bei himilivu ya chakula; hizo hela zinazoenda huko azitoki mfukoni kwa baba yake Bashe ni kodi za watu wa mjini; bila ya wao hakuna mkulima wala watu wakwenda kununua hayo mazao.

Mkulima hana mchango wowote kwenye kodi ni kupe anaetegemea hela za walipa kodi mjini ili aishi; halafu mnasema watu wa majini hawana mchango kwa mkulima. Hizo sijui akili za wapi.
Bora umewanyooshea taarifa aisee. Tena umeongea vema sana. Unajua wanasema kuna vijitu huwa vinajisahau sana.

Watu wa mijini wanahangaika sana na kupambana wanamakato ya kila aina ila ukienda vijijini huko asilimia 90 ya makato tunayolipia sisi wao hawahusiki. Hebu tuanze PAYE, TOZO, MIAMALA YA BENKI, VAT, KODI YA MAJENGO, KODI YA ARDHI, KODI YA BIASHARA, CORPORATE TAX, FINE ZA TRAFFIC BARABARA, ROAD LICENSE FEE, etc.

Hizi vitu zote zinakwenda lipia magharama ambayo wao wanalia lia sijui matibabu, ruzuku za pembejeo za kilimo, umeme wa REA, ujenzi wa miundo mbinu kama masoko na barabara.

Vibwana mdogo vipuuzi sana hivi
 
Hivi wewe unajua bei ya mbolea na madawa yanayotumika kwenye kilimo kwenye soko na bei ya ndani ya Tanzania?!

Unajua ni kiasi gani kinatumika katika manunuzi huko serikalini ili kuzipa ruzuku mbolea kabla haujanunua bei ya rejareja?!

Sidhani kama umeshawahi hata kushiriki kilimo maana ungeelewa.
Broo kwenye kilimo nakujua sana , na ni mdau pande hizo, hiyo mbolea unayosema ya ruzuku msimu huu imeuzwa kwa shilingi elfu 70, kwa mfuko wa kilo 50, bado ni ghali sana kwa mkulima , kumbuka kuna msimu kugoma mvua mazao yanakauka , hizo zote zinakuwa ni hasara kwa mkulima
 
Bora umewanyooshea taarifa aisee. Tena umeongea vema sana. Unajua wanasema kuna vijitu huwa vinajisahau sana.

Watu wa mijini wanahangaika sana na kupambana wanamakato ya kila aina ila ukienda vijijini huko asilimia 90 ya makato tunayolipia sisi wao hawahusiki. Hebu tuanze PAYE, TOZO, MIAMALA YA BENKI, VAT, KODI YA MAJENGO, KODI YA ARDHI, KODI YA BIASHARA, CORPORATE TAX, FINE ZA TRAFFIC BARABARA, ROAD LICENSE FEE, etc.

Hizi vitu zote zinakwenda lipia magharama ambayo wao wanalia lia sijui matibabu, ruzuku za pembejeo za kilimo, umeme wa REA, ujenzi wa miundo mbinu kama masoko na barabara.

Vibwana mdogo vipuuzi sana hivi
You lose some and win some game!! Kama unaona mjini kugumu kwa ma kodi uliyoainisha , nenda kaishi kijijini upate huo urahisi wa umeme wa rea n.k au kalime uone mziki wake .
Wakulima waachwe wauze mazao yao kwa uhuru wanaotaka ili nao wajikwamue na hali ngumu, kama wa mjini wanaona wakulima wanafaidi ni muda muafaka kwenda kulima ili wafaidike.
 
Pigen kelele mpaka mpasuke, bashe endelea kutupambania, sasa umefika wakati wa mageuzi ya kilimo ni lazima kionekane kwel ni Uti wa mgongo wa taifa letu, tutafutieni masoko ya uhakika ya mazao yetu,
 
Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,

bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?

Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
Wewe ndio jinga la mwisho kabisa, acha wakulima wapige hela kwa jasho lao, kama unataka kula bure nenda jela
 
😂😂😂 Mda wa kupunguza viribatumbo unawadia sasa 😂😂😂 serikali haina shamba ata kama watanunua mazao it for emergency only, kama ni Kodi ata wakulima tunalipa the same na hao wa mjini.
 
Na tena mtuboreshee na miundo mbinu uku hasaa zaidi kweny mawasiliano ili iwe rahisi kuongea na wateja wetu popote pale walipo katika utafutaji wa hayo masoko
 
Mnataka kutufanya wakulima watumwa wenu sio !
Ishauri serikali ianze kulima mahindi Kwa ajili ya kuwauzia wananchi.
 
Back
Top Bottom