Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama utashindwa kununua mahindi nenda kanununue ngano, upuuzi huu yaje mataifa yote dunian kununua mazao uku, wakulima nao tunufaike tena mtuache tuuze popote pale tunapatakaNimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...
Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!
Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Tuna HAKI kudai wizara idhibiti mfumuko wa Bei masokoni,Kwenye population ya 60 million Tanzanians. 30% sio wakulima na wanaishi mijini.
Hayo mazao ya shambani mengi yanauzwa magengeni hakuna cha VAT huko serikali aipati makusanyo ya hivyo.
Ilhali mpaka sasa huyo kichaa Bashe ameshapewa zaidi ya trillion moja kufanya upuuzi wake huko kwenye kilimo. Hiyo 30% ni sawa na 18 million people wakubwa na vichanga kwa wastani kila mtu kachangia tsh 55 elfu, hao wakulima waweze pata mbolea za ruzuku, Bashe afanye experiment za kipumbavu za kilimo.
Bado ujaweka mchango wa watu mijini kwenye kujenga hizo barabara zinazoenda mpaka kijijini na kuwafungulia masoko hao wakulima, mchango wao kufikishiwa umeme vijijini na mambo luluki.
Wanastahili zote kuangaliwa kwenye bei himilivu ya chakula; hizo hela zinazoenda huko azitoki mfukoni kwa baba yake Bashe ni kodi za watu wa mjini; bila ya wao hakuna mkulima wala watu wakwenda kununua hayo mazao.
Mkulima hana mchango wowote kwenye kodi ni kupe anaetegemea hela za walipa kodi mjini ili aishi; halafu mnasema watu wa majini hawana mchango kwa mkulima. Hizo sijui akili za wapi.
Njaa ikitokea uje uwatetee
Kazi ya selikal ni kuangalia usalama wa nchi kwanza
Namba 1 kuhakikisha uhakika wa chakula
Huyu Msomali naanza kuwa na mashaka nae. Unajua uzalendo ni kuweka maslahi ya taifa mbele. Sasa hapa naona inchi /taifa letu kama linaendeshwa na wakimbizi.
Huyu mama haeleweki na ndio wale wa kule visiwani so uzalendo ni zero. Huyu nae ni Msomali tazama namna anaendesha hii wizara.
Na ikumbukwe wasomali ni watu wa njaa njaa. Kwa mara ya kwanza jamaa anapewa wizara na Taifa linapitia ukame na uhaba wa chakula.
Huyu mtu atolewe haraka sana kwenye hiyo wizara hakuna anachofanya.
Anayenunua Kilo ya Unga Leo kwa Tsh 2000 ni huyo peasant ambaye aliuza mahindi yake kwa watumishi na wafanyabiashara kwa Tsh 500 kwa kilo.hii ni hoja ya kijinga zaidi kwa mwaka 2023, nipo mbozi nanua debe kwa 12000, so acha tununue wakulima wanufaike na kazi yao
Kwa nini Samia halioni hili angemtoa huyu msomali wizara hiii ingetulia sana maana imekuwa wizara ya hovyo sana maaana ssa kuna mgogoro mkubwa sana na mawakala kuhusu mbolea kutokulipwa hawajui nani aulizewaMkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,
bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?
Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
Wa ndani wangelia mnoMimi naona Serikali ingeruhusu soko huria kwa pande zote mbili! Yaani kwa wakulima wa ndani kuuza mazao yao nje ya nchi kwa bei nzuri!
Lakini pia wafanyabiashara wetu nao wangeruhusiwa kuingiza chakula chenye ubora ndani ya nchi, na kukiuza kwa bei nafuu.
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...
Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!
Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Hakuna ujinga huu maana uwekezaji wa kwenye kilimo utatoweka na sera za kijinga jinga kama huyu mdau anavyosema. Tukitaka bei ipungue tuongeze uzalishaji ! Mahindi yakiwa mengi bei itapungua. Sasa kama mtu kalima kwa makubaliano na kampuni au hotel za kenya ukizuia inakuwaje kama kakopa bank?Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...
Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!
Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
1.Ardhi IPO 100%,
2. Watu wapo 100%,
3. Ujinga 80%,
4. Uongozi Bora 3%.
5. RUSHWA 98%.
Tukumbuke kuwa Bado shehena ya Kutoka nje Serikali iliyoagiza nje ya nchi Kwa kulipa Dollars haijaweza saidia Bei ya vyakula masokoni kushka Bei.
Ukihoji kwann wanaruhusiwa kuingia kununua direct Kwa MKULIMA tena Kwa Tshs wakati mbolea tumeagiza Kwa Dollars utaambiwa una nongwa na wakulima.
Tusubiri.
Kwenye Bureau de change za mchongo.Hizo Tshs wanazipata wapi?
Njaa ikitokea uje uwatetee
Kazi ya selikal ni kuangalia usalama wa nchi kwanza
Namba 1 kuhakikisha uhakika wa chakula
[/QUOTEWewe mpumbav una uchungu gani na mkulima mbwa we ? , Eti peasantAnayenunua Kilo ya Unga Leo kwa Tsh 2000 ni huyo peasant ambaye aliuza mahindi yake kwa watumishi na wafanyabiashara kwa Tsh 500 kwa kilo.
Huku ni kuchenji buku kwa njaa ya mtoto. Ameuza 500, Leo serikali yake inamletea anunue kwa 900.
Tena ameuza 500 kupata hela ya kuishi July-Sept, baada ya hapo anahangaikia kilo ya unga 2000 kutoka Sept to June.
Hatari zaidi mvua hazikutosha mwaka huu, msimu huu wa mavuno mkulima hana cha kuuza tena.
Hawa ni wauaji wa kisasa wanaopigiwa makofi na waombolezaji. Tuna serikali mfu.
Mkulima akinunua chakula kwa bei wewe inakuhusu au kinakiuka ni nini ?
Wewe umekuwa msemaji wa wakulima nyani wewe ?
Ninyi wenye pesa ndio mnaolia kununua kilo ya unga kwa huku tatu ? ,Mna akili ninyi ?
Mxieew
Wewe mpumbav una uchungu gani na mkulima ? , Eti peasantAnayenunua Kilo ya Unga Leo kwa Tsh 2000 ni huyo peasant ambaye aliuza mahindi yake kwa watumishi na wafanyabiashara kwa Tsh 500 kwa kilo.
Huku ni kuchenji buku kwa njaa ya mtoto. Ameuza 500, Leo serikali yake inamletea anunue kwa 900.
Tena ameuza 500 kupata hela ya kuishi July-Sept, baada ya hapo anahangaikia kilo ya unga 2000 kutoka Sept to June.
Hatari zaidi mvua hazikutosha mwaka huu, msimu huu wa mavuno mkulima hana cha kuuza tena.
Hawa ni wauaji wa kisasa wanaopigiwa makofi na waombolezaji. Tuna serikali mfu.