Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Hussein Bashe, zuia mahindi kutoka nje kwanza nchi ijitosheleze

Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Ushauri mzuri ni Serikali kununua mahindi kwa wakulima kwa bei inayofikika lakini kuzuia ni chanzo cha magendo.
 
Acha kukimbia hoja???? Je huyo mkulima unaweza fidia gharama aliuzotumia shambani au unapuyanga jombaaa. Kuna mwaka nimelima mahindi napata gunia 60 nikasema nimeuaga umasikini bei ya soko la ndani tukauza elfu 24 gunia kisa kufunga mipaka. Mahindi hayo yalinitesa kukausha mvua zinapiga kila siku.
Uko sahihi na mimi hii kitu ilinivuja moyo sana.
 
Kama una familia ya kulisha nenda kalime. Usitegemee wengine wakulimie na wakuuzie wewe kwa bei unayotaka, nenda kalime na uuzie familia yako kwa bei unayotaka ama uwape bure.

Ulivyo taahira unataka mimi nilime kwa gharama zangu halafu wewe uje ununue kwa bei ndogo ukalishe familia yako, kalime uwalishe mwenyewe.

Nimelima mwenyewe kwa gharama zangu na nitauza mahala napotaka.

Familia yako inanihusu nini mimi? Walale njaa, wafe njaa mimi nahusikaje? Walikuja kunisaidia kupalilia?

Wakulima wauze wanapotaka kwa bei wanayotaka.
Jibu zuri lisilo kuwa na mawaa,asante.
 
Usiwapangie wakulima wapi wauze mazao yao, ardhi kanunua mwenyewe, mbolea kanunua mwenyewe, kaotesha na kupalilia mwenyewe, kavuna mwenyewe halafu baada ya kuvuna unataka umpangie wapi pa kuuza, hii sio akili.
Mbona walipopewa ruzuku hukusema kama watoe hela zao chakula ni usalama wa taifa acheni siasa ruzuku ni Kodi za watu wote wanaolima na wasio Lima katika nchi ujue Kuna mgawanyo wa majukumu hawezekani Kila mwana nchi awe analima je huyo mkulima akienda hospital ambiewe hajitibu hutakija kuropoka hapa kuwa sio haki
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Heading isomeke... zuia mahindi KWENDA nje......
 
1.Ardhi IPO 100%,

2. Watu wapo 100%,

3. Ujinga 80%,

4. Uongozi Bora 3%.

5. RUSHWA 98%.

Tukumbuke kuwa Bado shehena ya Kutoka nje Serikali iliyoagiza nje ya nchi Kwa kulipa Dollars haijaweza saidia Bei ya vyakula masokoni kushka Bei.

Ukihoji kwann wanaruhusiwa kuingia kununua direct Kwa MKULIMA tena Kwa Tshs wakati mbolea tumeagiza Kwa Dollars utaambiwa una nongwa na wakulima.

Tusubiri.
Kama uko makini kichwani hangaika na namba 1 & 2 tu. Ni <15% ya ardhi yenye rutuba ndiyo inalimwa Tanzania. Watu wengi wamejikita kwenye uchuuzi na umachinga mitaani.

Maamuzi ya Bashe ni FURSA ambayo wenye AKILI tayari wanakimbilia vijijini kwenda kulima. Ila WAPUMBAVU watabakia JF kuandika threads za kutaka mipaka ifungwe ili wavivu waendelee kununua unga kwa Tsh 1,000.

Shikilia hapo hapo Bashe, wakulima waamue wenyewe wauze wapi
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Wewe sio mkulima, nyamaza tuu
 
Mkuu nchi imejaaa wajinga kwa kiwango cha kutisga, unacho swma ni sahihi kabisa, na Zambia wenyewe wampeiga Bun kuuza mahindi nje ya nchi, hili swala lipo sana Duniani huko kwa nafaka zile ambazo hutumiwa na mass,

bashe anacheza na akili za wajinga wa nchi hii, jiulize Zambia kwa nini kazuia? Kwani ni Serikali ndio inalima mahindi kule Zambia?

Bashe ni mjanja mjanja anaye jua kucheza na akili za wajinga wa nchi hii ambao ni % kubwa sana
Kama Wazambia, Congo na Kenya wametafuta hela na kuja kununua mahindi kwetu, na sisi si twende tukanunue kwao kabla hawajatumia?
Kwani wale wakuluma mnaotaka watuuzie ni wakulima wa shirika la kilimo la Taifa? Si wamelima kuvyao kwa gharama zao au mimi ndiye sielewi?
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Kama ni legacy Mheshimiwa sana Bashe atatuachia wakulima basi ni huu msimamo wake wa kutofunga mipaka, kunatunufaisha sana.
 
Huyo jamaa ni tatizo kwa usalama wa chakula Tanzania (linapokuja swala la mlalahoi kumudu bei za sokoni).

Ni waziri wa ovyo mno na fisadi mkubwa asie na huruma ata chembe.
Tatizo ni wewe! Bashe ni kati ya vijana na waziri makini SANA nchi hii, anashirikisha, anadhubutu, anafikirisha, anatenda!

Tungekuwa na mawaziri 5 wa aina ya Bashe, Tanzania ingeingia kwenye record ya nchi za kipato kikubwa kwa kila mwanabchi.
 
Pe
Wakati wanalima ulishauri wapewe mitaji? Mbolea na Fedha za kulimia? Ulikuwa Bar unakunywa mtori sa ivi unawapangia Cha kufanya
Pesa ya Kodi yetu imetumika Kwa billions kuweka RUZUKU kwenye mbolea na vitendea KAZI.

Kudhibiti mfumuko wa Bei masokoni, Serikali kupitia wizara ya KILIMO ihakikishe inanunua shehena ya vyakula Kutoka mashambani na kuyatunza ktk maghala Ili kuhakikisha muda vyakula vitakapopungua maghala yafunguliwe Ili Bei zishuke.
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Nenda kalime na wew, miaka nenda rudi wakulima hawanufaiki na mazao yao sabab ya kuzuiwa mazao kutoka nje na kufanya wauze kwa bei ndogo isiyo na faida kwao ajili ya watu wasiolima kam ninyi na hamjui ugumu wowote ya na mateso ya shamba. Nyambafu wew.
 
Huyu Msomali naanza kuwa na mashaka nae. Unajua uzalendo ni kuweka maslahi ya taifa mbele. Sasa hapa naona inchi /taifa letu kama linaendeshwa na wakimbizi.

Huyu mama haeleweki na ndio wale wa kule visiwani so uzalendo ni zero. Huyu nae ni Msomali tazama namna anaendesha hii wizara.

Na ikumbukwe wasomali ni watu wa njaa njaa. Kwa mara ya kwanza jamaa anapewa wizara na Taifa linapitia ukame na uhaba wa chakula.

Huyu mtu atolewe haraka sana kwenye hiyo wizara hakuna anachofanya.
Chuki za kipumbavu, kalime kwanza ujue mateso ya shamba ndo uje hapa na ujinga wako wa kumkandamiza mkulima ktk soko la mazao ambayo kasota mwenyewe muda huo we unakunywa kahawa mtaani.
 
Kama uko makini kichwani hangaika na namba 1 & 2 tu. Ni <15% ya ardhi yenye rutuba ndiyo inalimwa Tanzania. Watu wengi wamejikita kwenye uchuuzi na umachinga mitaani.

Maamuzi ya Bashe ni FURSA ambayo wenye AKILI tayari wanakimbilia vijijini kwenda kulima. Ila WAPUMBAVU watabakia JF kuandika threads za kutaka mipaka ifungwe ili wavivu waendelee kununua unga kwa Tsh 1,000.

Shikilia hapo hapo Bashe, wakulima waamue wenyewe wauze wapi
Wewe MKULIMA shika jembe lako la mkono endelea kulima hamna shida.

Na ukivuna uzao kokote kulingana na Bei ya soko.

1.Sisi wenye AKILI tunashughulika na namba 3. UJINGA. 4. RUSHWA 5. UONGOZI BORA Sirikali Ili ihakikishe soko la ndani vyakula vinatosheleza.

2. Wizara isifanye maamuzi ya kuomba hazina ya Dollar kwenda kutuagizia Mchele wa plastic wakati ingeweza kununua Mchele ktk soko la ndani na kutunza katika maghala,Ili iutoe wakati wa uhaba Ili kupunguza mfumuko.

3. Tunaisimamia sirikali ihakikishe wanaopewa tender ya kusambaza mbolea hawachakachui Bei au kuongeza MCHANGA kwenye viroba vya mbolea.

4. Tunataka Sirikali ihakikishe inawekeza kwenye KILIMO wakulima walime Kwa tractors na Si jembe la mkono.

WAPIGA zumari waendelee kupiga zumari na kucheza mziki wa kuupiga mwingi'' maana ikitokea Bashe amebadilishwa akaja mwingine na akabadili sera, wataendelea kushangilia vile vile kana mazuzu!!!
 
Nimeona baadhi ya maeneo mahindi yameanza kuvunwa hasa mkoa wa Rukwa na nimeona malori kutoka Kenya na wanunuzi karibia wote wanapeleka shehena ya mahindi Zambia na Congo...
Hatukatai watu kuuza nje lakini kwa kuwa maeneo mengi ya nchi hawakulima mahindi ya kutosha na mikoa mingine kama Morogoro mahindi yameharibika mashambani kwa kukosa mvua za kutosha ...

Nakushauri Tena kwamba zuia kwanza mahindi yasiende nje ili tujitosheleze ... au serikali kupitia nrfa iingie kununua kabla hatujabaki na mabua !!

Nakufahamu hupendi kushauliwa na mtu lakini asiesikia la mkuu huvunjika
Yule jamaa ni kilaza,siyo mtu wa ushirikiano anajiona anajua kila kitu.
 
Haya maneno unayoongea ni upumbavu mkubwa sana. Wewe kama hauna familia ya kulisha huwezi kuelewa mleta mada anaongea nini.

Ni siku si nyingi tumekuwa tukinunua nafaka kwa bei ya juu isivyo kawaida sababu ya kuendekeza kuwaachia hawa wachuuzi kununua nafaka na kuuza mipakani. Ni muda wa kuratibu huu uchuuzi wa hovyo.
Swala la kuratibu wachuuzi ntakuelewa ila sio sio kumminya mkulima kwa bei ndogo eti we unafamilia yako isiyojua mateso ya shamba ndo mmpangie mkulima auzaje mazao yake wakati akihangaika na shamba hukumsaidia chochote
 
Back
Top Bottom