Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Ni beyond JF na magazetiHuyu 'Britanica' kazi yake ni hii hapa:
"knowledge about someone or something " are facts or details about a subject. A person of this kind is assigned to collect/gather information about the early settlers or migrants in the region............economic espionage intelligence pursues this to safeguard the country's interests.
"Britannica's content is among the most trusted in the world for intelligence mining"
John Samwel Malecela aliwahi kuambiwa anateuliwa kuwa Waziri Mkuu.Anapeleka ujumbe Kwa S, kuwa hata afanyeje lazima Siri zivuje🤔
Arejee au asirejee hana tija yoyote. Labda kwa ww mfaidika binafsi wa serekali ndio unaweza kuona tija yake.Katibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
Mgonbea mwenza wa Samiah,Dr Mpango wanamuweka pemebeniKatibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca
BARAZA livunjiliwe mbaliWanajali maana Mombo na baraza ilikuwa livunjwe ijumaa ilee Lakin akakausha
Hata habari hawana, they are so lost kiasi kwamba hawajui zuri wala baya tena.Mkuu angalia usiwaharibie kwa kuwa habari zimevuja kabla ya kutolewa rasmi.
Au wakuu hawajali hili siku hizi?
😅😅 jana na leoAli...nipo mwalimu
Juma...nipo mwalimu
Hussein...nipo mwalimu
Shabani...nipo mwalimu
.
.
.
Mkuu,Maza anakimbiza vivuli, hatovipata. Akubali 2025 astaafu kwa heshima.
Things fall apart, the center cannot holdHata habari hawana, they are so lost kiasi kwamba hawajui zuri wala baya tena.
Huko juu ni mithili ya kambi ya wendawazimu, kila mmoja kichaa kuliko mwingine.
Nitamshangaa akifuata ushauri wako wa kustaafu kwenye hii nchi ya maiti hai.Maza anakimbiza vivuli, hatovipata. Akubali 2025 astaafu kwa heshima.
Na iliitafuna ile awamu sanaJohn Samwel Malecela aliwahi kuambiwa anateuliwa kuwa Waziri Mkuu.
Akafanya tafrija ya kujipongeza.
Rais akaghairi uamuzi ule kwa kuona mtu anaanza kufurahia uteuzi kabla haujawa rasmi.
Nothing is certain, lakini kwa hofu iliyojaa huko ndani ni wazi kuwa hata yeye mwenyewe hana ukakika atavuka vipi hiyo 2025 .Mkuu,
Unaamini kabisa kweli Samia 2025 anastaafu?
Au unajifariji tu?
😂😂😂😂 ila humuMkuu hupoi, huboi... twende kazi. Najua na siku ya bibi yangu aki... utatutonya kabla!!!
nakuaminia sana saanaKatibu mkuu Kiongozi anaweza rejea nafasiniii au akalamba sehemu fulan nzito
Keep waiting….View attachment 3039747
Britanicca