Huu hapa mchongo wa kufanya kwa kijana apate hela ya kula

Huyo ni mvivu,kuna madogo wapo huku age 17-23 wanagonga debe33(ndoo) daily na ndoo ni tsh300,Kila siku wanaondoka na elfu 10
Achana nao mkuu.
Kama mpambanaji kweli hauwezi kushindwa kugonga ndoo 30+
Baada ya kuona wanaleta ubishi nimekaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…