Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lissu ni ShujaaNabii huwa hakubaliki kwao, lakini kwake naona kama kuna tofauti.
Shujaa wako alienda kizembe SanaπShujaa ni mmoja tu
Lisu ni Jasiri πΌ
Huna macho ?Kweli nabii hakubaliki kwao
Kwa hiyo ulitakaje haswa ? Mijitu mingine bana hadi kichefuchefuTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
NA nyie chadema mmeanza kubeba watu kwa mafuso!, hatari sana, mafuso hayo hayaondoki mpaka yawarudishe wananchi yalipowatoa πππTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
sema kamkutano πTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Shujaa gani linakufa kizembe kwa.kuikana science, likaondoka na mdudu wa single stranded DNAShujaa wako alienda kizembe Sana[emoji1]
umeanza lini uongoOuting bombaaaa kwao π
Yanaingia sikio moja yanatoka lingine la pili.. papo hapo.
umeanza lini uongo
Shujaa wako wa mchongo aliondoka kiboya sanaShujaa ni mmoja tu
Lisu ni Jasiri πΌ
Nimeona maroli sita kwa mbali nafikiri hayakuleta ng'ombe mkutanoni!Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Chadema haijawahi na haina bajeti ya kufanya hivyoNimeona maroli sita kwa mbali nafikiri hayakuleta ng'ombe mkutanoni!