Huu hapa ni Mkutano wa Tundu Lissu Mjini Singida

Huu hapa ni Mkutano wa Tundu Lissu Mjini Singida

Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .

Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano

View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
CCM inajamba haswa
 
alalamika sana bila hoja wala mbadala wa anacholalamikia. lugha na namna anavyo zungumza vimekosa staha
Hilo neno "STAHA" mmeliharibu sana maana yake halisi. Sasa mnalifanya liwe na maana ya tofauti kabisa.
Mnataka "lugha ya staha" ili muendeleze ULAGHAI wenu. Mnatumia lugha nyororo kuwapumbaza watu, wakati matendo yenu ni maovu.
Acha lugha ngumu itumike ili wananchi waelewe hadaa zenu mnazowafanyia.
 
Hilo neno "STAHA" mmeliharibu sana maana yake halisi. Sasa mnalifanya liwe na maana ya tofauti kabisa.
Mnataka "lugha ya staha" ili muendeleze ULAGHAI wenu. Mnatumia lugha nyororo kuwapumbaza watu, wakati matendo yenu ni maovu.
Acha lugha ngumu itumike ili wananchi waelewe hadaa zenu mnazowafanyia.
Mwalimu uko likizo nini 🐒
 
Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .

Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano

View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Weka mkutano wa Lipumba Iringa
 
Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .

Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano

View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Je wasemaje kuhusu ule mkutano wa Babati?
 
sema kamkutano 🐒

alalamika sana bila hoja wala mbadala wa anacholalamikia. lugha na namna anavyo zungumza vimekosa staha na kuthibitisha kwamba , the gentleman is completely not fit in everything concerning leadership.

na hivyo wenye hekima na busara wanamsikitiakia tu na kumwacha ajifurahishe but he is going no where politically speaking 🐒
Tundu Lissu ni mtu wa kutumwa tu, hafai kwa maamuzi ya mwisho. Tofauti yake na Magufuli ni ndogo sana. Wote ni madikteta na bongo zao zinapata moto
 
Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .

Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano

View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Lissu ameichoka sana Chadema, hata nywele hachani
 
Back
Top Bottom