BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Oohh, sawa.Puuza hilo, ni uongo na husuda na uchafuzi wa status ya mtu, kumbuka wa kukuchafua hachagui tusi.
(Magufuli alikuwa anapendwa sana na alikuwa na maadui wengi pia!, that mean unapofanya jema hukosi adui.
CCM inajamba haswaTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Hatari snShujaa gani linakufa kizembe kwa.kuikana science, likaondoka na mdudu wa single stranded DNA
Mimi sijui!Chadema haijawahi na haina bajeti ya kufanya hivyo
Ndio ujue kuanzia leoMimi sijui!
Hilo neno "STAHA" mmeliharibu sana maana yake halisi. Sasa mnalifanya liwe na maana ya tofauti kabisa.alalamika sana bila hoja wala mbadala wa anacholalamikia. lugha na namna anavyo zungumza vimekosa staha
Mwalimu uko likizo nini πHilo neno "STAHA" mmeliharibu sana maana yake halisi. Sasa mnalifanya liwe na maana ya tofauti kabisa.
Mnataka "lugha ya staha" ili muendeleze ULAGHAI wenu. Mnatumia lugha nyororo kuwapumbaza watu, wakati matendo yenu ni maovu.
Acha lugha ngumu itumike ili wananchi waelewe hadaa zenu mnazowafanyia.
Unaota wewe!NA nyie chadema mmeanza kubeba watu kwa mafuso!, hatari sana, mafuso hayo hayaondoki mpaka yawarudishe wananchi yalipowatoa πππ
Weka mkutano wa Lipumba IringaTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
ππππWeka mkutano wa Lipumba Iringa
ππ€£ππππ
Huyu jamaa anasubiri fursa mwakani agombee πWeka mkutano wa Lipumba Iringa
π€£Huyu jamaa anasubiri fursa mwakani agombee π
Je wasemaje kuhusu ule mkutano wa Babati?Tumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
Tundu Lissu ni mtu wa kutumwa tu, hafai kwa maamuzi ya mwisho. Tofauti yake na Magufuli ni ndogo sana. Wote ni madikteta na bongo zao zinapata motosema kamkutano π
alalamika sana bila hoja wala mbadala wa anacholalamikia. lugha na namna anavyo zungumza vimekosa staha na kuthibitisha kwamba , the gentleman is completely not fit in everything concerning leadership.
na hivyo wenye hekima na busara wanamsikitiakia tu na kumwacha ajifurahishe but he is going no where politically speaking π
HakikaMtu wa watu huyo na Raisi ajae.
Lissu ameichoka sana Chadema, hata nywele hachaniTumeona ni vema kuweka matukio machache ya Mkutano huu uliofanyika Jana Mjini Singida , ambao ulihutubiwa na Tundu Lissu baada ya Maandamano Makubwa ya kupinga Ugumu wa Maisha na sheria mbovu za Uchaguzi .
Tunaomba radhi kwa kuchelewesha Uhondo huu , hii ni kwa sababu ya Uwingi wa Habari za Chadema , ambazo zinatuzidi nguvu kuziripoti kwa wakati mmoja , nadhani wote sasa mnafahamu kwamba Chadema ndio habari ya Nchi hasa kwenye wiki hii ya Maandamano
View attachment 2975996View attachment 2975997View attachment 2975998
HayaLissu ameichoka sana Chadema, hata nywele hachani