Huu hapa ukweli kuhusu majini (eneo ambalo wanapatikana kwa wingi jijini Dar es Salaam)

Hizi material unazipata kwenye kitabu gani?
 
Hapa kwenye paka umechemka, paka wa Dar wanatumiwa sana na wachawi, Fanya research yako upya.

Ni kama Mbaazi. Hutumiwa sana na wachawi and at the same time hutumiwa na watu Wema pia.

Paka ana matumizi mengi sana mkuu.

Wanacho fanya wachawi ni kubadilisha matumizi tu kama SHETANI anavyo weza kubadilisha matumizi ya pesa zako badala uzitumie kuisaidia familia wewe unaenda kuzitumia kwenye anasa na mambo mengine.


Ipo siku nitaleta uzi maalumu kuhusu paka tu.

Nitaelezea KILA kitu mpaka hicho unacho sema kuhusu wachawi na hao freemasons
 
Nikumbushe mchana around saa saba nitaelezea maana yake
 
Asante sana mkuu nmeelewa
 
Sasa byie mnajifanya mmepata hayo maarifa hamsaidii nchi, Bora hizi story zingesimuliwa na wamarekani au wachina au wajapan technology waliyonayo Ingekua supporting evidence.
 
Brother Kuna mtu siku tulipita sehem usiku tukakutana na mdada mrembo sana kajifunga wrap skirt na top lkn alivotupita mim nlisikia nmezisimka mno na vinyweleo vimechachamaa sana
Hao watu nlikua nao wakasema huyo dada atakua jini nlichokuja kujiuliza ni hiki ina maan majini yana ngozi, na yanafanania kabisa kabisa kama binadamu?

Tukio la pili kuna sehem hapa Mwanza ni mjini kabisa Kuna sehem nlikua naishi ni karibu na ziwa kabisa nyuma ya nyumba Kuna garden hadi kulifikia ziwa ni umbali kidg
Kuna mfanyakazi pale aliokotoka bracelet cha ushanga lkn cha ajabu kila aliekua anamuonyesha analazimisha apewe akampa mdada hivi huyo dada sikumuona kama week tatu akaja kutuelezea hv alienda kanisani akiwa amevaa Ile bracelet akapandisha majini yanasema tu naomba alikotuokota aturudishe huko huko la si hivyo atajuta kila akiombewa majin yanasema hvo ndo kuulizwa akasema Kuna mtu aliokotoka kidude akampa yeye basi zoezi la kukirudisha ikabid wampe yule alokiokota akawa karudisha na mapepo yakaishia hapo

Kitu nachojiuliza ni hiki inakuaje majini yakae kweny kidude tena cha shanga tu na je kwa eneo kama lile ni jini lilikua linapunga upepo au likaamua kujibadilisha kama kile kidude au mambo ya namna hyo yanakua yamelengwa kwa mtu husika?

Maan nakumbuka pia mim nlikua napenda sana kukaa hapo garden usiku nalitazama ziwa lkn nilikua na hisia kua nmekaa na mtu lkn aonekani na kuna siku usiku nmelala ikawa kama nipo ndotoni lkn najielewa kabisa kabisa naona watu kama ishirini wamenizinguka kweny neti wanataka mtoto
Na kuna siku tena nmeamka nkaona vidudu vingi mno kitandani nlivowasha taa hakuna kitu

Nikawa nafanya maombi mara nyingi sana siku nyingine tukiwa kweny maombi kuna vitu naona kabisa na Kuna kipindi nyumbani walikua wakija watu kwa bibi angu kubana nguo Kuna hisia naipata huyo sio mtu mzuri naanza kusali badae namuita bibi namwambia huyo mtu sio mzuri mwambie hizo nguo zake asiziiijie badae tuone atasemaje na kweli bibi akienda kumwambia hvo huyo mtu anasema njia yenyewe nilokuja nayo hata siikumbuki kabisa

Yani mambo ni mengi mno hata ndani wanakujaga dada wa kazi mchawi asubui nkiamka namwambia usiku ulikua unafanya uchawi ndani kwangu anaomba kuondoka siku hyo hyo
Nishajiuliza sana nina nn hadi niwe naona mavitu ya kutisha lkn sielewi
 
Noma sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…