Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Magumashi ya LIKUDYes anao mkuu ndio hao akina James na Andrea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magumashi ya LIKUDYes anao mkuu ndio hao akina James na Andrea
Huwezi kutowa jibu la kilejaleja kama kweli unafahamu na hili na ungeweka reference umetowa wapi.Hakuna magumashi hapo mkuu ni kweli Yesu ana wadogo zake ambao ni watoto wa Yusufu kwa Maria
Unajuwa maana ya maumbu? halafu hao Yakobo na Simon ni siblings tu.Marko 6:3
Isome kwa kiingereza.Unajuwa maana ya maumbu? halafu hao Yakobo na Simon ni siblings tu.
Nilidhani unafahamu kwa hakika je Yusufu alizaa na Mariam? Je Watoto hao ni kina nani?
Yakobo na Simon siyo Watoto wa Maria.
Tunaposema wewe ni magumashi uwe unatuelewa.
Hii ndio verse gani? Unaokota okota tu kila takataka mtandaoni ndio source yako?Isome kwa kiingereza.
Hii ndio verse gani? Unaokota okota tu kila takataka mtandaoni ndio source yako?
Na Mimi nikuletee ushahidi wa namna hii jinsi Vatican ilivyoanzisha dini ya kiislamu?