Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Na hapa unalipwa nna nani !!?? Mbona unakula na kunya Kwa wakati Mmoja kama ng'ombe!!??Siendelei nao. I will never give free content any more.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapa unalipwa nna nani !!?? Mbona unakula na kunya Kwa wakati Mmoja kama ng'ombe!!??Siendelei nao. I will never give free content any more.
Kumbe ndio lengo la Uzi !!?? Kaoeni tu kama Mtume.Kwanini watu wanamsakama Mtume kwa kuoa yule binti
[emoji848]Halafu wanawaheshimu watu wasio wajua ( wa kwenye vitabu ) kuliko baba zao na mama zao.
Yani mbongo anamuona Lutu mtakatifu kuliko wazazi wake.
Lutu huyu huyu ambae alilala na binti zake KWA hoja dhaifu ya kisingizio cha kulewa anaonekana ni mtakatifu kuliko mama mzazi alive kuweka tumboni kuanzia ukiwa mbegu mpaka ukawa mtu kamili na baba ambae amekutunza tangu siku alipopewa taarifa ya ujauzito wako..
Mbongo brainwashed Mwambie " km ya mama ako" kwake anachukulia powa tu wala hakuoni kama unakufuru.
Ila kosea u Mwambie " Luthu alikuwa muhuni kulala na binti zake KWA kisingizio dhaifu cha pombe" anakuwa offended 1 million times kuliko alivyo kuwa offended mama ake alipo tukanwa.
Yani mtu anajiona yupo more connected na Luthu asie mjua kuliko mama ake, baba ake na babu zake anao wajua
Akawa anajitawaza na kijinyonyesha na kjitafutia chakula!!?? Au alikuwa hanyi , Hali!!??Mtoto mchanga
Sasa mahari ya milioni 20 tu ulishtuka utaweza kunitunza maisha yote kweli?Kwendraaa!
Tangu unikatalie kukuoa unafikiri nitabaki kuwa Sawa[emoji125][emoji125]
Sasa mahari ya milioni 20 tu ulishtuka utaweza kunitunza maisha yote kweli?
18 aboveNdio maana yake mkuu. Vipi ulifikiri alikuwa na miaka thelathini?
Pesa Pesa Pesa,Kinachomtunza mtu kwenye mahusiano ya ndoa ni Upendo, kinachofanya mahusiano yaendelee kudumu hi uaminifu na Akili.
Pesa haijawahi kumtunza mtu,
Mtu anaweza akawa na pesa na asikutunze vilevile.
Na mtu anaweza kuwa Hana pesa na akakutunza na ukafurahia maisha.
Acha akili zako za kachori hizo
Miaka 18 atoke wapi mkuu. Wananzuoni wa kikristo, kiyahudi na kiislamu wanakubaliana kwamba bikira maria alipata mimba iliyo mzaa Yesu akiwa na.umri Kati ya miaka 11 HADI 13Kwahiyo bikira walihesabu miaka 12 au 13 ndio wakajaua
Unataka kunambia miaka hiyo hapo Bethlehem hapakuwa na bikira wa 18
Tatizo lako umefananisha mazingira yetu na ya Israel
Umeanza kwa kutuaminisha mambo ya wayahudi ambayo hauna clue nayo kisha ukaanza kuporomosha longolongo kibaoKwa mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.
Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..
Ndio maana ukisoma Biblia kuhusu habari za Mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"
Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .
( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)
Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..
( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?
Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.
( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)
UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.
HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )
ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe
(.he was still a teenager)