Huu hapa umri wa Bikira Maria wakati anamzaa Yesu

Huu hapa umri wa Bikira Maria wakati anamzaa Yesu

Kazi kweli kweli. Yani HAWA jamaa dawa yao ni kuwaacha na ujinga wao ili waendelee kupigwa huko kanisani
Tatizo kupigwa kwao ni sababu ya hofu ya kuogopa kutokuzikwa kwa Heshima,msaada wa stress za maisha,kuficha maovu na uovu wao,kutukuzwa na binadamu wenzao, na kuogopa kutengwa na ndugu jamaa na marafiki.
Kikubwa kwenye Imani za Dini ni AMANI ya Nchi yenye kuwaleta Watu pamoja kuwa na hofu ya Mungu hata kama hawamuoni.
 
Wewe ni kilaza. Ni moja Kati ya watu ambao wananifanya nijitoe Jf. And soon nitajitoa. KWA sababu I am not comfortable with what ur thoughts are. Siwezi kujifunza chochote kwako.

Nimesema HAWA, Adam alikuwa ndio baba ake na Adam alikuwa ndio mama ake.

Hapo nime ongopa kitu GANI?

I think I have to left this forum. Imepoteza kabisa maana ya kuitwa the home of Great thinkers.

Cc buccaneer
"I think I have to left this forum" pitia upya hii statement yako halafu uje tena
 
Ndio maana nilikwambia wewe ni kilaza. Siwezi tena kujadiliana na wewe.

Kiranga ali ku ignore KWA sababu ya uswengwe wako.

Get off my dckkkk
Mimi sijui kutukana kwa hiyo siwez kutukana
narudia nionyeshe mstari wa kwenye biblia unao support hoja yako hili nalo ni gumu
 
vip majin hak
KWA mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.

Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..

Ndio maana ukisoma biblia kuhusu habari za mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"

Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .

( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)

Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..

( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?

Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.

( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)

UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.


HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )


ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe

(.he was still a teenager
vp majini walikuwa wanaolewa wakiwa na umri gan?
 
KWA mujibu wa tamaduni za Wayahudi za kipindi hicho wanawake waliolewa wakiwa na umri wa miaka kumi na mbili. Wakichelewa sana BASI ni kumi na tatu au kumi na nne.

Bikira Maria alibeba ujauzito wa Yesu akiwa na miaka 12 au 13 na alijifungua akiwa na umri wa miaka kumi na tatu au kumi na nne..

Ndio maana ukisoma biblia kuhusu habari za mariamu kabla hajapata ujauzito wa Yesu she was reffered as " BIKIRA AITWAE MARIAMU"

Hilo neno bikira lilikuwa synonymous na msichana wa miaka 12/13 .

( Otherwise walijuaje kama ni bikira?)

Ni SAWA na wewe bwana Kiranga yule binti YAKO mwenye umri wa miaka.kumi na moja ukimuaddress kama bikira hakuna atakae kuhoji..

( Likud : Kaka mkubwa kiranga kwenye gari lako upo na nani?

Kiranga : nipo na bikira AITWAE Hamisa.

( Hamisa ni binti mwenye miaka 11)

UMRI WA ADAMU NA HAWA WAKATI WANAKULA TUNDA LA MTI WA KATIKATI.


HAWA alikuwa na miaka 13 tangu azaliwe ( HAWA alikuwa mtoto wa Adam. Adam alikuwa baba na mama wa HAWA )


ADAM = alikuwa na miaka 15 HADI 16 tangu atengenezwe/aumbwe

(.he was still a teenager)
Hizi Kufuru zinawasaidia nini ?
 
Tatizo kupigwa kwao ni sababu ya hofu ya kuogopa kutokuzikwa kwa Heshima,msaada wa stress za maisha,kuficha maovu na uovu wao,kutukuzwa na binadamu wenzao, na kuogopa kutengwa na ndugu jamaa na marafiki.
Kikubwa kwenye Imani za Dini ni AMANI ya Nchi yenye kuwaleta Watu pamoja kuwa na hofu ya Mungu hata kama hawamuoni.

Halafu wanawaheshimu watu wasio wajua ( wa kwenye vitabu ) kuliko baba zao na mama zao.


Yani mbongo anamuona Lutu mtakatifu kuliko wazazi wake.

Lutu huyu huyu ambae alilala na binti zake KWA hoja dhaifu ya kisingizio cha kulewa anaonekana ni mtakatifu kuliko mama mzazi alive kuweka tumboni kuanzia ukiwa mbegu mpaka ukawa mtu kamili na baba ambae amekutunza tangu siku alipopewa taarifa ya ujauzito wako..


Mbongo brainwashed Mwambie " km ya mama ako" kwake anachukulia powa tu wala hakuoni kama unakufuru.


Ila kosea u Mwambie " Luthu alikuwa muhuni kulala na binti zake KWA kisingizio dhaifu cha pombe" anakuwa offended 1 million times kuliko alivyo kuwa offended mama ake alipo tukanwa.


Yani mtu anajiona yupo more connected na Luthu asie mjua kuliko mama ake, baba ake na babu zake anao wajua
 
Tatizo kupigwa kwao ni sababu ya hofu ya kuogopa kutokuzikwa kwa Heshima,msaada wa stress za maisha,kuficha maovu na uovu wao,kutukuzwa na binadamu wenzao, na kuogopa kutengwa na ndugu jamaa na marafiki.
Kikubwa kwenye Imani za Dini ni AMANI ya Nchi yenye kuwaleta Watu pamoja kuwa na hofu ya Mungu hata kama hawamuoni.

Halafu wanawaheshimu watu wasio wajua ( wa kwenye vitabu ) kuliko baba zao na mama zao.


Yani mbongo anamuona Lutu mtakatifu kuliko wazazi wake. Lutu huyu huyu ambae alilala na binti zake KWA hoja dhaifu ya kisingizio cha kulewa anaonekana ni mtakatifu kuliko mama mzazi alive kuweka tumboni kuanzia ukiwa mbegu mpaka ukawa mtu kamili na baba ambae amekutunza tangu siku alipopewa taarifa ya ujauzito wako..


Mbongo brainwashed Mwambie " km ya mama ako" kwake anachukulia powa tu wala hakuoni kama unakufuru.


Ila kosea u Mwambie " Luthu alikuwa muhuni kulala na binti zake KWA kisingizio dhaifu cha pombe" anakuwa offended 1 million times kuliko alivyo kuwa offended mama ake alipo tukanwa.


Yani mtu anajiona yupo more connected na Luthu asie mjua kuliko mama ake, baba ake na babu zake
 
Back
Top Bottom