makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mkuu akinichagulia yeye ndio vizuri..Hahahahaa
Nenda tanga tu karibu na kenya utajichagulia huko
Sio kila mbrazil anajua mpira wengine ni kina JAJA wauza madafu tu. 🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu akinichagulia yeye ndio vizuri..Hahahahaa
Nenda tanga tu karibu na kenya utajichagulia huko
pamoja shekhe, mm nisipopata huduma ya tigopesa, wallah huwa nabata ushungu sana.Tigopesa sunna bwasheee
Wanapatikana wilaya gani hasa hawa Wadigo?
Hayo mengine hayanihusu. Naomba tu uniambie hao wadigo wanatoka mkoa/wilaya gani?
Wanawake wengi wa huo mkoa ni Malayyaa mbwaa .. Tena cheap hata hutumii gharama kubwa wengi wana STD' s!
Kama anajua kupika chapati USIMUACHE KAMWE
Mkeo ndo atakutawaza na kubaki na wewe kipindi huna chochote kosa pesa uone huo mchepuko reaction yake mbona utampenda mkeo?? Hata mchepuko ukioa ukaishi nao una majanga / madhaifu yake ..kwahiyo usijione mwambaaaa sana au unapendwa kinachopendwa ni pesa Yako,,..na kama unanibishia usiuhudumie kipesa mchepuko uone...Utakuja na Uzi wa Bora mke kuliko mchepuko.
karibu kwa ushauri nasahaNimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).
Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.
Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).
Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.
Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.
Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?
Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.
Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
BabuuuuuSema nini, hao Wadigo ni hatari kwa Bed
Kama sio mzoefu Kama alivyo mtoa mada anaweza jikuta anaanza kumjengea nyumba huyo mchepuko wakati yeye mwenyewe yupo kwenye nyumba ya kupanga [emoji847]
Sisi kama Wazee tuna jukumu la kutoa angalizo tu kwa Vijana 🤗😜Babuuuuu