Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Wanaume halisi tunachepuka ila tunahakikisha wake zetu hawajui.

Na sikuzote kauli mbiu yetu ni family comes first mchepuko lolote limkute tu
 
Wanawake wengi wa huo mkoa ni Malayyaa mbwaa .. Tena cheap hata hutumii gharama kubwa wengi wana STD' s!



Maneno makali mno !

Kwamba ni malaya kuzidi wa mikoa mingine ?

Ukweli usemwe tu kuwa hao wamejaliwa huba na Vionjo vya pekee [emoji108]

Sema wanawake wa Tanga wamejaliwa Vionjo vya pekee ambavyo huwezi kuvvipata kirahisi kwinginewe.

Kwingine wawezapata kimojawapo lakini sio wastani wa vingi kama kwa mwanamke wa kitanga hasa mdigo [emoji108]

Mfano; uwezo wa kumsikiliza Mwanaume akaongea hadi amalize

Kutulia jikoni kupika bila kuchati wala kushika Simu

Kujituma kitandani

Kumsinga bwana

Adabu kwa Mwanaume

Unyenyekevu kwa Mwanaume

Ukarimu kwa ndugu wa mume na majirani

Kijiweka usafi wa mwili na kinywa

Kumuweka Mwanaume usafi

Kuelewa lugha ya kuruzu ya Mwanaume

Kutokunia mambo makubwa kuliko uwezo wao.

Sio wakukusudia kupata mali kupiga mizinga akuuu kutoka kwa Mwanaume wala!

Mkiwa kwenye mahusiano ya mapenzi hawanaga hila yoyote ya kukusudia kukuibia au Eti atake mali hapana!

Wao ni recurrent expenses tu kula, mavazi, posho ndogo ndogo baaasi na wakati wa siku kuu futari na nguo baaasi [emoji4]
 
Mkeo ndo atakutawaza na kubaki na wewe kipindi huna chochote kosa pesa uone huo mchepuko reaction yake mbona utampenda mkeo?? Hata mchepuko ukioa ukaishi nao una majanga / madhaifu yake ..kwahiyo usijione mwambaaaa sana au unapendwa kinachopendwa ni pesa Yako,,..na kama unanibishia usiuhudumie kipesa mchepuko uone...Utakuja na Uzi wa Bora mke kuliko mchepuko.
 
Mkeo ndo atakutawaza na kubaki na wewe kipindi huna chochote kosa pesa uone huo mchepuko reaction yake mbona utampenda mkeo?? Hata mchepuko ukioa ukaishi nao una majanga / madhaifu yake ..kwahiyo usijione mwambaaaa sana au unapendwa kinachopendwa ni pesa Yako,,..na kama unanibishia usiuhudumie kipesa mchepuko uone...Utakuja na Uzi wa Bora mke kuliko mchepuko.



Ni kweli lakini hata upande wa wake wa ndoa pia wengi sio wavumilivu, Mwanaume kipato kikiyumba tu Visa vitaanza kutafuta sababu muachane.

Hayo yanatokea sana.
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
karibu kwa ushauri nasaha
Ukitumia dawa vizuri unaishi mda mrefu.
 
Sema nini, hao Wadigo ni hatari kwa Bed

Kama sio mzoefu Kama alivyo mtoa mada anaweza jikuta anaanza kumjengea nyumba huyo mchepuko wakati yeye mwenyewe yupo kwenye nyumba ya kupanga [emoji847]
Babuuuuu
 
Back
Top Bottom