Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

tanga hiyo mzee, alichonifanya yule mdada wa kidogo nilipokuwa Tanga sitokija sahau.

nilihisi ananifanyia zindiko la huko kwao, nilipokuja kuuliza wenyeji wakaniambia nisiogope, yale ndio mapenzi ya wanawake wa kidogo,balaaa.
Wadigo balaa lao ni zito asee
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Kumekucha kumekucha
 
Aisee..... wewe una shida kumkichwa.

Mwanamke inabidi amnyenyekee mwanaume wake kwa sababu moja tu 'YEYE NI MWANAMKE' na wala sio sababu za kifedha au mali.

Una tatizo kubwa sana kumkichwa. Huna budi kwenda kawe GENTAMYCINE akupeleke kwa mwamposa wakemee hilo kitu
🤣🤣Huyo maskini
Hana maisha
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Sisi inatuhusu nini? We ulikosea kuoa tangu mwanzo.

Sisi haya tunayaogelea over 20yrs now

Mwanamke lazima awe na sifa ya kike, unyenyekevu, heshima na utulivu. Tabasamu na ucheshi wa kiwiZi wizi hivi.

Ukimwambia leo niko bize hakupigii simu hadi muda uliomwambia.
 
Nipasie namba za Huyo (feminist) mke wako kama hutojali,,,nione namna ya kumla mpaka mifupa nawapendaga sana wa aina hiyo.
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Mkuu muulize mchepuko wako hana dada yake, nami niunge tela nipate mchepuko wa kidigo.
😂🤣
 
Wanawake wengi wa huo mkoa ni Malayyaa mbwaa .. Tena cheap hata hutumii gharama kubwa wengi wana STD' s!
 
Back
Top Bottom