Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady)

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vzr kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Hayo mengine hayanihusu. Naomba tu uniambie hao wadigo wanatoka mkoa/wilaya gani?
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady)

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vzr kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Blaza siujui huyo mchepuko wako,ila naamini utakuwa umeishia Darasa la 7 Au Form four..Wanawake wenye Level hiyo ya Elimu wanajua kumfanya Mwanaume ujione wewe ni mwamba namba moja duniani...
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady)

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vzr kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.

(ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).[emoji848]
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady)

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vzr kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.


Hata ya kikukuta magumu "maana hakika yatakukuta" sisi ndugu zako tutakuwa na wewe kukufariji. Maneno unayoongea ni kufuru ndugu.
 
Back
Top Bottom