Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Huu mchepuko siuachi hata mke wangu afanye nini

Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady)

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vzr kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
"Black people are good for nothing else, apart from indulging in sex and marrying so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Mkuu jaribu wadigo uone.

Matumizi yake ni almost irrelevant kwangu ukilinganisha na nyumba kubwa.

Unaweza pikiwa mchicha mtamu zaidi ya samaki wa nyumba kubwa
.............Kuna mwenzako alihonga ada ya chuo na chuo hakwenda, Wadigo wanapenda chini sana.
 
😂😂😂huyo ni hausigel,hana maisha,lazima akunyenyekee ili aende chooni,umaskin mbaya
Hapo unauziwa kumeer 🤣🤣
Aisee..... wewe una shida kumkichwa.

Mwanamke inabidi amnyenyekee mwanaume wake kwa sababu moja tu 'YEYE NI MWANAMKE' na wala sio sababu za kifedha au mali.

Una tatizo kubwa sana kumkichwa. Huna budi kwenda kawe GENTAMYCINE akupeleke kwa mwamposa wakemee hilo kitu
 
"Black people are good for nothing else, apart from indulging in sex and marrying so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
That's our culture, vijana wa siku hizi hamna kila kitu, kuanzia kazi, mali hadi nguvu za kiume. Sasa unanipangia kutumia nguvu zangu xa kiume huoni comedy hapo?
 
.............Kuna mwenzako alihonga ada ya chuo na chuo hakwenda, Wadigo wanapenda chini sana.
Wanawake tumeumbiwa wanaume sio miti. Ni kama eva alivyoletwa kwa adam. Life is to live, not to live up tight.
 
Tatizo lako hujiamini Mkuu wewe ni very insecure man na una low self esteem shida ni wewe na Wala sio mkeo....mkeo Hana shida ila wewe ndo una shida shida yenyewe ni hii hujiamini ukiwa na mkeo either amekuzid kitu au kitandan mambo sio mazur...Wacha kumtesa mtoto wa watu wewe ndo una matatizo jirekebishe
We fala kweli.

Yaan mwanamke namsomeshea hadi ukoo wake unasema kanizidi kitu? Jibu la kuhusu kitandani njoo mwenyewe utoe mzigo na utapata majibu, ila baada ya hapo am sure hizi inch 8 zitafanya ushike adabu yako na usirudie tena.

Shida kubwa ni ufeminist wake ambao nimemrekebisha kiasi sababu ningemuacha mm asingewahi kuolewa kamwe
 
Nimeona niweke bango kabisa na nikimaliza kuandika huu uzi namtumia link mke wangu kipenzi asome na ikiwezekana a-screenshot ili aache kunisumbua akikuta ninachat kwa furaha na huyu mchepuko (second lady).

Iko hivi, nampenda sana mke wangu na anajua hilo ila ana yeye ana chembechembe za ufeminist na hadi hapa nmeshamnyoosha sana na ilibaki kidogo tu nimlipie ada akakae na hawa waalimu wao, makungwi akafundwe upya. Kuna muda anakaa vizuri kuna muda dish linayumba.

Ndipo nikaja kupata huyu mtoto wa kidigo, mtoto anapika chai unatamani unywe chupa nzima. Mtoto sex hata kama hujamuomba anajua namna ya kukuchokoza usimamishe angalau upige kimoja sababu sex inaimarisha uanaume na kuongeza confidence (ukiona mwanaume anachekacheka ujue aidha ni mnyetukaji au hapati sex ya kutosha).

Mtoto sura ya kawaida black tu lkn kwenye giza anavyolegea ni kama uji.

Mtoto ukiwa unachat au unaongea nae unajihisi kweli wewe ni mwanaume mwamba dunia nzima sababu anakunyenyekea, hana maneno ya kipuuzi, anajua kuomba samahani, ukiwa bize anajua anatulia hakusumbui.

Hv mtoto kama huyo mie ningekua Bakhresa ningeshindwa vp kumpa kiwanda chote cha ukwaju akimiliki yeye?

Sasa mke wangu huu mchepuko siuachi, kama utaondoka ww ondoka tu. Mm hapa ndo nimefika.

Na hapa mtoto mzuri ananiona nina type yupo anamassage mabega ila nmwambia asisome ninachoandika so kajifunga kitambaa machoni anasubiria nimalize nipige cha nne usiku huu.
Cku utayokuja kujua kuwa hata huo mchepuko ukiuoa utakuwa kama uyo mkeo ndio utaacha kujisifia ujinga

Siku zote kabla ya ndoa mapenzi huwa ni motomoto ila ndoa ni kitu kingine kabsa
 
Hayo mengine hayanihusu. Naomba tu uniambie hao wadigo wanatoka mkoa/wilaya gani?
Tanga hiyo , kama unaenda horohoro mpakani na kenya upande wa kushoto pwani yote ni wadigo. Huko utapata rost safi nzito unaweza kufunga kwenye gazeti. Kazi kwako dogo!
 
"Black people are good for nothing else, apart from indulging in sex and marrying so many wives."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Ile hotuba ilikuwa na ukweli mchungu sana. Nilikuwa nairudia rudia kusoma kwa uchungu ila ni kweli.
 
Back
Top Bottom