Hayo majina hapo ni ya kiarabu😀hausemi hivyo usidanganye watu njoo upate vitu bila malipo
Dr. Zakir Naik & Sheikh Fariq Naik Tanzania Tour
Register now to secure your seat
Dr. Zakir Naik Event – ZAKIRNAIK
Free Entrance (Hakuna kiingilio)
For Enquiries: +255 656 294 579 / +255 714 810 539
Kama uislamu na ukristo usingekuepo hapa duniani kwa hakika dunia ingekuwa ni sehemu salama na yenye amani tele.
Uislamu na Ukristo umeleta chuki kuu miongoni mwa waumini wa hizi dini. Waislamu wanawachukia wakristo na wakristo wanawachukia waislamu, inaonekana kwamba ili uwe mkristo kamili kwanza inabidi uwachukie waislamu na waislamu wanatakiwa wawe maadui zako, ili uwe muislamu kamili uliyekamilika inabidi uwachukie wakristo na wawe maadui zako.
Mbaya zaidi vijana wengi ambao ni waamini,waumini na wafuasi wa hizi dini hamna chochote wanachokijua kuhusu hizi dini zaidi ya kuongozwa na mihemko na chuki ndio maana wengi wao wanakuwa tayari hata kuuza roho zao kwa malipo ya imani eti ukifa vitani utakufa ukiwa shahidi na utapewa mabikra 72 what a joke? Na mkeo je atapewa mabwana 72 wa kumshughulikia?
Askofu anakatazwa kuoa mwisho wa siku hamu zikimzidi anaanza kulawiti watoto wadogo au anaanza kushikishwa ukuta na waumini wake what the f*ck?
Tulia ndugu. Mihemko haina faida yoyote. Sisi ni watu wazima. Kama waislamu wamekuwa na madhehebu yamefika mangapi? Usitetee upumbavu. Watoto wa kiislamu wakienda Madrasa hufundishwa lugha mama ya Quran. Hata baadae alikutana na tafsiri ya Quran kwenye lugha nyingine ni rahisi kugundua kasoro( inconsistency).Wakristo watoto wanakwenda Sunday school hawafundishwi Kiebrania wala Kigiriki. Wanasoma tafsiri zenye upotofu mwingi!Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk
Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.
Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Nimeongea dhehebu au lugha mama ya Biblia? Kwani Catholics wanawafundisha waumini lugha mama? Hebu punguza mihemko and stay on track🙂Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk
Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.
Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Tafsiri za kijinga ndio zimezaa maelfu ya madhehebu ya kikristo. Wote wanasema ni wakristo lakini wapo wanaamini UTATU, wengine wanasema Mungu hana nafsi tatu. Wengine waabudu mkate wa ekaristi lakini wengine wanasema it is just symbolic na wanakataa fundisho la TRANSUBSTIANTION. Lakini wote hao wanajiita wakristo!!Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk
Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.
Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Mkuu mimi sina shida na vitabu kutafsiriwa katika lugha zingine. Lakini ni lazima watu wafunzwe kwanza kwenye lugha mama. Baadae tukifanya HERMENEUTICS hatutakinzana.Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk
Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.
Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Sijaelewa mkuu, haiwezekani kuelimishwa Uislamu bila Ukristo?Mdaharo = mdahalo
Na pia huo mdahalo ni kwa nia ya kuelemishana,
Kama kuna jambo ambalo utakuwa hulielewi kuhusu uisilamu hapo ndo sehemu ya kupatia majibu mkuu.
Unakaribishwa.
2nd jan (diamond jubilee)
5th jan (kwa mkapa)
Mimi ni mkristo lakini nawasifu sana waislamu kwa kuendelea kutumia lugha mama ya kitabu chao. Ukriso umeharibika na kuwa dini ya kuchelesha kutokana na kutafsiri maandiko kwemnda lugha nyingine. Kila tafsiri inaendana na theological alignment ya anayetafsiri. Kama yeye anaamini Mungu ana nafsi tatu au ni mmoja tu, au lama anaamini kuna unyakuo au la basi kwenye kutafsiri atajikita huko. Na wengine hata wameongeza maneno yasiyokuwepo kwenye nakala halisi za maandiko. Congolese kwenu waislamu dumisheni lugha mama ya Quran. Wakristo sasa tuna maelfu ya madhehebu kwa upumbavu wa kutafsiri na kila dhehebu linasema lenyewe ndio la kweli!!!
What??Kenya tayari huko washampindua Mkikuyu...
Kwahiyo Allah anasema
Uislamu haijakamilika bila kutaja ukristoHappy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Kwani dhumuni lake ni nini Mkuu?Subiri kwanza, mbona kama unawashutumu ili hali wewe mwenyewe hujui dhumuni la huo mdahalo?
Kwahiyo Allah anasema
"Sisi tunakuabudu, sisi tunakuomba msaada, tuongoze katika njia iliyo nyooka"
Allah anaomba kuongozwa na nani ?
Na anamwabudu nani?
Na anamwomba msaada nani?
Ni bora wakati mwingine ukae kimya kuliko kumdhalilisha huyo Allah wako wa mchongo kwa kuropoka ropoka hovyo.
Sijaelewa mkuu, haiwezekani kuelimishwa Uislamu bila Ukristo?
Huku kwetu karibu kila siku wanatuelimisha kuhusu Ukristo bila kuhusisha Uislamu.
Kwahiyo Allah anasema
"Sisi tunakuabudu, sisi tunakuomba msaada, tuongoze katika njia iliyo nyooka"
Allah anaomba kuongozwa na nani ?
Na anamwabudu nani?
Na anamwomba msaada nani?
Ni bora wakati mwingine ukae kimya kuliko kumdhalilisha huyo Allah wako wa mchongo kwa kuropoka ropoka hovyo.
Uislamu haijakamilika bila kutaja ukristo
Na mabikira 72Duniani nitaishi kikristo, mbengoniii ntaenda kuwa mslam☹️, hawa jamaa peponi wanahadi masanga 🍻🍺 yanatiririka mtoni. That's win win situation to me