Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Natamani huo mdahalo, Nina maswali kwa Hawa waislamu
Dini yao changa iliyoanzishwa juzi na muarabu mbona imekua kero duniani.
Kwanini wanamuabu Mohamed licha ya uchafu wake wote ikiwemo kunyandua katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa
 
Natamani huo mdahalo, Nina maswali kwa Hawa waislamu
Dini yao changa iliyoanzishwa juzi na muarabu mbona imekua kero duniani.
Kwanini wanamuabu Mohamed licha ya uchafu wake wote ikiwemo kunyandua katoto Aisha kakiwa na umri wa miaka tisa

MBONA UNALETA UDA HAPA JF , TUNAKUSUBIRI TUKUSIKIE KULE UWANJANI , USIANDIKIE MATE NA WINO UPO

Nani anayemwabudu Muhammad ? au ndivyo mnavyodanganywa na wachungaji wenu ??

Mnayemwabudu mtu ni nyinyi aliyeandikwa kwenye biblia alikamatwa na yule kijana teenager wa kiume akiwa uchi huku chupi kaiweka begani kule kwenye vichaka vya bustani ya gesthemane saa 40 alfajiri
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki kuwa sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi ziibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Hizo zote Sifa za Dini ya Ukweli na Ndio maana hata Yesu iliingia Hekaluni akapindua Meza za wachezesha Kamari je Hii sio Halakati?
 
Duniani nitaishi kikristo, mbengoniii ntaenda kuwa mslam☹️, hawa jamaa peponi wanahadi masanga 🍻🍺 yanatiririka mtoni. That's win win situation to me
Pepo Waislamu Wanaitengeneza Hapa Duniani Pepo ni matokeo ya Matendo mema ya hapa duniani Alafu ni Haramu Mkristo kuingia peponi hivyo Acha kujidanganya.
 
Ni kwa sababu ukristo hakuja nao Bwana yesu wala haujui ndio maana tunawashitua kuwa Yesu hakuja na ukristo alikuja na uislamu
Kwahiyo mnamkataa muddy kuwa hajaja na uislam ila Yesu kaja nao baada ya miaka 500+ toka apae kwenda mbinguni.

Nyie mnasikitksha sana hususani nyie msiosoma wala kujitambua. Uelewa wenu wa mambo ni mdogo sana.
 
Kwahiyo mnamkataa muddy kuwa hajaja na uislam ila Yesu kaja nao baada ya miaka 500+ toka apae kwenda mbinguni.

Nyie mnasikitksha sana hususani nyie msiosoma wala kujitambua. Uelewa wenu wa mambo ni mdogo sana.

Dini ya Mungu ni moja tu , nayo ni uislamu . Muddy ni nani mtu huyo ?+ ni babu yako ??

Na anayetaka dini isiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, na yeye Akhera atakuwa miongoni mwa waliokhasirika.}} [Al `Imran 3:85]

na Anasema katika Aya hii, akituambia kwamba dini pekee inayokubaliwa Kwake ni Uislamu:

{Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu.} [Al `Imran 3:19]" (Tafsir Ibn Kathir 2/25)


maneno yako wazi labda utuletee aya kutoka kwenye biblia ya kanisa lako ikisema Dini anayoikubali Mungu ni ukristo
 
Azam media ni pro islam.. chunguza tamthilia zao tu ambazo watoto wetu wanaziangalia.
Hapana niwewe tu umeamua family Yako itazame hizo tamthilia, Kuna channel inaitwa Romanza inaonesha tamthilia za kizungu na kifilipino tupu Kwa hiyo niwewe tu na machaguzi Yako usiingize udini hapo bro.
 
Pepo Waislamu Wanaitengeneza Hapa Duniani Pepo ni matokeo ya Matendo mema ya hapa duniani Alafu ni Haramu Mkristo kuingia peponi hivyo Acha kujidanganya.
Too sad, watu mnakuwa fooled for the life time, kwa kudanganywa kuna sehemu pazuri zaidi ya hapa duniani 😭😭😪. Tafuta pesa ishi duniani kama huko peponi. Kama peponi pazuri mwimbie huyo anayekwambia aende
 
Ukitaka zaidi njoo na maswali yako yote hata 100 000 yatajibiwa , kiingilio ni bure


Dr. Zakir Naik & Sheikh Fariq Naik Tanzania Tour

Register now to secure your seat

Dr. Zakir Naik Event – ZAKIRNAIK

Free Entrance (Hakuna kiingilio)

For Enquiries: +255 656 294 579 / +255 714 810 539


KARIBU UPATE ELIMU BILA MALIPO

Kwa ufupi soma

Kumbukumbu la torati 18

18 Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru.
Namfahamu sana huyo mtu.
Ni mtoto Sharifu.
Amepagawa majini kama yote.
Hawezekaniki kwa kukremu Aya za vitabu vya dini kwa uwezo wa Majini.
Yale Majini Maislamu.
Soma Surat JINNI yote utaelewa.
 
Namfahamu sana huyo mtu.
Ni mtoto Sharifu.
Amepagawa majini kama yote.
Hawezekaniki kwa kukremu Aya za vitabu vya dini kwa uwezo wa Majini.
Yale Majini Maislamu.
Soma Surat JINNI yote utaelewa.
Naona umekuwa msemaji wa majini😜😜
 
Too sad, watu mnakuwa fooled for the life time, kwa kudanganywa kuna sehemu pazuri zaidi ya hapa duniani 😭😭😪. Tafuta pesa ishi duniani kama huko peponi. Kama peponi pazuri mwimbie huyo anayekwambia aende
Hata wewe Ungeulizwa Kabla hujazaliwa Uletwe Duniani Ungepakataa Ungeona Tumboni Mwa Mama Ako ni Sehemu Nzuri Kuliko Zote na Ndio maana Ulilia wakati Unazaliwa kwa Kuamini Unatolewa Sehemu yenye Raha kwa vile hii Akili Yako nimeitamu kabla hujaongea .
 
KUna kampuni niliwahi kufanya kazi kama dereva wa lori.........
Wengi walijifanya waislamu ii maisha yaende......kuna jamaa (hamood) haipiti siku yuko bize kuwatamka wakristo....kwamba wanaenda chooni bila maji....kwamba ukristo uliletwa na wazungu...kwamba dini yao ni ya kweli...kwamba waislamu wanaonewa,,,kwamba kuruani inasema wakristo wote wanatakiwa wauawe,,,,,,kwamba..Paulo kwenye Agano jipya kajivika madaraka..kajipa utume alafu Yesu akampa UUngu.....Kwamba hakuna kumpa "mkirisito"(kwa matamshi yake) Lori wakati ndugu zake waislamu wako kijiweni...siku hiyo natoka safari naingia yard nimevaa kibaraghashea na kanzu yangu namuona ustaadh anajongelea kwenye gari....kabla hajanipa salamu nikajua tu hapa nishapigwa jungu....akasema wewe shehee...kumbe ni mkirisito wewe...nikamwambia ndio....akasema njoo ofisini......
Vijamaa vina akili mdogo sana na ubonafsi wa hali ya juu.
 
Pepo Waislamu Wanaitengeneza Hapa Duniani Pepo ni matokeo ya Matendo mema ya hapa duniani Alafu ni Haramu Mkristo kuingia peponi hivyo Acha kujidanganya.

Wameandika wapi
 
Duniani nitaishi kikristo, mbengoniii ntaenda kuwa mslam☹️, hawa jamaa peponi wanahadi masanga 🍻🍺 yanatiririka mtoni. That's win win situation to me
Nisamehe bure!!!!🤣🤣🤣 Nimesoma post yako leo kuhusu kumbukumbu ya Christmas ambazo huwezi kuzisahau jinsi ulivyopitiliza Ifakara kwa Bibi na baada ya kusoma hii post nimecheka sana!!!
 
Back
Top Bottom