Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Wamejazana bagarashia tupuAzam media ni pro islam.. chunguza tamthilia zao tu ambazo watoto wetu wanaziangalia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejazana bagarashia tupuAzam media ni pro islam.. chunguza tamthilia zao tu ambazo watoto wetu wanaziangalia.
Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk
Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.
Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Nakubaliana na wewe 100% katika haya.Mdahalo kama huu unalenga zaidi kutoa maarifa na kuelezea tofauti na mfanano kati ya Mitume hao wawili kwa mujibu wa maandiko ya kidini. Ni nafasi ya kujifunza na kuelewa mtazamo wa dini tofauti, si lazima iwe "kupambanisha" imani, bali kujenga maelewano na elimu.
Kuhusu maswali yako:
- Kwa nini Waislamu wanapenda kuongelea mambo wasiyoamini?
- Uislamu unaona umuhimu wa kujadiliana kwa hekima na kuwafikishia watu ujumbe kwa njia nzuri (Qur'an 16:125). Pia, Waislamu wanamwamini Yesu (Isa, A.S.) kama mtume wa Mungu, hivyo kumjadili si jambo geni katika Uislamu.
- Kwa nini Wakristo hawaandai midahalo kama hiyo?
- Kila dini ina mbinu yake ya kufikisha ujumbe. Uislamu unasisitiza mazungumzo ya kidini kama njia ya kuelimisha. Wakristo wana njia zao, kama mahubiri, ibada, na matamasha.
- Shekhe kukataza Waislamu kusherehekea Krismasi:
Kwa kumalizia, ni muhimu kuheshimu maoni na imani za kila mmoja, bila kusambaza hisia za chuki au kutokuelewana. Midahalo kama huu inaweza kuwa fursa ya kujifunza zaidi ikiwa tutaenda kwa nia ya kujenga, si kupinga.
- Shekhe huyo anatoa fatwa kulingana na misingi ya dini yake. Katika Uislamu, kushiriki sherehe za kidini zisizo za Kiislamu mara nyingi huonekana kama kwenda kinyume na mafunzo ya dini. Hii haimaanishi kuwa kuna chuki, bali ni kuheshimu mipaka ya kiimani.
Kwa hiyo unakubaliana na Yesu kuwa Mungu anaitwa Baba? Ndivyo Uislamu unasema hivyo kwamba Mungu ni Baba?Itakuwa hujaifahamu ile aya ambayo nilikuletea ya surah Hijri au umekazania ubishi tu , lakini na twende hivyo hivyo
Hapa huyo aliye mbinguni kumbe si yesu ?? kwa hivyo Yesu si Mungu
Math 6
9 Basi msalipo ombeni hivi: ‘Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe.
10 Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
11 Utupatie leo riziki yetu ya kila siku.
12 Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea.
Kasikilize kwanza pengine hizo propaganda za akina Gwaji zitaondokaHappy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Tunapaswa kuwa watu wema na wenye roho nzuri, upendo, kusaidia wenye shida mbalimbali pasipo kujali kama unaenda katika nyumba za ibada ama la..Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Yaambie yakulete kiingilio ni Bure ,Kwa yale Majini mema tu.
Yanayo shika na kuzifuata nguzo zote za dini.
Kwa hiyo unakubaliana na Yesu kuwa Mungu anaitwa Baba? Ndivyo Uislamu unasema hivyo kwamba Mungu ni Baba?
Wacha uongo wewe. Nani anakataa kusali kanisa lolote? Je kwanini mnauana wenyewe kwa wenyewe? Usitifanye sisi wote matutusa we dogo.Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.
Tusubiri kwanza hata siku ya kwanza ya mdahalo tuone. Sidhani kama Azam ni wajinga kiasi hicho mpaka waruhusu promo ya mdahalo kama ile ya miaka ile mitaani.Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Sasa kivipi Yesu awe muislamu wakati Quran inasema Allah sio baba wa yeyote. Au kiarabu ni dhambi kumuita Allah baba lakini lugha zingine ruksa?Hiyo ni lugha ya wakati Huo ya wayahudi kumwita Mungu ni Baba ,wa kila mtu hata wewe na Mimi
ZipKasikilize kwanza pengine hizo propaganda za akina Gwaji zitaondoka
Ndio sawaTunapaswa kuwa watu wema na wenye roho nzuri, upendo, kusaidia wenye shida mbalimbali pasipo kujali kama unaenda katika nyumba za ibada ama la..
Sawa tutaonaTusubiri kwanza hata siku ya kwanza ya mdahalo tuone. Sidhani kama Azam ni wajinga kiasi hicho mpaka waruhusu promo ya mdahalo kama ile ya miaka ile mitaani.
Inawezekana hawa wahubiri wana mrengo tofauti na wana mpango wa kuunganisha hizi dini mbili ili tuishi kwa umoja na mshikamano. Kuna muda Papa alikutana na viongozi wa Waislamu. New World Order!
Kwahiyo una uhakika kuwa Mkristo haingii Kanisa lolote lile la dhehebu lolote lile?Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.
Mkuu, once I realize that someone is "mdini" or "mkabila" I would walk away from him immediately.Ndio sawa
Ipo waziMkuu, once I realize that someone is "mdini" or "mkabila" I would walk away from him immediately.
Udini na Ukabila ni chanzo cha mipasuko ndani ya jamii..
Sasa kivipi Yesu awe muislamu wakati Quran inasema Allah sio baba wa yeyote. Au kiarabu ni dhambi kumuita Allah baba lakini lugha zingine ruksa?