Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Hapana bwana acheni uchonganishi

KAMA KITU HUKIJUI NYAMAZA
ULE SIYO MDAHALO BALI NI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA KIISLAMU AMBALO LITAJIKITA KATIKA MANENO YA AMANI. DR ZAKIR NAIK NA MWANAE WATAKUJA TANZANIA KUZUNGUMZA NA WAISLAMU LAKINI PIA WANAKARIBISHWA WAUMINI WA DINI ZOTE

KITU ULICHOONA WEWE NI MANENO YA KWENYE BANGO AMBAYO HATA NAYO HUJAYAMALIZA YOTE. KUMEANDIKWA "JESUS AND MUHAMMAD THE BROTHERS IN FAITH" IKIMAANISHA WAISLAMU NA WAKRISTO NI NDUGU KATIKA IMANI NA NDIYO MAANA KONGAMANO LIKAWAKARIBISHA WOTE (ASILIMIA KUBWA TANZANIA NI WAISLAMU NA WAKRISTO).

HIYO KAULI SIYO KWAMBA INATUNGWA TU BALI NDANI YA UISLAMU (YAANI QURAN) TUNAAMBIWA TUWAITE WAKRISTO NA WAYAHUDI TUZUNGUMZE KWA PAMOJA JAMBO AMBALO TUNAFANANA AMBALO NI LA KUMWABUDU MOLA MMOJA TU KWA HAKI

HAYA TUAMBIE HIYO YA MDAHALO UMEITOA WAPI?
 
Húna unalo lijua na ulioaswa kukaa kimya.
Qurani za Kiswahili zipo na za lugha nyingine.
Uislamu pia una madhehebu kibao.
unajua maana ya Sunni na Shia?
Ahaddiya, Ismailia nk

Ulitaka Wakristo wote tuwe dhehebu la Roma?
Wakati mwingine ni bora kunyamaza ili kutunza heshima yako ya umbumbumbu.

Hakuna Mkristo mjinga kama wewe.
Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.
 
Mdahalo kama huu unalenga zaidi kutoa maarifa na kuelezea tofauti na mfanano kati ya Mitume hao wawili kwa mujibu wa maandiko ya kidini. Ni nafasi ya kujifunza na kuelewa mtazamo wa dini tofauti, si lazima iwe "kupambanisha" imani, bali kujenga maelewano na elimu.

Kuhusu maswali yako:

  1. Kwa nini Waislamu wanapenda kuongelea mambo wasiyoamini?
  • Uislamu unaona umuhimu wa kujadiliana kwa hekima na kuwafikishia watu ujumbe kwa njia nzuri (Qur'an 16:125). Pia, Waislamu wanamwamini Yesu (Isa, A.S.) kama mtume wa Mungu, hivyo kumjadili si jambo geni katika Uislamu.
  1. Kwa nini Wakristo hawaandai midahalo kama hiyo?
  • Kila dini ina mbinu yake ya kufikisha ujumbe. Uislamu unasisitiza mazungumzo ya kidini kama njia ya kuelimisha. Wakristo wana njia zao, kama mahubiri, ibada, na matamasha.
  1. Shekhe kukataza Waislamu kusherehekea Krismasi:
  • Shekhe huyo anatoa fatwa kulingana na misingi ya dini yake. Katika Uislamu, kushiriki sherehe za kidini zisizo za Kiislamu mara nyingi huonekana kama kwenda kinyume na mafunzo ya dini. Hii haimaanishi kuwa kuna chuki, bali ni kuheshimu mipaka ya kiimani.
Kwa kumalizia, ni muhimu kuheshimu maoni na imani za kila mmoja, bila kusambaza hisia za chuki au kutokuelewana. Midahalo kama huu inaweza kuwa fursa ya kujifunza zaidi ikiwa tutaenda kwa nia ya kujenga, si kupinga.
Nakubaliana na wewe 100% katika haya.
 
Itakuwa hujaifahamu ile aya ambayo nilikuletea ya surah Hijri au umekazania ubishi tu , lakini na twende hivyo hivyo

Hapa huyo aliye mbinguni kumbe si yesu ?? kwa hivyo Yesu si Mungu

Math 6

9 Basi msalipo ombeni hivi: ‘Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe.
10 Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
11 Utupatie leo riziki yetu ya kila siku.
12 Na utusamehe makosa yetu kama sisi tulivyokwisha kuwa samehe waliotukosea.
Kwa hiyo unakubaliana na Yesu kuwa Mungu anaitwa Baba? Ndivyo Uislamu unasema hivyo kwamba Mungu ni Baba?
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Kasikilize kwanza pengine hizo propaganda za akina Gwaji zitaondoka
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Tunapaswa kuwa watu wema na wenye roho nzuri, upendo, kusaidia wenye shida mbalimbali pasipo kujali kama unaenda katika nyumba za ibada ama la..
 
Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.
Wacha uongo wewe. Nani anakataa kusali kanisa lolote? Je kwanini mnauana wenyewe kwa wenyewe? Usitifanye sisi wote matutusa we dogo.

Madhehebu mengi ya Kiksrito wana msingi mmoja tu ambao ni Kristo. Utofauti wao ni kwenye mapokeo ya kibinadamu tofauti na nyie huko.
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Tusubiri kwanza hata siku ya kwanza ya mdahalo tuone. Sidhani kama Azam ni wajinga kiasi hicho mpaka waruhusu promo ya mdahalo kama ile ya miaka ile mitaani.

Inawezekana hawa wahubiri wana mrengo tofauti na wana mpango wa kuunganisha hizi dini mbili ili tuishi kwa umoja na mshikamano. Kuna muda Papa alikutana na viongozi wa Waislamu. New World Order!
 
Tusubiri kwanza hata siku ya kwanza ya mdahalo tuone. Sidhani kama Azam ni wajinga kiasi hicho mpaka waruhusu promo ya mdahalo kama ile ya miaka ile mitaani.

Inawezekana hawa wahubiri wana mrengo tofauti na wana mpango wa kuunganisha hizi dini mbili ili tuishi kwa umoja na mshikamano. Kuna muda Papa alikutana na viongozi wa Waislamu. New World Order!
Sawa tutaona
 
Katika uislamu tofauti yetu ni ndogo sana,kiasi kwamba haiwezi kuleta athari yoyote na mtu wa nje hawezi kuiona abadani, muislamu anaweza kuswalia msikiti wowote ule bila tatizo,lkn kwenu si hivyo.
Kwahiyo una uhakika kuwa Mkristo haingii Kanisa lolote lile la dhehebu lolote lile?
Jambo usilo lijua asiwe unaliongea.
 
Sasa kivipi Yesu awe muislamu wakati Quran inasema Allah sio baba wa yeyote. Au kiarabu ni dhambi kumuita Allah baba lakini lugha zingine ruksa?

Kwani Islam maana yake ni nini kwa unavyofahamu wewe ????

Kwani wapi yesu alisema kuwa yeye ni mwana wa mungu ??
 
Back
Top Bottom