Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Wacha uongo wewe. Nani anakataa kusali kanisa lolote? Je kwanini mnauana wenyewe kwa wenyewe? Usitifanye sisi wote matutusa we dogo.
Madhehebu mengi ya Kiksrito wana msingi mmoja tu ambao ni Kristo. Utofauti wao ni kwenye mapokeo ya kibinadamu tofauti na nyie huko.
unataka kutuambia wewe unaweza kusali kanisa la wasenge , Gay church au kanisa la Shetani , Satanic church ??