matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nani aliyeandika Quran shehe.labda uliandika wewe na babayo , umejibadilisha id unajisahau ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyeandika Quran shehe.labda uliandika wewe na babayo , umejibadilisha id unajisahau ??
Nani aliyeandika Quran shehe.
Waislam wao wanamkubali na kumuenzi Issa bin mariam na sio Yesu Kristo wa Nazareth.
Huyo jamaa simjui aisee. Sijawahi kutukana mtu kisa dini.
Mslizia story kakaKUna kampuni niliwahi kufanya kazi kama dereva wa lori.........
Wengi walijifanya waislamu ii maisha yaende......kuna jamaa (hamood) haipiti siku yuko bize kuwatamka wakristo....kwamba wanaenda chooni bila maji....kwamba ukristo uliletwa na wazungu...kwamba dini yao ni ya kweli...kwamba waislamu wanaonewa,,,kwamba kuruani inasema wakristo wote wanatakiwa wauawe,,,,,,kwamba..Paulo kwenye Agano jipya kajivika madaraka..kajipa utume alafu Yesu akampa UUngu.....Kwamba hakuna kumpa "mkirisito"(kwa matamshi yake) Lori wakati ndugu zake waislamu wako kijiweni...siku hiyo natoka safari naingia yard nimevaa kibaraghashea na kanzu yangu namuona ustaadh anajongelea kwenye gari....kabla hajanipa salamu nikajua tu hapa nishapigwa jungu....akasema wewe shehee...kumbe ni mkirisito wewe...nikamwambia ndio....akasema njoo ofisini......
Siku nyingine usijenge hoja yako juu ya mstari ambao hujauelewa au huuamini. Unaona maswali unayouliza sasa?NDIYO NIMEULETA , NA NAKUULIZA
Jee una hakika gani maneno hayo aliyasema huyo Yesu ??
Jibu swaliSiku nyingine usijenge hoja yako juu ya mstari ambao hujauelewa au huuamini. Unaona maswali unayouliza sasa?
Katukane watu ufungiwe tena ,Huyo jamaa simjui aisee. Sijawahi kutukana mtu kisa dini.
Una chochote kuhusu ninachokuuliza labda
Hizi chokochoko huwa zinashamiri kila tunapokuwa na rais mwislamu!Happy Christmas
Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus
Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?
Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?
Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa
Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Ni kweli Sheikh hawezi ku debate na shoga Christian Prince
'I didn't feel the need to say 'I am gay'': Christian Prince , reveals he never came out to his famous father Richard ... and says he struggled with self-confidence for years.
Ni kweli Sheikh hawezi ku debate na shoga Christian Prince
'I didn't feel the need to say 'I am gay'': Christian Prince , reveals he never came out to his famous father Richard ... and says he struggled with self-confidence for years.
Kaombe wewe mchango kujenga kanisa, hawakubali. Waislam wanaroho mbaya kama nini.Sana wao wanatembeaga na madaftari kuomba mchango wa kujenga madrasa msikiti tunawapa kwa upendo hawatangazi mazuri ila mabaya tu
Mimi nakufuatisha wewe uliyesema kwamba Yesu sio Mungu kwa kutumia mstari wa MATHAYO 6:9 ambapo katika huo mstari Yesu anawaagiza watu wamwite Mungu "Baba". Nimekuuliza kama Yesu ni muislamu kwa nini anaagiza watu wamwite Mungu "Baba" wakati Quran inakataza ? Sasa usiniulize kama nina uhakika hayo maneno alitamka Yesu wakati huo mstari umeuleta wewe.Jibu swali
Jee una hakika gani maneno hayo aliyasema huyo Yesu ??
Anakuwa mdiniHizi chokochoko huwa zinashamiri kila tunapokuwa na rais mwislamu!
Wanasema hawawezi changia makafiriKaombe wewe mchango kujenga kanisa, hawakubali. Waislam wanaroho mbaya kama nini.
Hawaoni ilo