Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Hakujawahi kuwepo mtu anayeitwa Mohamed ambaye alianzisha uislamu. Ufalme wa muawiyaz miaka hiyo waliunda huyu mtu wa kufikiria pamoja na hiyo dini ili kuiimarisha utawala wao. Baadaye ufalme wa Ottomans ukaendeleza waliposikia muawiyaz kutumia uislamu kama dini rasmi ya serikali kuleta umoja.
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Ile dini hata wakibi peke yao Duniani bado Dunia haitakuwa sehemu salama. Kila walipo ni machafuko tu!
 
Ndugu zangu dini flani sijui wanapitia changamoto gani , watu wote hawawezi kuamini mnachoamini … mna- provoke wengine wakianzisha mdahalo mohammad alikua mkristk mzuri mnaruka mnatoa majambia mumkate mtu kichwa.
 
Hakujawahi kuwepo mtu anayeitwa Mohamed ambaye alianzisha uislamu. Ufalme wa muawiyaz miaka hiyo waliunda huyu mtu wa kufikiria pamoja na hiyo dini ili kuiimarisha utawala wao. Baadaye ufalme wa Ottomans ukaendeleza waliposikia muawiyaz kutumia uislamu kama dini rasmi ya serikali kuleta umoja.
Ndiyo mafundisho ya kanisa lako?
 
D

Madhehebu ya kiislamu na Madhehebu ya kikristo yote ni dini moja kwa sababu dhehebu maana yake ni kusanyiko.la kishetani ...mungu hana madhehebu kwa sababu yeye ni mmoja nafsi moja

Unaweza kuwa unahoja sahihi, tatizo imani ikishatangulia kabla ya kufikiri ni tabu watu wa imani kukuelewa.

Ndiyo maana lugha zingine duniani kuamini haina uzito kama neno nafikiri .

Ila katika lugha yetu ya kiSwahili kuamini ina uzito mkubwa kuliko kufikiri , hapo ndipo tatizo linapokuja katika uwezo wa kufikiri linapokuja suala la imani.
 
Unaweza kuwa unahoja sahihi, tatizo imani ikishatangulia kabla ya kufikiri ni tabu watu wa imani kukuelewa.

Ndiyo maana lugha zingine duniani kuamini haina uzito kama neno nafikiri .

Ila katika lugha yetu ya kiSwahili kuamini ina uzito mkubwa kuliko kufikiri , hapo ndipo tatizo linapokuja katika uwezo wa kufikiri linapokuja suala la imani.

When speaking or writing, I avoid using the word “believe”. Instead, I replace it with “think”. “I think that…” instead of “I believe that”.
What’s the point? Language matters. Believing is the opposite of knowing. If you believe something, you don’t know something. Instead, you guess. You hope. You connect a few randomly acquired dots. You want something to be the case. You have been told that something is a fact. But you have no idea if it’s true. You are either too lazy to gather the data, or you are afraid that the data would contradict your belief, or you know that what you believe is impossible to prove. But in order to still make it sound relevant and important, you use the word “believe”.
And so, from my observation, the use of the verb “believe” has become a revealing indicator for weak points in an argumentation. One’s own or others. Whenever believe is being used, it’s a sign that a debate goes into the wrong direction.
For myself, I have found that replacing “believe” with “think” creates a different perception, and it challenges me. If you say “I think that…”, it sounds more like what it is: A modest hypothesis; the temporary result of your brain working that comes without any entitlement of representing the truth or being close to the truth. It could be, but you do not expect other people to instantly accept your statement as the truth. What you are saying might be bullshit, too. But it’s ok because it is not your “belief”. If you say you believe something, it has a different sound. An ideological one. One lacking honest reflection. It’s something you would repeat over and over again in many debates, without ever feeling the need to question it.
Of course “I believe” can also be replaced with other phrases such as “In my opinion” or “In my eyes” or “from my point of view”. In my eyes (hehe), all these phrases are great, because they really emphasize the subjectivity in a message. And they remind those who say it of it. As I pointed out previously. It’s challenging, too.
Personally I use “believe” only when it comes to people. I believe in myself, I believe in some other people. That’s a way of increasing motivation and optimism. If you don’t believe in that you can accomplish something it’s less likely that you will try. If others don’t believe in your capabilities, it also might affect you negative.
But in all other situations, I try to avoid “believing”. I prefer knowing something or having a personal point of view/hypothesis instead of a belief. That leaves at least a bit room for alternative perspectives, contradicting ideas and doubt. “Believing” often does not.

By: Martin Weigert
 
Utulivu ni jambo la muhimu sana, msichanganyikiwe mapema kwa pamoja, fanyeni kutulia kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake
 
Miezi michache iliyopita kumekuwa na mikwaju mizito ikielekezwa kwa uislam. Hasa suala lankutumia lugha katika ibada. Mpaka ikaonekana kwamba uislam siyo dini, bali ni chombo au mpango wa waarabu kueneza tamaduni, mila na desturi zao. Hivyo siyo dini bali ni utaratibu jumla wa maisha wa tamaduni za wengine.

Pia lingine ambalo watu wengi wameanza kulimulika ni ile hali ya chombo hiki kuwa sura ya uana harakati au upigania uhuru. Uislam ulivyo unajitanabaisha na harakati za kudai uhuru/haki maeneo mbali mbali duniani. Tofauti na tulivyokuwa tukitarajia uislam uwe kwa kuwaelekeza waumini wake kwenye maisha ya peponi baada ya haya. Wenyewe sasa wanawaendeleza maandamano na migogoro na mamlaka. Wakitaka haki na uhuru wao. Wakilazimisha sheria za nchi ambako wanaishi ziibadili sheria na kuongoza nchi hizo kwa sharia law. Kitu ambacho dini zingine hazijawahi kufanya.

Baada ya kuyaona hayo, nchi nyingi sasa hazichukulii uislam kama dini (kama waumini wake wanavyodai), bali ni mpango au chombo cha (wanaharakati cha) kupigania uhuru na haki ya waislam/waarabu kwa njia ya kipekee (exclusive right). Wanataka mahali popote wanapoishi wapewe uhuru/haki zao katika njia ambayo wengine hawawezi kupata. Wanataka wapewe special attention na mamlaka ya nchi husika. Hata kama kufanya hivyo kunaweza kwa hali au namna fulani kuathiri haki, uhuru, mamlaka na ustawi wa wengine.

Ndiyo maana mara zote nimekuwa nikiwa dhidi ya wazo la kwamba uislam ni dini. Kwa sababu nilizozitaja. Hiyo ni desturi yaani zaidi ya dini. Binafsi nawafananisha na wamasai. Wamasai licha ya kuwa wana ishi katika nchi zenye serikali yaani Jamhuri. Lakini bado wana utaratibu au namna yao ya utawala, siasa, imani (beliefs), lugha, sheria, mavazi nk. Pia jamii hii popote ikienda, lazima kuwe na msuguano na jamii walioikuta kwa kuwa siku zote wanaamini utamaduni wao ni bora kuliko wa wengine. Hili nilo mfanano dhahili wa uislam (yaani desturi za waarabu) na wamasai.
Naomba niishie hapa.
Alamsiki
Kama ulisomasoma kidogo anko eEti!
 
unaingia mitini, uganda, kenya watu wameuliza maswali - majibu mi mpaka swali liulizwe, ila wewe unatengeneza mazingira ya kuingia mitini. Unafeli sana maana yeye anasema anapenda maswali mazito na wewe unasema una maswali mazito. Kikichobaki ni wewe kufika mkuu
Kwa hiyo huyo shekh anajua uislamu kuliko muhammad...? Maana maswali yangu mimi hata muhammad hawezi kuyajibu hata moja
 
Huyu mchochezi wa kidini waarabu walipoandaa kombe la dunia huko Qatar walimpeleka eti aendeshe midahalo ya kuwasilimisha wazungu. Matokeo yake alikutana na dada mwafrika akamtoa kamasi. Kimsingi huyu hoja zake ni za kizamani na zilishanibiwa amejichokea kama akina mazinge. Hata hivyo kwenye nchi kama bongo yenye mchanganyiko wa dini mbalimbali wanaoishi pamoja haikuwa busara kuleta huyu kutumwagia simu. Nashangaa mpaka TV ambayo ni ya matangazo kwa umma na ambayo tunailipia Kila mwezi ndio Ipo bize kumtangaxs.

View: https://youtu.be/dkb0uSYJt_0?si=XbYCYU9qqc48v7a7
 
Back
Top Bottom