Uislam unatesa sana wanawake. Kwaninin wanaume wao wasiwekewe sheria za kutowatamani? Afughanistan, Taliban sasa madirisha ya jikoni yazibwe, nyumba ambazo zimeelekea eneo wanawake hujikusanya mfano kisimani madirisha yafungwe au yazibwe, wanawake hata sauti yao isisikiwe hata wakiwa jikoni, ukiacha kujifunika hadi anakuwa kituko, Kusoma ndio kabisaaa hawaruhusiwi, wala ajira.
Uislam hujaribu kupambana na dhambi kwa mtulinga ya misuli hii ya Gym wakati akili ambayo ndio inahitaji dawa inaachwa wazi. Ndio maana unajaribu kuenezwa kwa nguvu za kumwaga damu. Kama wakiacha uhuru watu wachague waabudu nani hata huu MDAHALO anayekuja nao asingepata mtu.
Kosa lingine la mdahalo huu ni kuwashindanisha ambao hawapo halafu unaweka mwingine awe badala yao.
Huu mdahalo kama hawa
Jesus of Nazaret Vs Mohammad s.w.a wangekuwepo. Hivi nani angetoboa kwa hoja za piga nikupige? Leta hoja nijibu hoja.
Kifupi Jesus ni zaidi ya Nabii, hilo neno Zaidi ya Nabii ZINGATIA.
Jambo lingine huwezi kusema Wafuasi wa Jesus Wakajibu hoja, mdahalo umeandaliwa pasipo kuhusisha upande wa pili ili waandae wanazuoni kwenda kujibu kwa hiyo atajiuliza na kujijibu mleta mada na atajipa ushindi. Ila huku kitaa wafuasi lazima tuwaburuze kama wakija kwa hoja moja moja ..
Tahadhari; Naweka angalizo. Sijasema mtu, wala kushambulia dini, ukiona kama umeshambuliwa ni mawazo yako tu, maana mimi naishi na ndugu , marafiki na jamaa wa imani hiyo kwa amani na furaha.
Hata hivyo Mungu hapiganiwwi na wanadamu bali hujipigania Mwenyewe