Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

Huu mdahalo lengo ni nini? Mdahalo unaitwa “Jesus and Mohammed”

D

Madhehebu ya kiislamu na Madhehebu ya kikristo yote ni dini moja kwa sababu dhehebu maana yake ni kusanyiko.la kishetani ...mungu hana madhehebu kwa sababu yeye ni mmoja nafsi moja

Ndiyo mafundisho ya Mchungaji wenu hayo ??
 
Ndiyo mafundisho ya Mchungaji wenu hayo ??
Mchugaji ndiyo tapeli gani tena huyo mimi sipo chini ya mchungaji yoyote ...yani kwa akili zako wewe unaona kabisa kwa akili nilizo nayo naweza kuongozwa na mchungaji niliye mzidi akili ....yesu alisema kipofu(mchungaji) akimwongoza kipofu mwenzie wote wawili utumbukia shimoni ...Sasa kituko chako wewe ni zaidi ya huo mfano wa yesu .. YAANI KIPOFU (MCHUNGAJI) KUNIONGOZA MIMI MAANA YAKE NI KIPOFU KUMWONGOZA ASIYE KIPOFU ...
Wewe unaongozwa na mchungaji kwa sababu ni kipofu ndiyo maana hadi wachungaji vipofu wanakuongoza
 
Wewe jifanye huyajui hayo makanisa hapa Tanzania au moja ni kanisa lenu lile la mashoga la ki Pentekoste kule Mbeya ??
Kwenye dini yenu mashoga hawaruhusiwi kutubu dhambi zao kwani ?
Una Aya inayo wakataza Mashoga kutubu dhambi kwa Mungu wao ?
Jinga sana wewe.

Unaona dhambi ni ushoga tu.

Au nikupe hadithi jinsi Mwarabu alivyokuwa anafanya vitendo vya Ushoga.
 
mungu mmoja yupi, anaitwa nani?
mungu mmoja wapo wengi sana.
Dogan ni mungu mmoja pia.
Ungekuwa umenifuatilia tangu comment ya mwanzo basi wala usingeandika hili swali
Anyways ngoja nirudie ni kwamba kuna waislamu, wakristo na wayahudi hawa wote imani zao zimejengeka katika kumwabudu mola mmoja ingawa kuna yaliyopachikwa pachikwa mpaka ikawa waumini hawa wanatofautiana. Huyu Mungu wanaomuitakidi watu watu hawa utaona maelezo ya sifa zake wanafanana wote

Ukinitajia miungu wengine kwenye dini nyingine utakuwa unanikosea maana mimi sijawataja. Hatahivyo ufafanuzi huu natoa kwa faida ya mwenye kutaka kuelewa tu na siyo mulhid
 
Kwenye dini yenu mashoga hawaruhusiwi kutubu dhambi zao kwani ?
Una Aya inayo wakataza Mashoga kutubu dhambi kwa Mungu wao ?
Jinga sana wewe.

Unaona dhambi ni ushoga tu.

Au nikupe hadithi jinsi Mwarabu alivyokuwa anafanya vitendo vya Ushoga.

Mbona unatetea mashoga? Au biblia yako imeruhusu watu wafirane baadaye watubu dhambi
 
Mchunjaji ndiyo tapeli gani tena huyo mimi sipo chini ya mchungaji yoyote ...yani kwa akili zako wewe unaona kabisa kwa akili nilizo nayo naweza kiongozwa na mchungaji niliye mzidi akili ....yesu alisema kipofu(mchungaji) akimwongoza kipofu mwenzie wote wawili utumbukia shimoni ...Sasa kituko chako wewe ni zaidi ya huo mfano wa yesu .. YAANI KIPOFU (MCHUNGAJI) KUNIONGOZA MIMI MAANA YAKE NI KIPOFU KUMWONGOZA ASIYE KIPOFU ...
Wewe unaongozwa na mchungaji kwa sababu ni kipofu ndiyo maana hadi wachangaji vipofu wanakuongoza

Mbona umeonekana ukigombea mafuta ya upako? Au yule hukuwa wewe ?
 
Ni wapi au ni kwenu Moshi kwa Mbowe
Itakuwa ni kwetu moshi kwa Mbowe,muache kuchukua matukio kutoka kwenye Biblia mnayosema kwamba ime chakachuliwa. Quran isimame yenyewe kuthibitisha matukio yake bila kutegemea kitabu kilicho chakachuliwa.

Maajabu mengine ni kwamba Quran haiwezi kujitegemea bila Hadith,hii inakuwaje? Waislam mnasema Quran imekamilika lakini ili uelewe matukio yake inabidi uende kwenye Hadith zilizo andikwa miaka 300 baada ya mtu anayesemekana alikuwa Mohamed.
 
Aah yaani wewe unajitoa ufahamu! Kujifanywa hujui nani ni gay? Tuambie hayo maandiko yenu ya kashetani kaallah ni ya uongo kuhusu padephile wenu kuwa na vijitabia vya kike?
Screenshot_20240808-024028_Chrome.jpg
 
Happy Christmas

Nimeona tangazo hili azam tv kuwa kutakuwa na mdahalo wa maswali na majibu kuhusu Mohammed na Jesus

Nachojiuliza why waislamu wanapenda sana kuongelea mambo ambayo wao hawayaamini?

Mmeshawai sikia wakristo wameandaa matamasha au mdaharo kwa lengo la kupambanisha imani?

Kuna namna nyingi sana za kutafuta waumini hubirini kweli ambayo mna iamini sio vyema kwa mnachokifanya kabisa

Nimeshangaa pia leo naangalia tiktok nakutana na shekhee amekazana kukataza waislamu kusheherehekea mpaka kuuza vitu vya sikukuu ya xmass embu jitafakarini kiasi fulani mnakosea
Ubaya ukiongelea muhamad ni ugomvi hawafakubali huo mdahalo

Hii midahalo ikikubaliwa basi na ya wakristo ikubaliwe iwe ya amani
 
Itakuwa ni kwetu moshi kwa Mbowe,muache kuchukua matukio kutoka kwenye Biblia mnayosema kwamba ime chakachuliwa. Quran isimame yenyewe kuthibitisha matukio yake bila kutegemea kitabu kilicho chakachuliwa.

Maajabu mengine ni kwamba Quran haiwezi kujitegemea bila Hadith,hii inakuwaje? Waislam mnasema Quran imekamilika lakini ili uelewe matukio yake inabidi uende kwenye Hadith zilizo andikwa miaka 300 baada ya mtu anayesemekana alikuwa Mohamed.
Hapo ndio Becca??
 
Uislam unatesa sana wanawake. Kwaninin wanaume wao wasiwekewe sheria za kutowatamani? Afughanistan, Taliban sasa madirisha ya jikoni yazibwe, nyumba ambazo zimeelekea eneo wanawake hujikusanya mfano kisimani madirisha yafungwe au yazibwe, wanawake hata sauti yao isisikiwe hata wakiwa jikoni, ukiacha kujifunika hadi anakuwa kituko, Kusoma ndio kabisaaa hawaruhusiwi, wala ajira.
Uislam hujaribu kupambana na dhambi kwa mtulinga ya misuli hii ya Gym wakati akili ambayo ndio inahitaji dawa inaachwa wazi. Ndio maana unajaribu kuenezwa kwa nguvu za kumwaga damu. Kama wakiacha uhuru watu wachague waabudu nani hata huu MDAHALO anayekuja nao asingepata mtu.

Kosa lingine la mdahalo huu ni kuwashindanisha ambao hawapo halafu unaweka mwingine awe badala yao.

Huu mdahalo kama hawa
Jesus of Nazaret Vs Mohammad s.w.a wangekuwepo. Hivi nani angetoboa kwa hoja za piga nikupige? Leta hoja nijibu hoja.
Kifupi Jesus ni zaidi ya Nabii, hilo neno Zaidi ya Nabii ZINGATIA.
Jambo lingine huwezi kusema Wafuasi wa Jesus Wakajibu hoja, mdahalo umeandaliwa pasipo kuhusisha upande wa pili ili waandae wanazuoni kwenda kujibu kwa hiyo atajiuliza na kujijibu mleta mada na atajipa ushindi. Ila huku kitaa wafuasi lazima tuwaburuze kama wakija kwa hoja moja moja ..
Tahadhari; Naweka angalizo. Sijasema mtu, wala kushambulia dini, ukiona kama umeshambuliwa ni mawazo yako tu, maana mimi naishi na ndugu , marafiki na jamaa wa imani hiyo kwa amani na furaha.
Hata hivyo Mungu hapiganiwwi na wanadamu bali hujipigania Mwenyewe
 
Aah yaani wewe unajitoa ufahamu! Kujifanywa hujui nani ni gay? Tuambie hayo maandiko yenu ya kashetani kaallah ni ya uongo kuhusu padephile wenu kuwa na vijitabia vya kike?
View attachment 3188936

Hizo hadithi wala hazisemi hivyo , ongeza mizigo , utaibeba mwenyewe

UNAONA RAHA KUCHUKUWA HADITHI ZA UONGO NA KUTUWEKEA ILI TUKASIRIKE , KUMBE UNAJIUMIZA MWENYEWE KWANI yESU ALINUKULIWA KUSEMA



MATHEW 7:2

English Standard Version

For with the judgment you pronounce you will be judged, and with the measure you use it will be measured to you.
 
Back
Top Bottom