Anyooshaje? Nyoosha wewe tuone mfano.
Rais hawezi ropoka kwenye mkutano wa KiDiplomasia na unaohitaji suluhu.
..Kagame ameua askari wetu halafu tunampokea kwa ngoma na matarumbeta na kumkaribisha Ikulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anyooshaje? Nyoosha wewe tuone mfano.
Rais hawezi ropoka kwenye mkutano wa KiDiplomasia na unaohitaji suluhu.
Sasa unadhani yeye ataweza kuongea nini zaidi ya hapo?ndo uelewa wake hapo..Ni maneno ya jumla-jumla tu, wakati mazingira yalimhitaji atoe kauli thabiti kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya SADC.
Ya kuandikiwa? Azungumze kutoka kichwani mambo ya maana siyo mipasho na taarabu.Wewe na mtoa mada ni mbumbumbu wa mwisho.
Juzi hapo alikuwa anaongoza mjadala wa Nishati Africa na mara nyingi Huwa anakuwa Mwenyekiti mwenza Huwa humfuatilii?
Unadhani Samia ni wale wa Thee thee 😁😁
Kwani mimi nimeandika nini wewe punguani?Ya kuandikiwa? Azungumze kutoka kichwani mambo ya maana siyo mipasho na taarabu.
Mbona umeshapaniki. Just relax dogo... Umekula lakini? Au nyie huwa mnasifu na kuabudu huku njaa inawagonga na ndo mnakuwa na hasira. Maraisi wenye kuongea sense walikuwa Nyerere na Mkapa tu.Kwani mimi nimeandika nini wewe punguani?
Kwa ile sauti yake ya upole... "Ndugu zangu, hayo ya DRC nendeni mkayaangalie na myamalize. Mimi nina mwaka wa uchaguzi yasije yakanitokea puani"Natamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?
Kichwa kinawaza understomarch muda wote ataweza kubakiza ya maana kichwani?Ya kuandikiwa? Azungumze kutoka kichwani mambo ya maana siyo mipasho na taarabu.
Mama,mama mama ,mama ccm wanasema hivyoNatamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?