Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Nahisi huenda alisema hivi;
Haya yote mliyoyasema na mtakayoyasema marais wenzangu twendeni sasa tukayatekeleze!
Statement iliyosainiwa na Wahusika ndio msimamo wa EAC-SADC
Kazi yake ilikuwa ni kuuleta hapa ili kukuza utalii hayo mengine tuwaachie M23Natamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?
Wewe uko namba ngapi?Katika machawa hopeless ww nafikiri unaongoza mkuu
Atoe maelekezo kwani hao ni mawaziri wake?..yeye kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama alitakiwa awaongoze viongozi wengine, na sio kuwasomea risala, na kuwaandalia vikundi vya ngoma, na matarumbeta.
Kwani juzi kati wakati wa mjadala wa Nishati aliandikiwa na nani?..hana uwezo wa kuzungumza jambo ambalo hajaandikiwa. Tukiwaambia uwezo wake ni mdogo mnakuwa wakali.
Mbona kimefanyika katikz nchi,anayoiongoza Dr.Samia,hawakwenda kufanya nchi nyingine,vionhozi wa nchi na viongozi wa,EAC na,SADC,xote wamemfuta Dr.Samia.Hii ni ishara ya kuwa,anakubalika kimataifa...kikao kilikuwa cha Wakuu wa EAC na SADC.
..Mwenyekiti wa EAC ni Rais Ruto, na wa SADC ni Rais Mnangagwa.m
..Mama Abduli hakuwa na sauti katika kikao hicho.
Sauti ya aje Sasa wewe nyumbu?..kikao kilikuwa cha Wakuu wa EAC na SADC.
..Mwenyekiti wa EAC ni Rais Ruto, na wa SADC ni Rais Mnangagwa.m
..Mama Abduli hakuwa na sauti katika kikao hicho.
Mbona wamemfuata,hii kumfuata hapa Tanzania,ni maelekezo tosha,yakuwa,wanamsikiza na kufuata maelekezo yake.Atoe maelekezo kwani hao ni mawaziri wake?
Ni mkutano wa EAC & SADCMbona wamemfuata,hii kumfuata hapa Tanzania,ni maelekezo tosha,yakuwa,wanamsikiza na kufuata maelekezo yake.
Mbona kimefanyika katikz nchi,anayoiongoza Dr.Samia,hawakwenda kufanya nchi nyingine,vionhozi wa nchi na viongozi wa,EAC na,SADC,xote wamemfuta Dr.Samia.Hii ni ishara ya kuwa,anakubalika kimataifa.
Kagame alikuwa anawacheck tu maana anajua zaidi ya nusu ya hao viongozi wako madarakani kwa njia za kihuni, ni bahati tu kwenye nchi zao hakuna machafuko. Lakini hakuna mwenye ujasiri wa kuhoji jambo la msingi zaidi ya kubembelezana.Natamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?
Kuja Tanzania sio sababu hizo za kichawa bali ni bahati tu.Mbona kimefanyika katikz nchi,anayoiongoza Dr.Samia,hawakwenda kufanya nchi nyingine,vionhozi wa nchi na viongozi wa,EAC na,SADC,xote wamemfuta Dr.Samia.Hii ni ishara ya kuwa,anakubalika kimataifa.