Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Anasumbuaaa wqnaume wanqkuja hakuna lq maanq unasema wqkqtqfakqri jinwi kumaliza mgogoro.....toa matamko ya kibabe ...M23 watoke Goma ..Rwanda atoe askari wake DRC....Mmmmh wasap tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasumbuaaa wqnaume wanqkuja hakuna lq maanq unasema wqkqtqfakqri jinwi kumaliza mgogoro.....toa matamko ya kibabe ...M23 watoke Goma ..Rwanda atoe askari wake DRC....Mmmmh wasap tena
Kwa kweli wenye sura mbaya na kimo.cha stuli kazi tunayo 😂😂wabantu wengi siyo attractive kabisa yani, duh …
..kitendo cha kuwakaribisha Maraisi kwa ngoma na matarumbeta kuja kujadili msiba unaoendelea DRC ni kuonyesha hatuko serious.
Haukuwa mkutano wake Bali wa EAC.
Atoe msimamo thabiti kwani Tanzania ndio Iko kwenye mgogoro au inampangia nani?
Atoe maagizo kwani anamuagiza RC au Waziri? Huna akili Wala hujui diplomasia
Statement iliyosainiwa na Wahusika ndio msimamo wa EAC-SADC..Ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya SADC na hakueleza jambo lolote jipya.
Hapa alikuwa anasoma alichoandikiwa, tuwekee clip alichokuwa anakitoa kichwani kwake pasipo kusoma hotuba!
Kwani ulikuwa live? Tafuta You tube nani akutafutie?Hapa alikuwa anasoma alichoandikiwa, tuwekee clip alichokuwa anakitoa kichwani kwake pasipo kusoma hotuba!
Wewe na mtoa mada ni mbumbumbu wa mwisho.Hapa alikuwa anasoma alichoandikiwa, tuwekee clip alichokuwa anakitoa kichwani kwake pasipo kusoma hotuba!
Natamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?
Hizi ni kama alikuwa anasoma hadithi za fisi na sungura kuhusu maisha Yao Alitakiwa anyooshe maelezo na siyo kuzunguka.Mfano mzalendo kagame alisema ili vita iishe lazima DRC iongee na waasi wa M23.Huu mkusanyiko haujaleta tija yeyote zaidi ya kuleta kero Kwa watanzania Kwa kufungwa njia zote muhimu Dar es salaam
Anyooshaje? Nyoosha wewe tuone mfano.Mother alisema
Hizi ni kama alikuwa anasoma hadithi za fisi na sungura kuhusu maisha Yao Alitakiwa anyooshe maelezo na siyo kuzunguka.Mfano mzalendo kagame alisema ili vita iishe lazima DRC iongee na waasi wa M23.Huu mkusanyiko haujaleta tija yeyote zaidi ya kuleta kero Kwa watanzania Kwa kufungwa njia zote muhimu Dar es salaam
😂😂 angekua kaongea point, vitu vya maana tayari ungeshaona hapa Chawa wake Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah wangepost uzi hapa jukwaani.Natamani sana kusikia ambacho alizungumza samia katika huu mkutano wa Sadc. Tusikie nasi rais wetu alitoa mchango gani au alishauri nini. Haya mambo ndo unatamani angekuwepo Nyerere au Mkapa.
Hawa wangeweza kuzungumza kwa kujiamini sana bila kumung'unya mung'unya maneno na kwa strong faces. Uzuri na lugha ilikuwa inapanda vizuri.
Kwa sasa tunaye samia. Je alichangia nini rais wetu huyu wa mitano tena. Au yeye hakutaka makuu.alinyamaza tu?
Halafu ulitoka msimamo wa kikao na sio maoni ya mtu mmoja mmoja!Wewe ndiye ulisema una habari zote za ndani ya kikao cha jana.
😂😂 angekua kaongea point, vitu vya maana tayari ungeshaona hapa Chawa wake Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah wangepost uzi hapa jukwaani.
-Tatizo ni uwezo mtu wangu yaani competency upstairs.
Aidha umesahau au unajisahaulisha kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la SADC. Hivyo ana sauti kubwa na ya kutosha sana kwenye suala hili.
Kwani ulikuwa live? Tafuta You tube nani akutafutie?